Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ntakua nshakufaUnasubiri waje wadake pension yako?
Asante mkuu. Umesomeka.Kama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.
Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa
Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa
Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.
Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.
Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.
---- update----
Wadau wengi wameuliza namna ya kuangalia, naamini bodi watatoa maelekezo zaidi lakini kwa hapo ngoja nieleze kwa ufupi.
Ingia kwenye website
View attachment 1830801
Kwenye dashboard (juu kushoto) chagua loan repayment
View attachment 1830804
Kisha baada ya apo, chagua beneficiary/lonee/ employee login
View attachment 1830805
Baada ya hapo ingiza namba yako ya form four kwa format inayo onekana
View attachment 1830806
System itaiangalia namba hiyo kwenye database ya bodi na kukuketea jina lako mnufaika.
Baada ya hapo utathibitisha kuwa ni jina lako kweli kwa ku click hilo jina.
Baada ya hapo utajaza taarifa muhimu kama namba ya simu, email na taarifa za mwajiri pamoja na kutengeneza password.
Ukikamilisha utakua umeshatengeneza account kwenye mfumo wao
Baada ya hapo uta log in as registered user na utaona taarifa zako zote za deni lako. Pia utaona control namba unayoweza kuitumia kulipa mwenyewe.
Natumaini inaeleweka.
NB sijaweka picha za hatua za mwisho kwakua zinaonesha taarifa binafsi za mnufaika.
Hapo juu kwenye njano ..unadaiwa mil 3 hvHapa deni langu lmebaki sh.ngapi maana sielewiiiiiiiView attachment 1830840
Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
Nami ndo nilikuwa nataka kuuliza vivyo hivyo..maana naona kuna Disbursed amount,total charges na amount repaid so deni hapo ni total charges au????....hebu wataalm mtusaidie kidogo.Hapa deni langu lmebaki sh.ngapi maana sielewiiiiiiiView attachment 1830840
Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
Jinsi nilivyo elewa hapo kwako ni kama kwangu hapa.Hapa deni langu lmebaki sh.ngapi maana sielewiiiiiiiView attachment 1830840
Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
Ni hiyo milioni tatu laki tatu na kitu.Hapa deni langu lmebaki sh.ngapi maana sielewiiiiiiiView attachment 1830840
Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa, mimi nilipoliona langu kipindi cha mwendazake nilipagawa, nikatamani hata kwenda benki kukopa nimalizane nao.Shukran mkuu..nmeona..there is a big difference
Wakayi was mwendazake nilienda ofisini kwao wakaniprintia deni la milioni tisa..sasa hv nmecheki deni limepungua hadi milioni mbili.
Nadhani kuna utaratibu wa kurudishiwa fedha zao.kwa hiyo waliolipa hiyo VRF ndo wamepigwa au watarudishiwa
Ok asantee asa kule kwenye salary slip inasomeka milioni 6 na kituNi hiyo milioni tatu laki tatu na kitu.
Disbursed amount ni pesa uliyokopeshwa.
Total amount repayed ni hela uliyo lipa mpaka sasa
Total charges ni tozo zao, na hapo ndio palikua na uchawi, ulikua unakuta mamilioni hapo.
Deni lako = (Disbursed amount + total charges) - repayed
Security code ni hayo maandishi yenye herufi na namba za ajabu ajabu, unapaswa kuyajaza kwenye sehemu ya secury code kama yanavyo onekana, herufi kubwa kwa kubwa, ndogo kwa ndogo na namba vilevile. Ni mifumo ya kiusalama ili kuzuia automated botsMkuu mbona mi niki log in, naambiwa 'acces denied,' na security code ni kitu gani
Inabidi wafanye hivyo maana. Ukiangalia hapa VRF zetu hazionekani.Nadhani kuna utaratibu wa kurudishiwa fedha zao.
Kwa ufafanuzi huu ni kama vile hakuna kipya unless kuwe kuna maelezo ya tofauti...how come ujumlishe total charges na disbursed amount (tofauti hapo iko wapi sasa i.e. total chares & disbursed???)Ni hiyo milioni tatu laki tatu na kitu.
Disbursed amount ni pesa uliyokopeshwa.
Total amount repayed ni hela uliyo lipa mpaka sasa
Total charges ni tozo zao, na hapo ndio palikua na uchawi, ulikua unakuta mamilioni hapo.
Deni lako = (Disbursed amount + total charges) - repayed
Uliziona hizo total charges kabla ya VRF kuondolewa zilikua kiasi gani??Kwa ufafanuzi huu ni kama vile hakuna kipya unless kuwe kuna maelezo ya tofauti...how come ujumlishe total charges na disbursed amount (tofauti hapo iko wapi sasa i.e. total chares & disbursed???)