Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
mwarobaini_ mbona leo kila index number inasema no data found? Na hata ukitumia advance search inagoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa lako ni kusema watu walipe kama vile wamekataa kulipa.Wala hata mie nilikua nalalamika kupitia wenzangu, na hata sijawahi kupata mie, hata pale enyewe sikusema napewa, ila nlkua nasema chuoni kwetu jinsi watu hela waliyopewaa,
Mie sina tatzo na watu kupokea mkopo, tena napenda wanufaika wawe wengi, ila tyuuh wakati wa malipo walipe bila kelele.
Au kosa langu ni lipi mommy.
Mbona wao ukiwadai hawaweki hiyo ya ongezeko la thamani?Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Mkuu nimeshindwa kucheki deni langu, naomba msaadaNilichogundua baada ya kuingia kwenye hyo portal ni kwamba Deni limeisha na ninawadai Kama laki mbili na pointi. Kitu kingine ninachokiona yani chuo na course niliyosoma ni tofauti kabisa na walichoandika kwenye hiyo statement, Sasa najiuliza hata Hilo Deni nililolipa ni langu kweli? Mi nilikuwa miongoni mwa wanafunzi waliopata multiple admission lakini wao kwenye statement yao wameandika chuo ambacho nilikiacha badala ya chuo nilichosoma. Heslb sidhani Kama wapo serious na kazi yao nahisi Kuna ubambikizwaji mkubwa Sana wa madeni
Mkuu nimeshindwa kucheki deni langu, naomba msaada
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Sawq.Safi....
Unaweka index number alafu mwaka au inakuwaje?Umeshindwa hatua gani?
Sasa inatakiwa lawama wazitoe kuanzia waliomaliza chuo 2012 kurudi nyuma, au nakosea?Kosa lako ni kusema watu walipe kama vile wamekataa kulipa.
Tatizo lipo kwenye VRF. VRF ilipitishwa na bunge mwaka 2013, na ikawahusu hadi wale wa miaka ya nyumba, ambao mkataba wao haukuwa na VRF. Je, hauoni ni kuvunja mkataba?
S3630.0005.2010Unaweka index number alafu mwaka au inakuwaje?
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Ingia kwenye website yao ujisajili utatumia index no ya kidato Cha nne then ukishajisajili utaweza kuona statement yako na hata Kama ukitaka kuwalipa kabisa utaona control number piaMkuu nimeshindwa kucheki deni langu, naomba msaada
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Kwenye kujaza Username mbona inagoma?Ingia kwenye website yao ujisajili utatumia index no ya kidato Cha nne then ukishajisajili utaweza kuona statement yako na hata Kama ukitaka kuwalipa kabisa utaona control number pia
Kama hapo kwenye circle....mbona username inagoma uki-click??Ingia kwenye website yao ujisajili utatumia index no ya kidato Cha nne then ukishajisajili utaweza kuona statement yako na hata Kama ukitaka kuwalipa kabisa utaona control number pia
Weka katika format hiiKama hapo kwenye circle....mbona username inagoma uki-click??View attachment 1833958
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ukishaweka iyo format si ndo inakuletea hiyo create repayment portal?
User name yako ni index number ya form four na mwaka ulohitimu kama huo mfano alokuonyesha unavyoonekanaUkishaweka iyo format si ndo inakuletea hiyo create repayment portal?
Sasa username unaingizaje hapo ili ujiregister..???
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Check hizi steps mwambaUkishaweka iyo format si ndo inakuletea hiyo create repayment portal?
Sasa username unaingizaje hapo ili ujiregister..???
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mwaka wa fedha bado haujaanza, lakini ni kweli value retention fee imetolewa.Hakuna kilichobadilika HESLB mtoa mada anatuchora tu
Sasa hapo kwenye no. 3 kujaza hizo details uki-ckick sehemu ya username ili uandike haitokei .