Ahsante IGP Wambura kauli yako imeturudishia utulivu kwa haraka sana

Waanze kujizowesha kuishi visiwani.
 
We mama si ulishakula ban, umerudi lini na kuanza kuunga mkono mkataba ule tata?
 
Mbwa wanabweka kupinga wanaojaribu kupinga ulaji wao.
 
Tukosowane kwa heshima na adabu.
Inawezekana kukosoana kwa heshima ikiwa mkosolewaji ni mara yake ya kwanza kuboronga.

Na ikiwa ameboronga zaidi ya mara moja sidhani kama mkosoano wa heshima utakuwepo.

Hapo mkosolewaji anatakiwa kuachia ngazi tu kwa kuwa akashindwa kazi, hiyo ndiyo heshima yake pekee.
 
Tumpe hongera zake Wambura, hata JF tumeanza kutia adabu, lugha zimebadilika.
 
mdini nambari one wa JF, tunajua mkataba wa DP angekuwa ni JPM au Mkapa ungepinga, lakini unategemea nini kwa mtu anayeamini Tanzania iwe nchi ya kiislam, akili za huyu bibi ni ovyo sana, sasa nenda kaniripoti tena ili nipigwe ban kama ulivyofanya mara ya kwanza
 
Ww huwa sio muislamu wala sio muarabu .huwa tunapambana na ujinga na udini wako.usiwaingize waislamu wala waarabu kwenye hili
 
Uhuni unasema kauli. Safari hii hawataweza. Samia siyo Magufuli na Wambura siyo Sirro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…