Ahsante IGP Wambura kauli yako imeturudishia utulivu kwa haraka sana

Ahsante IGP Wambura kauli yako imeturudishia utulivu kwa haraka sana

Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba Maxence Melo na ""Contents managers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoefu wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
Udini umekujaa tu! Nchi inaendeshwa kuangamia unafurahia. Inasikitisha sana hasa udini ukitawala na vilemba vikishika hatamu nchi inaangamia
 
Hovyo kabisa umeandika pumba tupu mjadala wa bandari tunauendeleza mpaka kieleweke

Msitutishe
 
Ndugu Lucas mwashambwa una lipi la kuchangia?
Amani na utulivu wa nchi ni lazima ulindwe kwa nguvu zote ,kwa jasho na damu . Serikali haipaswi hata kwa sekunde moja tu kuwaacha watu wakitamba kwa kutoa lugha za uchochezi,ubaguzi na kuhamasisha machafuko nchini pasipo kuwachukulia hatua za kisheria.Ni lazima wazolewe wote na kutupwa ndani kwa mahojiano ya kina .Hakuna kumuonea haya mtu wala kumuogopa mtu katika suala linalogusa usalama wa Taifa letu.
 
Ogopa sana mfia dini ambae hana akiliii yanii ni gaidi sema tu suala la mudaa...!
 
Wewe lugha zako chafu kwa ukristo unaziona.?? Nyani haoni..?
Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba Maxence Melo na ""Contents managers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoefu wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
 
Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba Maxence Melo na ""Contents managers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoefu wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
Ndumilakuwili na udini kazini... kuna tofauti gani na mlivykuwa mnapinga awamu ya 5?
 
Back
Top Bottom