Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Huwa sipendi matusi lakini ubishi wako ni wa kijinga. Hivi ndivyo ulivyoandika:

1624802043098.png

Umeandika kuwa "sheria huwa ni retrospectively". Ulitakiwa kuandika hivi "sheria huwa SIYO retrospective". Kwa sababu wewe ni idiot wa kwanza kabisa huoni tofauti, huoni kosa lako. Baada ya hizo "..." unasema, "now onwards sio kurudi nyuma". Kama siyo kurudi nyuma, kwa nini unasema, "sheria huwa ni retrospectively" Kama hauni contradiction hiyo, basi kaa nao huo mpaka siku unaingia kaburini.

Hata kama ujinga ulioundika ungekuwa sahihi, inatakiwa kuwa "sheria huwa ni retrospective", siyo "....retrospectively". Tatizo siku hizi mavyuo yako mengiiiii. Hata msiostahili kwenda vyuoni mnakwenda tu kwa vile hosteli zipo kwa ajili yenu.

Halafu eti unajaribu ku-define neno retrospective kwangu. Mbona huku-define "restrospectively" uliyoitumia hapo juu? Hata Kiswahili kinakushinda. Ni "siyo" siyo "sio".
U can use google Idiot.,
Sheria ilipobadilishwa hamna kurudi nyuma ni kwenda mbele..

mkataba wenu hamjarudi nyuma ni kuanzia hapo kwenda mbele
Similar wth situation ya Mh Samia
View attachment 1832269
 
Huwa sipendi matusi lakini ubishi wako ni wa kijinga. Hivi ndivyo ulivyoandika:

View attachment 1832286
Umeandika kuwa "sheria huwa ni retrospectively". Ulitakiwa kuandika hivi "sheria huwa SIYO retrospective". Kwa sababu wewe ni idiot wa kwanza kabisa huoni tofauti, huoni kosa lako.

Hata kama ujinga ulioundika ungekuwa sahihi, inatakiwa kuwa "sheria huwa ni retrospective", "....retrospectively". Tatizo siku hizi mavyuo yako mengiiiii. Hata msiostahili kwenda vyuoni mnakwenda tu kwa vile hosteli zipo kwa ajili yenu.

Halafu eti unajaribu ku-define neno retrospective kwangu. Mbona huku-define "restrospectively" uliyoitumia hapo juu?
Ohhh faaaaaaaak mee...
UR RIGHT

IN CAPS...

thought i wrote the word NOT retrooo..

U got me🙈
So good.,
We on the same i suppose
 
Elimu yetu ina mapungufu makubwa siku hizi japo kila mtu ana degree siku hizi. Degree hazina maana tena. Unavyoandika tu, najua km umeelimika ama una certificate tu. Halafu lugha unayotumia kwa watu pia inaonyesha kuwa una certificate bila elimu. Unapenda sana kutumia matusi badala ya kujibu hoja kwa hoja. Posts zako nimezisoma.

Hv = hivi

Hio = hiyo

Sio = siyo

Haya yote walimu wanafundisha shule ya msingi. Kiingereza sijui ndio itakuwaje?
Hv hamna fani zingine hadi nisome hio?.

ama kisa am the idiot now sio🤦🏼‍♀️
 
Elimu yetu ina mapungufu makubwa siku hizi japo kila mtu ana degree siku hizi. Degree hazina maana tena. Unavyoandika tu, najua km umeelimika ama una certificate tu. Halafu lugha unayotumia kwa watu pia inaonyesha kuwa una certificate bila elimu. Unapenda sana kutumia matusi badala ya kujibu hoja kwa hoja. Posts zako nimezisoma.

Hv = hivi

Hio = hiyo

Sio = siyo

Haya yote walimu wanafundisha shule ya msingi. Kiingereza sijui ndio itakuwaje?
I this an academic forum?. Or am i striving for marks ?.that i have to get my grammar and punctuation in check the whole damn time?!

u got the msg in my text didnt you?.!
 
Elimu yetu ina mapungufu makubwa siku hizi japo kila mtu ana degree siku hizi. Degree hazina maana tena. Unavyoandika tu, najua km umeelimika ama una certificate tu. Halafu lugha unayotumia kwa watu pia inaonyesha kuwa una certificate bila elimu. Unapenda sana kutumia matusi badala ya kujibu hoja kwa hoja. Posts zako nimezisoma.

Hv = hivi

Hio = hiyo

Sio = siyo

Haya yote walimu wanafundisha shule ya msingi. Kiingereza sijui ndio itakuwaje?
And congrats for taking the time to read my posts.,so much time to waste..
Are you a profiler or what?.
 
mwarobaini_ mbona kwangu hairespond nikiweka index no inatakiwa ubonyeze wapi ili I search nipate status ya mkopo.
 
mwarobaini_ mbona kwangu hairespond nikiweka index no inatakiwa ubonyeze wapi ili I search nipate status ya mkopo.
Baada ya index number weka mwaka ulomaliza kdt cha nne then inarespond automatic. Kabla hujaweka index number kuna maelekezo ndani ya hicho kibox, iandike kwa kadri maelekezo yanavyokutaka.
 
Back
Top Bottom