Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Yanga ilijihujumu yenyewe tar 28/05,kule Algers wanakwenda kukamilisha tu ratiba na kuwashuhudia USM wakikabidhiwa kombe.
Wewe Dada Mimi nakuheshimu😂😂 Kwanza kwanini umekimbia kwenye ule Uzi was Russia-Ukraine war..
 
wewe utakuwa ni shoga. mbuzi kasoro mkia we. tulichokuwa tunasema hapa ni kwamba hata hao wanasheria wake kina fatma hawajui sheria, wanachojua ni kusapoti ushoga tu. mtu anayesapoti ushoga kweli anaweza kumtetea mtu akashinda kesi?
Ndo akili zako zimeishia hapo tyuuh??? Sitaki kubadili mada, tubaki kwa feisal. Ikiwa huna hoja ukae kmyaa sio kujionesha wazi kuwa uwezo wako wa akili ni mdogo.
 
Wewe Dada Mimi nakuheshimu[emoji23][emoji23] Kwanza kwanini umekimbia kwenye ule Uzi was Russia-Ukraine war..
[emoji23][emoji23][emoji23] na nimekuchokoza makusudi Kaka,kule huwa napita kimya kimya naona hiyo vita haiishi mpaka imenichosha.
 

Hiyo ni live interview hakuna mambo ya kuhariri (editing )

So lazima aambiwe misingi ya kuongea na sio kuropoka tu
 
Brother hunijui ila nishafanya kazi kwenye media kubwa moja wapo kama IT,najua ninacho kizungumza.Nyie si mnapenda maigizo haya sikiliza seasons 2.
Ila Masoud Kipanya nimemkubali sana.Halafu kwenda CAS hajazuiwa ni yy mwenyewe kuamua kwani hela anayo ila chaa ajabu anakomaa na TFF.
 
Tuhuma gani? Kama wachawi. Unapendekezaje mtu afukuzwe kazi? Kakupotezea tsh ngapi kwa kumuelekekeza Fei cha kusema?
Nashangaa.

Alafu inaonekana kuna baadhi ya watu hawajawahi kufanya interview na vyombo vya habari.

Nimeshawahi kuhojiwa nao, kuna wakati mnafundisha namna ya kuboresha mahojiano.

Kwahiyo jambo hilo kwa Fei ilikuwa ni lazima iwapo kuna mahali alikuwa anakosea, hivyo kuelekezwa namna sahihi ya kujibu maswali yake
 
Ndo kipande hiki cha 20sec au?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hapo kuna kipi cha ajabu??
 
Ndo kipande hiki cha 20sec au?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hapo kuna kipi cha ajabu??
Hukioni halafu huyo ndio mwanasheria wake daaaah ndiye anaenda kusimama nae CAS 😂😂,tupo humu ni swala la muda,yy timu yake waendelee kutafuta huruma sisi tutasimamia sheria na mkataba.

Mwanasheria anakuwa anaongozwa na hisia daaah,waache watu wapige hela upitia ujinga wake mwenyewe.
 
Nyie ndio wale wa dada Mange kasema
 
Kuna crime yoyote wamefanya? Wewe leta hata season 10 lakini ukweli unabaki pale pale watu wamevuliwa nguo na Feisal.Tunachosubiri ni wakanushe kitu ambacho sina uhakika kama watathubutu.Feisal kasema Account yake alishafunga na hapokei mshahara wa Yanga lakini Hersi alidanganya wazi wazi kuwa Feisal analipwa mshahara.

Tunataka Hersi aje akanushe kama hakumuomba radhi Feisal na kama alikuwa hambagui kwa kumwita 'Mpemba' wakati huo yeye kajisahau kama ni Msomali.
 
Ndo kipande hiki cha 20sec au?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hapo kuna kipi cha ajabu??
Wamepagawa hawa,Feisal kawashika pazuri sana mpaka Takadini ameamua kujifunga kibwaya kucheza ngoma iso yake [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Account alifunga ila Yanga walikuwa hawajui baada ya kufanya transaction na mualama ukarudi ikabidi wamuandikie feisal awape account nyingine ambayo active waendelee kumpa mpaka sasa navyoandika hajatoa hivyo Yanga wanaendelea kumuwekea kwenye account na zinarudi na eng aliweka wazi akitoa account mzigo yote kuanzia feb mpaka may wanamdumbukizia.
 
Sahihi kabisa.
 

Una uhakika kipanya ndiye aliyevujisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…