A
Anonymous
Guest
Leo, naomba kutoa dukuduku langu kuhusu hali ya barabara ya mwendokasi iliyojengwa kutokea Kariakoo Gerezani kuja Mbagala Rangi Tatu.
Kwa taarifa, barabara hii inakaribia kukamilika kwa asilimia 95, na majaribio ya kutoa huduma kwa wananchi yalifanyika hivi karibuni kwa takribani wiki 2.
Lakini kwa kusikitisha, barabara hii sasa inaonekana imeharibika kabla haijaanza kutumika, na inazibwa viraka kila mahali.
Hali hii ni aibu kwa serikali yetu, na inazua maswali kuhusu uaminifu wa mkandarasi na wasimamizi wa ujenzi.
Kwa taarifa, barabara hii inakaribia kukamilika kwa asilimia 95, na majaribio ya kutoa huduma kwa wananchi yalifanyika hivi karibuni kwa takribani wiki 2.
Lakini kwa kusikitisha, barabara hii sasa inaonekana imeharibika kabla haijaanza kutumika, na inazibwa viraka kila mahali.
Hali hii ni aibu kwa serikali yetu, na inazua maswali kuhusu uaminifu wa mkandarasi na wasimamizi wa ujenzi.