Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumlawiti mke wake

Mahakimu wengi wa mikoani huwa hawatendi haki haki harta kidogo wanataka sifa eidha watapandishwa cheo au watapelekwa dar mfano
Mmama aliyekutwana nyama ya swala eti anatumikia kifungo miaka 20 kweli ‘huyo hakimu angekuwa nduguye angefanya hayo iliniuma sana
 
Mke kabaki na mzigo wa kulea watoto peke yake.
Angekausha tu...maana mara moja haidhuru na inavumilika, japo si nzuri kiafya, huenda mke pia aliichoka ndoa, hivo alikuwa anatafuta pa kutokea.
(MSININUKUU VIBAYA.
NI MTAZAMO WANGU MIMI BINAFSI)
 
Mke kabaki na mzigo wa kulea watoto peke yake.
Angekausha tu...maana mara moja haidhuru na inavumilika, japo si nzuri kiafya, huenda mke pia aliichoka ndoa, hivo alikuwa anatafuta pa kutokea.
(MSININUKUU VIBAYA.
NI MTAZAMO WANGU MIMI BINAFSI)
Mke yuko sahihi.umaskini usikuvue utu wako
Hapo amemlawiti angekuja kumlawiti tena na tena from there angeanza dharau.hakuna mwanamke ambae amefanyiwa huo udhalimu akaishi vizuri na mume wake.kila siku wanaume wanataka tako jipya.akafie jela huko
 
Hapo ndo pale wanaposema Umeruka mkojo umekanyaga mavi... Mwanamke alifanya kwa hasiraa itakuwa hadi sasa haamini kaachiwa mzigo wa watoto apambane nao..!! Haina kukata rufaaa wala kupindishaa..[emoji16][emoji16][emoji16] kama mwana wangu flani alijaza kitumbo mwanafunzi tukamwambia torokaa akawaa anajichekeshaa oohoo mzahaa sio mzahaaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…