Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Huyu ndiye tunatakiwa kumkumbusha Ndugai aliambie Bunge kuwa, mama atake asitake tutamwongezea muda wa kuongoza bila kikomoExactly. Bi mkubwa ni msikivu
Hakuna kitu hicho mleta mada unatuchoraKama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.
Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa
Kwasasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo ( olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa
Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.
Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa m-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.
Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.
Nimejihakikishia. WamerekebishaHakuna kitu hicho mleta mada unatuchora
Kwa chuo nilichosoma mimi, YES. Ada haijabadilika kabisa, ni ileile.Sorry mkuu naomba nieleweshe. Miaka labda kumi iliyopita ada yangu chuo ililipwa milioni 5. Unataka kusema kwa sasa hivi hata kesho nikienda na million 5 na clear deni bila usumbuf wowote. Au itaongezeka haitakua ile ile million 5 exactly? mwarobaini
Tatizo halikuwa la bodi. Ni jiweSawa lkn awaambie hao watu wa bodi kuwa mkopo ni haki wa kila raia.Kusema kisa umesomesha mtt wako shule ya kulipia unyimwe mkopo si saw.
Shetani wa kike wewe.Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Ok mkuu umesema kwenye slip ipo vilevile ila kwenye chungu cha bodi ya mikopo inasomeka kivingine.Kwa chuo nilichosoma mimi, YES. Ada haijabadilika kabisa, ni ileile.
Swali kama wameondoa hiyo tozo tafsiri yake ni kwamba haikuwa halali, je Yale Makato uliyokatwa kinyume na makubaliano utarudishiwa au yanaingia kwenye kupunguza deni? Au ndo unafunika kombe mwanaharamu apite.Kama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.
Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa
Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa
Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.
Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.
Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.
Hapana, la bodi likiisha nakweda kuchukua barua inayoonesha nimemaliza deni, kisha naipeleka kwa afisa utumishi ambaye atasitisha makato kutoka kwenye mshahara.Ok mkuu umesema kwenye slip ipo vilevile ila kwenye chungu cha bodi ya mikopo inasomeka kivingine.
Sasa huoni ya kwamba utaendelea kutumikia deni linalo onekana kwenye slip kwasababu ndilo linalo tambulika na hazina?
Ushauri ni vyema bod ya mikopo kama kweli imepunguza kwa namna hiyo wawasiliane na ofisi za utumishi watume majina na kiasi cha madeni cha wanaokatwaHapana, la bodi likiisha nakweda kuchukua barua inayoonesha nimemaliza deni, kisha naipeleka kwa afisa utumishi ambaye atasitisha makato kutoka kwenye mshahara.
Na ikitokea mchakato umechelewa wakanikata zaidi, upo utaratibu wa kurudishiwa pesa yako kutoka bodi.
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
haha subiri povu mubashara hapaSwala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
kweli mchawi sio lazima abebe tunguriSwala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
kabisa aisee.Sawa lkn awaambie hao watu wa bodi kuwa mkopo ni haki wa kila raia.Kusema kisa umesomesha mtt wako shule ya kulipia unyimwe mkopo si saw.
mwarobaini_Nawezaje kuona au kufahamu status ya deni langu kwa njia ya mtandao? @mwarobain etal
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app