shehk ilunga ndio yule alichapisha cd nyingi kule zanzibar, akasambaza na vijana wake wa kigaidi. huyu ndio MOhamed Said anaamini kuwa alikuwa anaulingania uislam. kwa wasiojua, wanauamsho kule zanzibar waliokuwa wanamwagia wakristo tindikali, waliokuwa wanatengeneza mabom ya petroli na kurusha kwenye makanisa (nina ndugu yangu mchungaji kule alishawahi lipuliwa kanisa), huyu ndiye alianzisha mihadhara ile iliyoproduce magaidi wengi zanzibar na pwani. tukisema mzee MOhamed said ni gaidi na sapporter wa ugaidi muwe mnaelewa. Kama shehe ilunga kwake yeye ni role model, what else do you expect from huyu mzee? na anakufa masikini akiwa na moyo huo huo wa udini ambayo haijamsaidia chochote hadi leo,amejaa tu uchungu na kuamini wakristo tz wanawaonea waislam. ukiuliza kwenye lipi, hana jibu.