Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujasoma Sheria sisi. Tumesomea machumaJmn sheria huwa ni restrospectively...now onwards sio kurudi nyuma
mana makato ya nyuma yalikuwepo kisheria vile vile..
shuleni huwa mnasomea nini jmn
Sasa mkuu hiyo "total charges amount" wamemcharge km laki tano na kitu. Je hii ni inaitwaje? na ni asilimia ngapi ya deni ?Ni hiyo milioni tatu laki tatu na kitu.
Disbursed amount ni pesa uliyokopeshwa.
Total amount repayed ni hela uliyo lipa mpaka sasa
Total charges ni tozo zao, na hapo ndio palikua na uchawi, ulikua unakuta mamilioni hapo.
Deni lako = (Disbursed amount + total charges) - repayed
Salary slip yako inasoma ngapi hadi june 2021?Hapa deni langu lmebaki sh.ngapi maana sielewiiiiiiiView attachment 1830840
Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
Lilikuwa ngapi ?Huyu mama aendelee hadi achoke mwenyewe. Yaan kufumba na kufumbua deni langu leo limebaki 1m!! Asante Mungu. Maana lilikua liende hadi 2024!!
kwa hiyo kujibu/kujua hiyo retrospective tu basi kwa hilo unajiona msomi...acha ujinga mkuu.....ndo maana tunaulizana ili kupata mawazo ya wengineJmn sheria huwa ni restrospectively...now onwards sio kurudi nyuma
mana makato ya nyuma yalikuwepo kisheria vile vile..
shuleni huwa mnasomea nini jmn
Malizia kuandika namba zote. Huo ujumbe utatoka.Msaada jamani. Upande wangu inagoma. kila nikianza kuandika "S" namba ya mtihani inasema incorect. Tazama picha hapo chini.
NB. Natumia simu ya android, kwa browser ya opera mini.
Msaada Tafadhali!
View attachment 1831557
Halafu index number iwe na digits 4.Mfano SO308.OO76.1998.Hizo za katikati kuna vyeti vya zamani vina digit 3 hapo ongeza 0 itajipaMsaada jamani. Upande wangu inagoma. kila nikianza kuandika "S" namba ya mtihani inasema incorect. Tazama picha hapo chini.
NB. Natumia simu ya android, kwa browser ya opera mini.
Msaada Tafadhali!
View attachment 1831557
Daah! Mungu ambariki Mama Samia. Nimekuta mabadiliko makubwa
Mama Mungu amjaliie neema kubwakubwa na ndogondogo, kwangu mil 3,700,000/= ambazo nilikuwa nimeporwa kijambazi kabisa zimepungua aisee.Sasa hii statement ambayo wamesema watatuma within 72 hours nadhani kwa email itakua valid kwenda kurekebisha makato kweli?Dah ,nimeteseka sana. Asante mother
Mil 4 na ushee.Imepungua ngapi mkuu?
Mimi inagoma kuingiza username.Mil 4 na ushee.