Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Siamini deni nililolikuta. Ni kubwa.
Nina hoja 2:
1. Kwa nini deni limetajwa kama "provisional loan balance"? Ninavyojua, provisional sio rasmi.

2. Kwa statement hii ", You are in service queue number 20156. Customer with service number 9400 Is currently being attended. Please continue to wait!!", je nipo kwa mstari wa huduma gani?
Naomba ufafanuzi kwa anaeelewa kadiri ya HESLB.
 
Sorry wadau.Hivi provisional loan balance ndio deni halisi lililobaki baada ya kufutwa kwa VRF?
 
Provisional loan balance ndo den halisi unalodaiwa, pia value retention fee pamoja na penalty vimeondolewa kidogo sana sijui kwanini bod hawataki kuviondoa kabisa?bado mzigo utakuwa mkubwa kwa wanufaika
 
Total charges ndio zinaongeza deni. Je hizi charges hawakuziweka kwenye salary slip wakati wanaanza kukata?
 
Nimejaribu sana kuingia kwenye hiyo website sifanikiwi sijui kwanini
 
Value retention fee imefutwa kias ,haijafutwa yote,naona bod wanataka waendelee kuwadidimiza wanufaika hawana huruma kabisa
 
Kama heslb wana nia nzuri wafute tozo zote ili den liweze kuwa himilivu kama den la taifa lilivyo ,bila hivyo wanufaika waandike maumivu,Pia sidhan kama wahusika wanastahili kuendelea kuwepo ofsin,kwa sababu wameshindwa kaz kabisa
Kabisa kiongozi,huenda sisi Waafrika tumetawaliwa na roho mbaya sana

Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
 
Kama heslb wana nia nzuri wafute tozo zote ili den liweze kuwa himilivu kama den la taifa lilivyo ,bila hivyo wanufaika waandike maumivu,Pia sidhan kama wahusika wanastahili kuendelea kuwepo ofsin,kwa sababu wameshindwa kaz kabisa
Wanakata kiasi kidogo sana, wamenipunguzia 630,000/=
 
Wanakata kiasi kidogo sana, wamenipunguzia 630,000/=

Sijui wanaona wakipunguza watu watanufaika walikuwa wamezoea kuwaumiza watu sasa kitendo cha Mh Raisi kuamua kuondoa VRF ,watu wa loan board wameumia sana nafikiri kuna jinsi walivyokuwa wana nufaika na hizi tozo za ajabu ,sijui kwa nin hawataki kuwa wazalendo wakafuta hizo tozo na maisha yakaendelea
 
Kinachogombewa na wapenda demokrasia si mtu afanye anavyo jisikia, bali atende kulingana na sheria. Katiba ingekuwa wazi shutuma kwa Magufuli zisingekuwepo, na kama angekaidi umauti ungemkuta mtaani au gerezani. Wala mh Samia asingepewa shukrani, kwani anatimiza wajibu wake.
 
Wanaogopa kurudisha hela kwa waliomaliza deni
Kama heslb wana nia nzuri wafute tozo zote ili den liweze kuwa himilivu kama den la taifa lilivyo ,bila hivyo wanufaika waandike maumivu,Pia sidhan kama wahusika wanastahili kuendelea kuwepo ofsin,kwa sababu wameshindwa kaz kabisa
 
Twende naye kwa step, atatufikisha mbali sana. Ni mtu wa haki.

Huo ndio wajibu wa waungwana wawo huwa wakimuogopa Mungu ki kweli si kinafiki mdomoni tu.na mnapotawaliwa na muugwana nafuu inapatikana
 
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? Aiseee

Waungwana riba kwao ni dhambi ndio maana ongezeko limetolewa mwanafunzi anafanya biashara gani ya uzalishaji wa hizo pesa ndani ya miaka mitatu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…