Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Yuko ambae anaweza kuniambia kuwa kauli yangu peke yake ingetosha na angeniamini bila ya ushahidi wa picha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mohamed Picha iko wapi?Yuko ambae anaweza kuniambia kuwa kauli yangu peke yake ingetosha na angeniamini bila ya ushahidi wa picha?
Bush...Mohamed Picha iko wapi?
Mi hata uweke picha mjongeo sikuamini. Hadithi zako unatia chumvi nyingi mnoooooYuko ambae anaweza kuniambia kuwa kauli yangu peke yake ingetosha na angeniamini bila ya ushahidi wa picha?
Kweli wewe ni mwandishi mzuri ila story zako ziko biased based on your religionBush...
Nakusudia historia nilizoandika hapa siku za nyuma na kuweka picha.
Mfano wa picha hii:
View attachment 3166782
Dome Okochi Budohi Kadi yake ya TANU ni No. 6
Log...Tafsiri ya Picha inaweza kuwa distorted pia mfano namba 6; Inategemea perception yako mwingine anaweza kuangalia kwa upande mwingine akaona kwamba ni 9; Sasa mleta habari aliyehadithiwa inategemea alihadithiwa na mtu wa upande gani (chini au juu); Au alihadithiwa na watu waliochelewa kuja na kumbe hio haikuwa sita wala tisa bali ni nane iliyofutika kidogo
Much...Kweli wewe ni mwandishi mzuri ila story zako ziko biased based on your religion
Kinyungu,Mi hata uweke picha mjongeo sikuamini. Hadithi zako unatia chumvi nyingi mnooooo
Huna kosa lolote mzee story zako naamini ni za kweli Kwa asilimia tisini na Tano ila pia Kuna some exaggeration mfano ushawahi msikia shekhe Ilunga?Much...
Naam historia ya mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika haikupatwa kuwepo.
Hiyo ndiyo sababu ya mimi kuiandika baada ya kuitafiti.
Unadhani nimefanya kosa?
Much...Huna kosa lolote mzee story zako naamini ni za kweli Kwa asilimia tisini na Tano ila pia Kuna some exaggeration mfano ushawahi msikia shekhe Ilunga?
Sasa huyo mafundisho yake yalikuwa ni kuradicalize vijana wadogo waanzishe Fujo za kidini ushawahi andika Hilo?Much...
Historia hii haikupata kuandikwa popote kwa hiyo wewe hukuwa unaijua.
Ajabu sasa na hapa kuwa unanishutumu kuwa nimeongeza mambo katika historia hiyo yaani kuna ''exaggeration.''
Huoni kuwa hayo ni maajabu wewe kunishutumu kwa kitu wewe hukijui?
Kuhusu Ilunga:
Huyu jamaa ni mtu mbaya sana kuishiMuch...
Historia hii haikupata kuandikwa popote kwa hiyo wewe hukuwa unaijua.
Ajabu sasa na hapa kuwa unanishutumu kuwa nimeongeza mambo katika historia hiyo yaani kuna ''exaggeration.''
Huoni kuwa hayo ni maajabu wewe kunishutumu kwa kitu wewe hukijui?
Kuhusu Ilunga:
Ndio ujue hata huyo Mohamed said ni mtu wa hovyo tuSasa huyo mafundisho yake yalikuwa ni kuradicalize vijana wadogo waanzishe Fujo za kidini ushawahi andika Hilo?
Wengi wao ni watoto wa 2000's ndio wenye kutaka kusadiki kwa ushahidi wa picha!Yuko ambae anaweza kuniambia kuwa kauli yangu peke yake ingetosha na angeniamini bila ya ushahidi wa picha?