- Thread starter
- #161
Asantee.Mimi kama msomi huu UZI umeniuma, ukweli unaumaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asantee.Mimi kama msomi huu UZI umeniuma, ukweli unaumaa
Mkuu umelewa nini mbna kama idea zako ziko kinadharia sana we mtaji wa kumudu ekari tano unauonajeTumia akili yako kulima kwa mtaji mdogo unapata mazao.mengi. kwa mfano unaweza usitumie mbole za viwandani badla yake ukakusanya samadi toka kwa wafugaji kwa kuwapati pesa kidogo sana. Ukamwaga samadi hekari tano. Ukavuna mpk dunia ikakushangaa
Kilimo cha biashara siyo aina ya mazao yanayolimwa bali ni malengo uliyojiwekea. Unaweza kulima maharagwe, mahindi, mpunga ama viazi kwa lengo la kuuza ili kupata pesa. Tayari hicho kinakuwa kilimo cha biashara.Mfano WA kilimo cha biashara ni kilimo cha maua huko Kaskazini, kilimo cha chai na Pareto huko kusini.
Kuwa na vyuo vikuu vingi katika nchi ni kuongeza idadi ya masikini nchini.ilitakiwa vyuo vya ujuzi ndo viwe vingi watu wajifunze ujuzi wakazalishesasa maana ya wao kusoma mpaka vyuo vikuu iko wapi?.... huko huko shule ya msingi si tungewafundisha tu skills za maisha + hicho kilimo then tuwaache waje mtaani...
Nenda Gairo Morogoro kisha elekea Chakware Kijiji cha Ngiloli. Hiki kimepakana na mkoa wa Tanga. Huko uliza wenyeji watakupeleka. Utapata ardhi virgin kabisa. Ila kunahitaji ulinzi mkali wa wanyama waharibifu wa mazaoMkuu Sexless emb ntajie kijijini kimoja huko Tanga mie niende nkajitwalie ardhi bure nianze mdogomdogo kwenye kilimo, then ntaleta mrejesho.
Mm mkulima mkuuManeno ya mwajiliwa akiwa bar anakunywa windock.
Ukiwa na kazi wasio na kazi wanaonekana wazembe na kiwango Cha kufukiri Ni kidogo..!
Ulianza na nusu heka saa hvi unamiliki maheka.Mm mkulima mkuu
Umesema vema sana, yaani ukiangalia comments za watu unagundua kwamba huyu anaelewa anachokisema, lakini mwingine labda kwa sababu ya hali nzuri aliyonayo kiuchumi( kwa kubebwa ) anaona ni rahisi sana hiyo shughuli.Ukiwa na mtaji wa kuanzia na kujaribu tena unakuwa na kiburi cha kusema haya unayosema.
Fresh graduate atatoa wapi pesa ya majaribio yote hayo?
Anaishi vipi muda wote wa majaribio? Yaani anakuka nini, anapataje matibabu na anavaa nini?
Pia ukiwa na watu wa kukubeba inawezekana usemayo.
Shukran sana mkuu Sexless , Gairo napaelewa. Chakwale na Iyogwe nadhani ndio zipo ukanda mmoja.Nenda Gairo Morogoro kosha elekea Chakware Kijiji cha Ngiloli. Hiki kimepakana na mkoa wa Tanga. Huko uliza wenyeji watakupeleka. Utapata ardhi virgin kabisa. Ila kunahitaji ulinzi mkali wa wanyama waharibifu wa mazao
Mim kama msomi nisiye na ajira ,uzi huu umeniuma..ila najifunza.Tumia akili yako kulima kwa mtaji mdogo unapata mazao.mengi. kwa mfano unaweza usitumie mbole za viwandani badla yake ukakusanya samadi toka kwa wafugaji kwa kuwapati pesa kidogo sana. Ukamwaga samadi hekari tano. Ukavuna mpk dunia ikakushangaa
Utakufa masikini weweyani na elimu yetu tulime, umuhimu wa kusoma upo wapi
Nilianza kwa kuuza simu yangu nikapata heka 2 hivi Sasa nina mahekari kibaoUlianza na nusu heka saa hvi unamiliki maheka.