Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanza kuli jumatatu sasa. Hapo tumekuwa lugha moja na serikali yangu pendwaKama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.
Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa
Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa
Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.
Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.
Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.
😀😀😀😀 nilisema wasipo ondoa huo utopolo sitolipa kamwe. Hapa jumatatu naenda kifua mbele kabisa kuangaza wapa mzigo waoMama tumpe mitano Tena, Mimi ngoja nilipe Deni langu kabla miaka yake haijaisha asije kuja mwingine akaridisha hyo VAR
Mwenyewe nilikuwa silipi huo Utopolo Yani elimu ni huduma na sio biashara why watupandishie gharama ya 6 kila mwaka regardless mtu una kazi au hauna. Sasa ni kulipa tu mapema maana akija Rais mwingine kichwa ngumu ni mwendo wa kuumizwa tu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nilisema wasipo ondoa huo utopolo sitolipa kamwe. Hapa jumatatu naenda kifua mbele kabisa kuangaza wapa mzigo wao
Mkuu nisaidie jinsi ya kuangalia ninafanyaje?.Nimejihakikishia. Wamerekebisha
Sasa idai wewe serikali hata elfu moja halafu kaa baada ya miaka ishirini uone kama watakuongezea hata miaSwala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Shida sio kulipa, shida ni kunikopesha halafu kila mwaka deni linajiongeza tu maana yake ni kwamba halitakaa liishe....Mlivokua mnapokea mkopo na boom, mlikua mnaona raha san, ila kulipa mnapiga mayowe,
Acheni ujinga, mlipe madeni ya HELSB.
Elimu ni sehemu ya huduma za jamii. Ni wajibu wa serikali kuwapa wananchi wake huduma zote za kijamii, mfano elimu, afya, barabara nk.Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Kama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.
Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa
Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa
Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.
Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.
Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.
Nime update uzi mkuuNawezaje kuona au kufahamu status ya deni langu kwa njia ya mtandao? @mwarobain etal
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nimesha uptade uzi kueleza namna ya kuangalia. Hopefully utaweza kuona.mwarobaini_
Mkuu tusaidie kujibu hapa.
Ipo mkuu, japo inaonekana kuna traffic kidogo, lakini ukiwa mvumilivu unaweza kuona kila kitu.Website ya bodi haipo hewani
Wewe sio mnufaika inaonekanaHivi huu uongo huwa unawasaidia nn
Nimeweka update kwenye uzi mkuu, jaribu kuangaliaMkuu nisaidie jinsi ya kuangalia ninafanyaje?.
Sasa nikitengeneza account online ili nione deni langu si ndio wataniona na kunigundua coz kwa sasa siko tayar kuanza kulipa na sitaki niingize details zanguKama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.
Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa
Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa
Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.
Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.
Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.
---- update----
Wadau wengi wameuliza namna ya kuangalia, naamini bodi watatoa maelekezo zaidi lakini kwa hapo ngoja nieleze kwa ufupi.
Ingia kwenye website
View attachment 1830801
Kwenye dashboard (juu kushoto) chagua loan repayment
View attachment 1830804
Kisha baada ya apo, chagua beneficiary/lonee/ employee login
View attachment 1830805
Baada ya hapo ingiza namba yako ya form four kwa format inayo onekana
View attachment 1830806
System itaiangalia namba hiyo kwenye database ya bodi na kukuketea jina lako mnufaika.
Baada ya hapo utathibitisha kuwa ni jina lako kweli kwa ku click hilo jina.
Baada ya hapo utajaza taarifa muhimu kama namba ya simu, email na taarifa za mwajiri pamoja na kutengeneza password.
Ukikamilisha utakua umeshatengeneza account kwenye mfumo wao
Baada ya hapo uta log in as registered user na utaona taarifa zako zote za deni lako. Pia utaona control namba unayoweza kuitumia kulipa mwenyewe.
Natumaini inaeleweka.
NB sijaweka picha za hatua za mwisho kwakua zinaonesha taarifa binafsi za mnufaika.
Unasubiri waje wadake pension yako?Sasa nikitengeneza account online ili nione deni langu si ndio wataniona na kunigundua coz kwa sasa siko tayar kuanza kulipa na sitaki niingize details zangu