much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Hapana sio wa hovyo ila ana mahaba na dini kupitilizaNdio ujue hata huyo Mohamed said ni mtu wa hovyo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sio wa hovyo ila ana mahaba na dini kupitilizaNdio ujue hata huyo Mohamed said ni mtu wa hovyo tu
Unaweza elezea Kwa sentensi fupi kama hautojali mzee wangu?Much...
Naam.
Kulipatapo kuwa mjadala mkali hapa JF kuhusu maneno ya Sheikh Ilunga baada ya Sheikh Abdul Rogo kuuliwa Mombasa.
Nilichangia fikra zangu pamoja na wachangiaji wengine.
Yesu...yap, na Ilunga alikuwa role model wako., hongera.
Much...Hapana sio wa hovyo ila ana mahaba na dini kupitiliza
Much...Unaweza elezea Kwa sentensi fupi kama hautojali mzee wangu?
Yesu...hata uwe na tuzo 100, ukweli utabaki,wewe huna faida yeyote kwenye hili taifa. matarajio yako huwa unatamani nchi ichafuke kwa udini wako, ila Mungu wa kweli yupo (sio huyo unayemwabudu), anailinda Tanzania.
Maoni yako kuhusu radicalize clip za shekhe Ilunga.Much...
Kueleza nini?
Ukweli Mzee Said sijakisoma kabisa ila naona hapa jukwaani watu huwa wanakushambulia tu eti wewe ni mdini na mimi nimeiga tu kukukandia. Kama nimepotoka unisamehe si unajua ugonjwa wetu watanzania kudandia mambo bila kujiridhisha.Muda...
Umesoma kitabu changu chochote?
Much...Maoni yako kuhusu radicalize clip za shekhe Ilunga.
Muda...Ukweli Mzee Said sijakisoma kabisa ila naona hapa jukwaani watu huwa wanakushambulia tu eti wewe ni mdini na mimi nimeiga tu kukukandia. Kama nimepotoka unisamehe si unajua ugonjwa wetu watanzania kudandia mambo bila kujiridhisha.
Maoni yako juu ya mafundisho ovu ya shekhe Ilunga?Much...
Hebu andika hiyo sentensi kwa Kiswahili nitakuelewa.
Asante kwa kunisamehe Mzee Said.Muda...
Hapana tatizo.
Much...Maoni yako juu ya mafundisho ovu ya shekhe Ilunga?
Muda...Asante kwa kunisamehe Mzee Said.
Ndo narudi palepale uko biased kwasababu Kuna video ya Ilunga akihamasisha waislam wa Tanzania wawaue mapadre na wachugi kisa shekhe alouawa Kenya Sasa hayo sio mafundisho hasi?Much...
Nieleze hayo mafundisho maovu amesema kitu gani?
Much...Ndo narudi palepale uko biased kwasababu Kuna video ya Ilunga akihamasisha waislam wa Tanzania wawaue mapadre na wachugi kisa shekhe alouawa Kenya Sasa hayo sio mafundisho hasi?
Nimejifunza mengi mno kuhusu Tanu na harakati za Uhuru wa Tanganyika kupitia historia uliyoandika.......hongera kwa hiloYuko ambae anaweza kuniambia kuwa kauli yangu peke yake ingetosha na angeniamini bila ya ushahidi wa picha?
Naona nauliza kuhusu makande naletewa Bamia...., Badala ya yale niliouliza awali.., naona tumeingia kwenye Biography yako.., Kwahio sina budi kuchukua hamsini zangu....Log...
Mimi sina tatizo.
Hiyo ndiyo historia ya wazee wangu jinsi walivyounda African Association 1929 kisha Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika)1933, wakaunda TAA Political Subcommittee 1950 na kuasisi TANU 1954.
Yote haya yako katika kitabu cha Abdul Sykes kwa ushahidi wa nyaraka na picha.
Simlazimishi mtu yeyote awaye yule kuamini nilichoandika.
Naona Kiswahili kinakupa shida unaniandikia Kiingereza.
Nina first class pass English Language Cambridge Examination 1970.
Mimi niuliza maoni yako tu.Much...
Sasa ikiwa mathalan Ilunga kasema maneno hayo vipi mimi nitahusika?
Huyu Rais wa wapi? Hilo jina laogopeshaBush...
Nakusudia historia nilizoandika hapa siku za nyuma na kuweka picha.
Mfano wa picha hii:
View attachment 3166782
Dome Okochi Budohi Kadi yake ya TANU ni No. 6