Aibu ya Barabara ya Mwendokasi Mbagala, inaanza kuzibwa viraka hata kabla ya kazi kuisha

Aibu ya Barabara ya Mwendokasi Mbagala, inaanza kuzibwa viraka hata kabla ya kazi kuisha

Ukiona Barabara imejengwa halafu inaanza kuwekwa viraka ujue kuwa ilijengwa chini ya kiwango.

Humo wanamo chimba ni kuwa mashine za uhakiki ubora zimeona mna kasoro za uimara. Ndio sababu ya kufanyiwa marekebisho.
Straburg naona wako vizuri katika ujenzi wa Barabara za mwendo kasi
 
Naomba kutoa ufafanuzi, mosi hakuna barabara inayozibwa viraka kabla haijaanza kutumika, mleta mada ungeweka angalau picha tungeweza kukusaidia kujua ni nini kinaendelea , kama ni yale maeneo pembeni ya vituo vinavyojengwa uliona wanakoroga cement na mchanga kwa ajili ya ujenzi wa vituo unaokamilishwa utakuwa uko very wrong , pia barabara kabla haijakabidhiwa inafanyiwa quality testing na ambapo pataonekana na mapungufu mkandarasi anarekebisha kwa maelekezo ya mwenye mradi, na kimsingi kazi ambayo imefanyika chini ya kiwango marekebisho anafanya mkanadarasi kwa gharama zake. Kwa mada hii hakuna uhalisia zaizi ya mleta mada kuleta mambo ya kufikirika na kusadikika kuliko uhalisia. Ukiwa na suala lolote la DART piga simu ya bure 0800110147 kwa ufafanuzi zaidi.

Kuhusu mabasi kutoenda Mbagala, ufafanuzi ulitolewa mapema.
IMG-20230810-WA0000.jpg
 
Leo, naomba kutoa dukuduku langu kuhusu hali ya barabara ya mwendokasi iliyojengwa kutokea Kariakoo Gerezani kuja Mbagala Rangi Tatu.

Kwa taarifa, barabara hii inakaribia kukamilika kwa asilimia 95, na majaribio ya kutoa huduma kwa wananchi yalifanyika hivi karibuni kwa takribani wiki 2.

Lakini kwa kusikitisha, barabara hii sasa inaonekana imeharibika kabla haijaanza kutumika, na inazibwa viraka kila mahali.

Hali hii ni aibu kwa serikali yetu, na inazua maswali kuhusu uaminifu wa mkandarasi na wasimamizi wa ujenzi.
View attachment 2713249View attachment 2713250
Huo sio ukarabati hiyo picha ya kwanza ni eneo walikua wanachanganya cement kwa ajili ya ujenzi unaoendelea kwenye kituo pembeni hapo na hiyo picha ya pili inaonekana dhahiri ni mchanga umemwagika kutoka kwenye lori la mkandarasi, tuwe wakweli na kuacha kuleta taharuki kwenye masuala ya msingi, pita leo utuletee ushahidi wa kina kwamba zege imevunjwa na inajengwa upya. Barabara ikishasafishwa kabla ya kukabidhiwa utaona upotoshaji ulioleta.
 
Leo, naomba kutoa dukuduku langu kuhusu hali ya barabara ya mwendokasi iliyojengwa kutokea Kariakoo Gerezani kuja Mbagala Rangi Tatu.

Kwa taarifa, barabara hii inakaribia kukamilika kwa asilimia 95, na majaribio ya kutoa huduma kwa wananchi yalifanyika hivi karibuni kwa takribani wiki 2.

Lakini kwa kusikitisha, barabara hii sasa inaonekana imeharibika kabla haijaanza kutumika, na inazibwa viraka kila mahali.

Hali hii ni aibu kwa serikali yetu, na inazua maswali kuhusu uaminifu wa mkandarasi na wasimamizi wa ujenzi.
View attachment 2713259View attachment 2713260
Watasingizia mchanga hauna ubora
 
Leo, naomba kutoa dukuduku langu kuhusu hali ya barabara ya mwendokasi iliyojengwa kutokea Kariakoo Gerezani kuja Mbagala Rangi Tatu.

Kwa taarifa, barabara hii inakaribia kukamilika kwa asilimia 95, na majaribio ya kutoa huduma kwa wananchi yalifanyika hivi karibuni kwa takribani wiki 2.

Lakini kwa kusikitisha, barabara hii sasa inaonekana imeharibika kabla haijaanza kutumika, na inazibwa viraka kila mahali.

Hali hii ni aibu kwa serikali yetu, na inazua maswali kuhusu uaminifu wa mkandarasi na wasimamizi wa ujenzi.
View attachment 2713259View attachment 2713260
Halafu si mkandarasi huyu huyu kapewa na tenda ya gongo la mboto?
 
Leo, naomba kutoa dukuduku langu kuhusu hali ya barabara ya mwendokasi iliyojengwa kutokea Kariakoo Gerezani kuja Mbagala Rangi Tatu.

Kwa taarifa, barabara hii inakaribia kukamilika kwa asilimia 95, na majaribio ya kutoa huduma kwa wananchi yalifanyika hivi karibuni kwa takribani wiki 2.

Lakini kwa kusikitisha, barabara hii sasa inaonekana imeharibika kabla haijaanza kutumika, na inazibwa viraka kila mahali.

Hali hii ni aibu kwa serikali yetu, na inazua maswali kuhusu uaminifu wa mkandarasi na wasimamizi wa ujenzi.
View attachment 2713259View attachment 2713260
Hawajaanza leo, walianza kwa kukata vipande na sasa wanaipiga ribiti ili iwe ngumu.
 
Back
Top Bottom