Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Mi bado hajanishtua,washushe kutoka 15% HESLB mpaka 10% maana ukikopa Bank unakatwa hiyo 15% so no sawa na umekopa Bank mbili si umaskini huo
 
Halafu index number iwe na digits 4.Mfano SO308.OO76.1998.Hizo za katikati kuna vyeti vya zamani vina digit 3 hapo ongeza 0 itajipa
Nimefanikiwa, bado inagoma kuingiza username, niki click keyboard haiji ili niandike username.
 
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiJ
Je,serikali imejiwekea hiyo 6% ya VRF kwenye deni la mshahara linaloidai kwa miaka zaidi ya 5 sasa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea na wee muhanga wa hilo vanga? Acheni kulia lia bhana, lipeni madeni tena kwa riba kubwa, ili wanufaika wawe wengi,
Wanafunzi wahitaji wa mikopo ni wengi msisahau hilo pia.
Yani shida sio kulipa kabisa shida sio kulipa....
Nimekopeshwa m6 sawa, penalty m1, retention fee m4, deni likawa m11 sawa sijakataa....ila kwanini hiyo m11 tena isiishe? Yani kila mwaka inaongezeka tu? Upimbi huo, kwakweli Samia abarikiwe kwa hilo....ntahakikisha naclear kabla hajaja mwingine akatufanyia umagufuli.
 
Yani shida sio kulipa kabisa shida sio kulipa....
Nimekopeshwa m6 sawa, penalty m1, retention fee m4, deni likawa m11 sawa sijakataa....ila kwanini hiyo m11 tena isiishe? Yani kila mwaka inaongezeka tu? Upimbi huo, kwakweli Samia abarikiwe kwa hilo....ntahakikisha naclear kabla hajaja mwingine akatufanyia umagufuli.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan hii habari mlivoipokea wallah naona SAMIA kawagusa penyewe palipouma, yeye kafuta kabisa had kovu la jeraha. Mweeeeeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan hii habari mlivoipokea wallah naona SAMIA kawagusa penyewe palipouma, yeye kafuta kabisa had kovu la jeraha. Mweeeeeh
Kwakweli katutendea haki, anabarikiwe sana....
 
Hatimaye Website yao wameifunga, iko suspended sijui kuna shida gani?
 
Yani shida sio kulipa kabisa shida sio kulipa....
Nimekopeshwa m6 sawa, penalty m1, retention fee m4, deni likawa m11 sawa sijakataa....ila kwanini hiyo m11 tena isiishe? Yani kila mwaka inaongezeka tu? Upimbi huo, kwakweli Samia abarikiwe kwa hilo....ntahakikisha naclear kabla hajaja mwingine akatufanyia umagufuli.
Kwakweli mama tukalimalizie tu kabla hajaja mwendawazimu mwingine akatufanyia umafia.
Kwakweli huyu mama ananifurahisha basi tu.
 
Mlivokua mnapokea mkopo na boom, mlikua mnaona raha san, ila kulipa mnapiga mayowe,
Acheni ujinga, mlipe madeni ya HELSB.
Acha wivu wa kike.....ulikatazwa usiombe ? kama hukua na vigezo vya kupata mkopo si ukae kimya tu
 
Wewe mwenyewe haujui unachosema. Restrospective = ina-apply kwa miaka ya nyuma pia. Sheria haitakiwi ku-apply retrospectively. Lakini kwa Tanzania inawezekana. Sheria ya makato ya 15% ili-apply retrospectively. Hata wale ambao tulimaliza zamani kabla ya hiyo sheria ya Ndugu-gay kupitishwa, tunakatwa 15%. Hii haikuwa kwenye mikataba yetu. Kwa hiyo muuliza swali ana haki ya kuuliza. Hapa kwetu neno la Rais ndio sheria.
Jmn sheria huwa ni restrospectively...now onwards sio kurudi nyuma

mana makato ya nyuma yalikuwepo kisheria vile vile..

shuleni huwa mnasomea nini jmn
 
Kama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.

Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa

Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa

Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.

Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.

Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.

---- update----
Wadau wengi wameuliza namna ya kuangalia, naamini bodi watatoa maelekezo zaidi lakini kwa hapo ngoja nieleze kwa ufupi.

Ingia kwenye website

View attachment 1830801


Kwenye dashboard (juu kushoto) chagua loan repayment
View attachment 1830804

Kisha baada ya apo, chagua beneficiary/lonee/ employee login

View attachment 1830805

Baada ya hapo ingiza namba yako ya form four kwa format inayo onekana

View attachment 1830806

System itaiangalia namba hiyo kwenye database ya bodi na kukuketea jina lako mnufaika.

Baada ya hapo utathibitisha kuwa ni jina lako kweli kwa ku click hilo jina.

Baada ya hapo utajaza taarifa muhimu kama namba ya simu, email na taarifa za mwajiri pamoja na kutengeneza password.

Ukikamilisha utakua umeshatengeneza account kwenye mfumo wao

Baada ya hapo uta log in as registered user na utaona taarifa zako zote za deni lako. Pia utaona control namba unayoweza kuitumia kulipa mwenyewe.

Natumaini inaeleweka.
NB sijaweka picha za hatua za mwisho kwakua zinaonesha taarifa binafsi za mnufaika.
HAKUNA kumsifia mama wala wizara, Sisi huku mahakama, mawakili binafsi wanapata fedha nyingi na hakuna anayelipa, kama kweli HELSB wajanja bas waje waombe mfumo wa mawakili uunganishwe na bodi, kwamba wakili hapati leseni yake kama hajaanza kulipa kila mwaka.
 
Back
Top Bottom