Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Ndo hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dunduka bhana! Wakati huyo Mwehu kadai Hersi alimwambia aende CAS? Endeleeni kumchangia ili aende huko CAS manake Wajinga Ndo Waliwao! Angekuwa na akili angeenda Klabuni kukutana na uongozi wa klabu na sio kwenda kukutana na Hersi hotelini wakati anadai Hersi ndo sumu pale klabuni!
 
Kuna muda ushabiki hutufanya tuonekane WAJINGA
 
Bongo bila kuwa mnafiki hutoboi ndo maana nchi zilizotuzunguka Huwa hawatuamini.
Kwanza hizo sauti ni za kutengenezaa tyuuh. Wala sio halisia, kikubwa GSM na hersi watoke hadharani kukanushaaa, vinginevyo Fei yuko sahihi.
 
Fei amekwambia wamekaa na Hersi masaa sita ila Hersi anachotaka waende kambini. Pesa yoyote kutoka kwa Fei kakataa, anasema Club ije, Fei anasema hana club inayomtaka. Ni nn hiki? Mambo ya ajabu sana haya.
 
Kwanza hizo sauti ni za kutengenezaa tyuuh. Wala sio halisia, kikubwa GSM na hersi watoke hadharani kukanushaaa, vinginevyo Fei yuko sahihi.
Huna moral authority ya kuzungumzia hili maana wewe simba kindakindaki au siyo injinia
 
Duh, kweli hii nchi imejaa viazi! Kwani hapo kuna kipi kibaya? Naona hadi watu na akili zao wana post kama vile ni kitu exclusive wakati tuliofatilia tunajua kilichotokea na hata mazungumzo yenyewe hakuna la ajabu.

Hebu yeyote achague neno lolote baya aweke hapa.
 
Feisal ni mdogo sana, hakina GSM hawawezi kubishana na kichaa.
Sasa kichaa wanambania wa nn? Si wamuachee aondokeee au huko salamander tower ni kituo cha kuwalea vichaaa??

Umevurugwa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…