Aibu kubwa! Msomi unakosaje kazi ya kufanya nchi hii yenye kila aina ya rasilimali?

Shida siyo kwa wasomi bali elimu wanayofundishwa......."collar job based"
yani na elimu yetu tulime, umuhimu wa kusoma upo wapi

Hii ndio shida, mfumo wa elimu na mfumo wa ajira havina mawasliano

Unampeleka mtoto kukaa darasani miaka 17 halafu akitoka huko hamna kazi.... anaishia kuja kumwomba msaada yule ambae hakukaa darasani kabisaaa na kuanza kujifunza kwake kulima na kufuga🙄🙄
 
NATANGAZA! KWA YEYOTE ANAYEHITAJI MAONO AU USHAURI AFANYE NINI ILI AJIKWAMUE NA UMASIKINI AJE DM! Note this, hapa hakuna uganga uganga uje DM ukiwa na akili timamu na mwenye hofu ya MUNGU!
 
watu wanadhani kulima ni kazi rahisi 😂
 
Tatizo la kilimo cha Tanzania liko kwenye soko siyo uzalishaji. Kwasasa hatuhitaji miundombinu ya umwagiliaji tunahitaji masoko. Kwasabb huko Mbeya Katavi na Ruvuma mahindi yanaoza kwa kukosa wanunuzi.
 
Njia ya sasa,baada ya form 4 ni bora kwenda veta kuliko form6
 
Tatizo la kilimo cha Tanzania liko kwenye soko siyo uzalishaji. Kwasasa hatuhitaji miundombinu ya umwagiliaji tunahitaji masoko. Kwasabb huko Mbeya Katavi na Ruvuma mahindi yanaoza kwa kukosa wanunuzi.
Badili mazao sio wote lazima mlime mahindi,sageni unga unga haukosi soko.
Masoko tele nje ya nchi sio lzm uuzie nchini tu.
 
huyo RC ashawahi kulima hata bustani? kilimo kinahitaji mtaji na masoko ya mazao, una lima mahindi sumbawanga halafu serikali inakukataza usiyapeleke zambia ni akili hiyo?
 
Badili mazao sio wote lazima mlime mahindi,sageni unga unga haukosi soko.
Masoko tele nje ya nchi sio lzm uuzie nchini tu.
Hapa unamuangalia mkulima mkubwa tu. Lkn huyu maskini hawezi kufanya hii michakato ya kusaga na kuuza nchi za nje.
 
yani na elimu yetu tulime, umuhimu wa kusoma upo wapi
Umuhimu wa kusoma ni kuongeza maarifa ili utatue changamoto za maisha.
kama umesoma ili upate kazi na bado una changamoto ya uchumi basi jua hauna akili na kweli hakuna umuhimu wa kusoma.
 
Hapo ndipo umuhimu wa elimu unahitajika kusolve hizo changamoto, na sio utegemee ukae ofisini.

Vijana waliosoma Tanzania ni mzigo kwa taifa sababu hawajui jinsi ya kutumia elimu wala umuhimu wake zaidi ya ajira.
Wakati marekani wanatengeneza rockets na space stations pia kugundua vitu vipya kusolve humanity's great problems kama climate changes kwa elimu hiyo'hiyo.

Acha waendelee kuzeeka masikini wakitumia instagram na ujinga mwengine.
 
Kilimo cha mdomo rahis kweli sio cha shambani. Ukodishe shamba kama huna, utafute vibarua, ununue mbegu, mbolea hii inayopanda kila siku, madawa, sumu za wadudu, booster. Hapo bado hujaibiwa
Hapo ndipo umuhimu wa elimu unapohitajika kusolve hizo problems.
Hakuna kitu rahisi duniani, na vitu ambavyo unaona rahisi vimehangaikiwa vilevile hivyo ukitaka rahisi basi jua vina gharama kubwa.
 
sasa maana ya wao kusoma mpaka vyuo vikuu iko wapi?.... huko huko shule ya msingi si tungewafundisha tu skills za maisha + hicho kilimo then tuwaache waje mtaani...
Mkuu unasoma ili unongeze maarifa, upanue uwezo wako wa kufikiri ili uweze kutafuta solutions kwenye maisha na sio kupata ajira.

Hii inaonesha jinsi gani mfumo wa elimu ulivyo mbovu Tanzania, no wonder why graduates wengi akili zao wanazijua wenyewe wachache ndio wanajua wanachokitafuta.
 
usilolijua ni usiku wa giza kama umefanikiwa kwenye chochote kila shukuru sana mungu alafu mwambie muumba tafadhali usije nipitisha kwenye kikombe cha mateso..
Mateso kama yapi mkuu kula ugali na dagaa au kukaa kwa wazazi na shemeji.
You see hayo unayoita mateso kuna uwezekano mkubwa ni maisha ya watu kila siku na hawalalamiki sababu technically hayaakisi maana ya neno mateso.
 
Wanasubiri mvua

Hakuna watu wavivu kama Watanzania
 
Nimesoma comments nimeona tatizo ni mfumo wa elimu
kwamba hawa graduates waliaminishwa ukisoma na ukamaliza basi utapata ajira na utakuwa na maisha mazuri kununua gari na blah blah fairy tales nyingine.
lakini baada ya kukutana na uhalisia wa maisha kila kitu wanakiona kigumu.

Kingine ni Uvivu.
zile fake fairy tales zimewabrain wash na kuwafanya wahisi kila kitu ni rahisi hivyo baaada ya kukutana na uhalisia wa maisha ambapo kila kitu ni kigumu then wakashindwa kupambana na maisha kitu ambacho kinawafanya wawe masikini na kuendelea kuhudumiwa.

Mwanaume kuwa na mindset hii ni kitu kibaya it's illegal, Mwanaume mtu mzima kuhudumiwa ni kitu ambacho siwezi kuimagine na kwa wanawake wanaishia you know!...mitandaoni.

I gotta life tip and Here is the life tip: maishani hakuna kitu rahisi, na kila ambacho unakiona ni rahisi kilipiganiwa na kuhangaikiwa vilevile hivyo tambua ukitaka rahisi basi jua kina gharama kubwa zaidi, everything has a price. and as always it ends up in tragedy..

Nawatakiwa kuhudumiwa kwema.
 
Mwaka 2007 kuna kitabu nilisoma na nikaambiwa ili ufanikiwe unahitaji MTAJI, kitabu kikasema tena namna RAHISI KABISA ya kupata mtaji ni kwa kutumia ARDHI

Na nikaambiwa utajiri (maana ndiyo mnapenda kuita ndiyo mafanikio) unapatikana popote iwe ni mjini au kijijini

Mpaka leo bado nakubaliana na kitabu hiki na ni kweli kwa asilimia 100.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…