Aiba mtoto wa bosi wake, adaiwa kumlawiti kwa miezi mitano

Dogo la miaka 14 linapakuliwa na kunyamaza ni lisenge promax.

Mharifu asakwe na kukatws pumpu moja
kWanza mimi siwez kumuita hata mtoto,kijana wa miaka 14 mbona ni mtu mzima kabisa na anaweza kulisha familia

Huyo dogo nae alitaka,kama ni mwanangu ningemfukuza nyumban kabisa

Eti anatishiwa kama watoto wa chekechea eti "nitakuua" nae akanyamaza
 
Kwa hiyo hapo unamlaumu mtoto na sio huyo baradhuli zee zima la miaka 37 kumuingilia mtoto wa miaka 14!!!

Ushenzi hauwezi kuisha kwa mawazo haya
Hata mimi namlaumu huyo dogo,kwanza mimi siwez kumuita mtoto ,kijana mwenye miaka 14

Angekuwa mwanangu ningemtimua nyumban kabisa

Yaan ana miaka 14 anatishiwa kama watoto wa chekechea,eti atauwawa nae akaogopa

Wakati huku kwetu vijana wenye miaka 14 wanawatia mimba wake za watu
 
Moshi Arusha hizi tabia zimeshamiri kila nyumba 100 nyumba 30 ndizo ziko salama 70 kuna vijana wanao rawitiwa hasa boda boda hii ndio faidi ya utalii na bado mashi Arusha siku za usoni kila nyumba atakuwemo shoga
 
Dakitali alithibitisha?
 
Ina maana huyo kijana wa miaka 14 alipoanza kufanyiwa kitendo hicho toka akiwa machungani wazazi hawakuwahi kugundua kweli!
 
Tatizo kutaka bule mtu anaona kuchunguza kutamfanya atumie gharama kubwa pia kuna baadhi ya familia ukichukua mtoto wao wanakusainisha mkataba na mshahara unawekwa wazi,watu wanataka mtu wakutimikisha kwa malipo ya sh 50,000 kwa mwezi
 
Dunia ya leo inakuaje ucheze na Mtoto wa mpangaji mwenzako ?
ana kipato gani cha kuweza kuhonga fedha hiyo kirahisi rahisi wakati ana uhakika hakufanya tukio baya kwa mtoto ?
 
Kweli kabisa kuna watu bado wanawatumisha watu kuliko waarabu na wazungu
 
Kwa hiyo hapo unamlaumu mtoto na sio huyo baradhuli zee zima la miaka 37 kumuingilia mtoto wa miaka 14!!!

Ushenzi hauwezi kuisha kwa mawazo haya
Tatizo malezi mtoto miaka 14 mpaka anafikia kufanyiwa hivyo alafu anakaa kimia?
 
Qmmmk labda mm sio mmeru huyo bos angeona nyota zote za ulimwengu
 
Ha ha ha acha mikwara mji huu unawajuaji wengi
kataaa unyonge
sio mikwara mm kuua mtu kwa sabab amenidhulum wala sifikirii labda iwe kitu kidogo sana au kachimba nisimuone mazima wqlq nisijue namna yq kumpata
USIKUBAL kudhulumiwa hata mungu anachukia
 
Mkuu chief mingungo wa mvomero inakuwaje? 👌🏿🙌🏿👆🏿😆
 
Kama ni kweli nimesikitika sana. Ila hao wazazi nahisi hawana akili kabisa. Waliishirikisha polisi baada ya mtoto na mbuzi kutoweka? Walitoa tangazo kwenye vyombo vya habari kuhusu mtoto wao? Kama mtuhumiwa alipatikana kwenye mawasiliano kwanini hawakumkamata wakati walikuwa na kesi nae nyingine ya wizi? Wazazi wapumbavu ni mzigo kwa taifa.
 
Story inakona kona nyingi sanaa......

"Alikamatwa akaachiwa afu akatoroka..

"Kuiba mbuzi 35 na kuuza kwa mkupuo,na kutoroka sku hyhyo...

"Tangu mwezi wa pili mtoto haonekani nyumbani,bila taarifa kwenye vyombo vya habari wala polisi...

"Ata kamanda wa polisi kaona huu ni ujinga (mchezo)...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…