Daaah inasikitisha ukute alimlawiti kimasikhara tu [emoji3][emoji3][emoji3]Hapo ndo pale wanaposema Umeruka mkojo umekanyaga mavi... Mwanamke alifanya kwa hasiraa itakuwa hadi sasa haamini kaachiwa mzigo wa watoto apambane nao..!! Haina kukata rufaaa wala kupindishaa..[emoji16][emoji16][emoji16] kama mwana wangu flani alijaza kitumbo mwanafunzi tukamwambia torokaa akawaa anajichekeshaa oohoo mzahaa sio mzahaaa..
Sasa ulitaka waziri hapewe hukumu sawa na asiye waziri.Mwanamke akifanyiwa ni kosa la jinai, Ila akifanyiwa mwanaume kwake Haina shida
Cc.Aliyekuwa Waziri Wa KATIBA .. ALIMWINGIZIWA MWANAUME CHUPA Na DPP kaona Hana hatia (Gekul)
Nadhani mwanamke pamoja na kushitaki hakutarajia kama yatapelekea miaka 30. Kama angejua angevunga tu.Mke kabaki na mzigo wa kulea watoto peke yake.
Angekausha tu...maana mara moja haidhuru na inavumilika, japo si nzuri kiafya, huenda mke pia aliichoka ndoa, hivo alikuwa anatafuta pa kutokea.
(MSININUKUU VIBAYA.
NI MTAZAMO WANGU MIMI BINAFSI)
Inategemea we ni nani nchi.sema nini sheria za kichoko sana, yule crush wangu kaingiza chupa kwa puru ya msela, kaachiliwa anadunda Babati kule
Hapo ndoa haipo Tena,nadhan hakutegemeaNadhani mwanamke pamoja na kushitaki hakutarajia kama yatapelekea miaka 30. Kama angejua angevunga tu.
Sijui ndugu wa upande wa kiume watamchukuliaje huyu mmwanamke na pengine alikuwa tegemeo kwao.
Uko sahihi kbsa ,huyo jamaa mwenzetu kazingua ,angekuja huku DSM awafanyie Malaya waliokubuhuWatoto watakua tu,Kuna watu wanafariki na watoto wanalelewa na mama,huwezi kuvunjiwa utu uendelee kumvumilia kisa watoto,,,,Sasa kichaa kama huyo anaweza hata kulea watoto?
Sometimes nawaza hata sijui nikifanye nini. Kizazi cha mihemko na milipuko. Hovyo sana.Hiki kizazi ni Cha hovyo sana.
Charaza bakora tuSometimes nawaza hata sijui nikifanye nini. Kizazi cha mihemko na milipuko. Hovyo sana.
Tatizo hajafanyia starehe,kafanya ukatili...Huku DSM buku mbilimbili tu,....sandakaraweUko sahihi kbsa ,huyo jamaa mwenzetu kazingua ,angekuja huku DSM awafanyie Malaya waliokubuhu
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Geita tayari jamaa kamaliza mwanaye wa miezi mi5Masaa 24 mengi Geita watakuwa wamesha-equlize. Maana naona Njombe katupia 2 in a row yaani hili na la jamaa aliyemcharanga vipande vipande mkewe.
Hapo ndio patamu.Nadhani mwanamke pamoja na kushitaki hakutarajia kama yatapelekea miaka 30. Kama angejua angevunga tu.
Sijui ndugu wa upande wa kiume watamchukuliaje huyu mmwanamke na pengine alikuwa tegemeo kwao.
Hao wana ugomvi wao mwingineSasa mke si alipakwa mafuta? Tatizo nn akimbilie police?
Yaani mkeo akushinde kumlalinisha atulie?
Mahakama ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniface Mtweve(28) mkazi wa kata ya Lugarawa kwa kosa la kumlawiti mke wake (27) ambaye jina lake limehifadhiwa.
Awali akisomewa shitaka hilo na mwendesha mashtaka Asifiwe Asajile mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Isaac Ayeng'o ilielezwa kuwa mwanamke huyo alienda kwenye harusi na kuchelewa kurudi nyumbani kwake ambapo aliporejea majira ya usiku alimkuta mumewe nje akimsubiri huku akiwa amekasirika.
Amesema kuwa mtuhumiwa huyo alimuamuru mkewe kuingia ndani na alipoingia akaanza kimfokea kuwa ametoka kwa wanaume na hakuwa kwenye harusi hivyo anataka amuoneshe kuwa yeye ni ndiye mwanaume ndani ya nyumba ambapo akachukua mafuta na kumfanyia kitendo hicho kitu ambacho ni kinyume cha sheria kifungu namba 154(1) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022.
Ameongeza kuwa kulipokucha mkewe alitoa taarifa kituo cha polisi na kisha mtuhumiwa alikamatwa na kufikishwa mahakamani ambapo alikana shitaka hilo lakini baada ya kufanyika uchunguzi na kutolewa ushahidi wa pande zote mbili mtuhumiwa alikutwa na hatia na katika utetezi wake aliiomba mahakama impunguzie adhabu kwani ana watoto wadogo wanaomtegemea.
Kutokana na utetezi huo hakimu huyo aliyapokea maombolezo yake kisha kumhukumu kifungo hicho cha miaka 30 jela huku mwendesha mashtaka huyo Asifiwe Asajile akisema adhabu hiyo iwe fundisho kwa wale wote wenye tabia hizo kwani kitendo hicho ni cha kikatili na udhalilishaji.
View attachment 2869886
#WasafiDigital