Aibu hii kwa viongozi wa Africa na Africa mgogoro wa Congo

Aibu hii kwa viongozi wa Africa na Africa mgogoro wa Congo

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
368
Reaction score
556
Hawawezi kuamua siku zote.
Wao hujificha madhaifu yao na aibu zao kwenye diplomatic

Kituko kweli,yaani ukae mfanye mazungumzo na mwanao(M23) wa kuasili anaetaka kukuua wakishirikiana na baba yake mzazi(Rwanda)
Mwanao anaekuhujumu mfanye mazungumzo,viongozi wa Africa hawawezi kuamua mambo yao...lazima waamuliwe,ndio waamuliwe kujengewa vyoo,should,hospital na kila kitu

Vipi wataamua mstakabalia wa mwenzao ili Hali wengine mikono yao michafu tena wanashirikiana na mtoto wa kuasili

Bacongoman amueni kwa ajili ya nchi wenyewe...mwenye jembe ,kisu ,fimbo nk...vinginevyo ni aibu kubwa...mbona muziki na mpira mnaweza mnashindwa wapi?loh Congo

Mungu atusaidie Africa
Mungu awahurumie wacongoman
 
Wacongo waache kudeka! Wao wako zaidi ya milioni 100! Wanashindwaje kuunda jeshi la maana?

Wanataka watu watoke huko waje wawapiganie Kila siku! Wao kazi mkorogo, viuno na pombe!

Hakuna aliyeko tayari kufa na kugharamia vita za wengine!
 
Kikao kilikuwa kunywa chai halafu pande ile waone tunaweza. Wamesahau mirija kwenye mabillioni umekata!

**On a serious note: can someone atuambie where are we heading kama Dunia nzima?

Ni vurugu left right and center! In a very short period of time Media sijui News za ulimwengu zimekuwa kifungua kinywa mweh!
 
Wacongo waache kudeka! Wao wako zaidi ya milioni 100! Wanashindwaje kuunda jeshi la maana?

Wanataka watu watoke huko waje wawapiganie Kila siku! Wao kazi mkorogo, viuno na pombe!

Hakuna aliyeko tayari kufa na kugharamia vita za wengine!
Wakata mauno, wazee wa kujiremba,uchawa watawaweza m23 watu wa kazi...
Na life style ya wakongo wShakuwa nao wabongo sahv lonyalonya ...

Ova
 
Wacongo waache kudeka! Wao wako zaidi ya milioni 100! Wanashindwaje kuunda jeshi la maana?

Wanataka watu watoke huko waje wawapiganie Kila siku! Wao kazi mkorogo, viuno na pombe!

Hakuna aliyeko tayari kufa na kugharamia vita za wengine!
Kabisa yaani wako wengi lakini wanasumbuliwa na nchi ambayo population yao ndogo ajabu...na wala haina uwezo mkubwa namna inavyojitangaza
 
Kikao kilikuwa kunywa chai halafu pande ile waone tunaweza. Wamesahau mirija kwenye mabillioni umekata!

**On a serious note: can someone atuambie where are we heading kama Dunia nzima?
Ni vurugu left right and center! In a very short period of time Media sijui News za ulimwengu zimekuwa kifungua kinywa mweh!
Wakati giants wana umiza vichwa vitu kama IA ...sisi viongozi wetu Africa mipango yao ni ya hapa hapa simply kwa ajili ya matumbo yao...yes they are greed...ndo maana unaona watu wanasema mitano tena....tunaenda na fulani...nk...bila hoja...hiyo ni Africa

Wazungu hawatunyonyi...ila tumejifursisha...tumekua fursa...nani huwa anaikimbia fursa...ukute Tshekedi nae anajua kila kitu kumbe anatuchora
 
Back
Top Bottom