Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Yes. Mbinu ya kwanza atamani kuicha. Siyo baada ya mwaka ama miaka miwili anatamani kukumbushia. Hiyo nini sasa!??? Ukimtupa nyoka uliyembonda kichwa, kumbuka na fimbo yake kuitowesha!Mtu anaomba kupewa mbinu za kuacha pombe nyie mnabaki kumwambia "acha pombe,"
Mimi nimenywea ada ya mtoto wangu mdogo ya ada ya term ya kwanza 6k .....mama yake karudi toka kwao huko Arusha anararua kila siku na maneo.Shida yangu mimi siyo kama ya huyo,mimi naongea mno nikinywa na hata kutukana
Easy mkuu,binadamu tunakosea sana tu.
Mambo ya kawaida hayo,mamilioni ya watu wako majumbani kwao sasa hivi wakijutia jinsi msimu huu wa x-mas walivyomaliza pesa zao kwny pombe au walivyopoteza heshima zao sababu ya pombe so hayo ni mambo ya kawaida tu.,usikute hata ma-boss zako nao wako wanajutia namna pombe ilivyowafanya wakapiga bila ndomu kwny mechi za ugenini huko.
1.nakunywa safari,k vant na konyagi
2.nikishalewa tu na naleta matatizo haijalishi pombe ipi nimekunywa
3.nachanganya pombe (sometimes)
4.safari 8+
5.nimeoa na nna watoto
6.nazingua nikiwa na mtu yeyote
Ulevi wa mipombe ni pepo..usipolidhibiti waweza mgongea mlango hata mama mkwe aliyekuja kwako kwa matibabu huku ukiwa utupu ukitaka akupe maajabu!!
Ni wachache sana wanakunywa pombe kwa staha!!
Ulevi ni pepo chafu tena la umaskini.. ..yaani ukipata hela tu linakupanda kichwani...kunywa hadi ziishe na kukupa juu yake... na mara nyingi pepo hili huwa limo dani ya familia. ..unakuta babu mlevi, baba mlevi, watoto walevi wajukuu ndiyo usiseme..!!
Ulevi unaendana na uchafu na umaskini.
Toa suluhisho. Aombewe au alifukuze hilo pepo kwa namna gani?Ulevi wa mipombe ni pepo..usipolidhibiti waweza mgongea mlango hata mama mkwe aliyekuja kwako kwa matibabu huku ukiwa utupu ukitaka akupe maajabu!!
Ni wachache sana wanakunywa pombe kwa staha!!
Ulevi ni pepo chafu tena la umaskini.. ..yaani ukipata hela tu linakupanda kichwani...kunywa hadi ziishe na kukupa juu yake... na mara nyingi pepo hili huwa limo dani ya familia. ..unakuta babu mlevi, baba mlevi, watoto walevi wajukuu ndiyo usiseme..!!
Ulevi unaendana na uchafu na umaskini.
[emoji120][emoji120]Ushauri mzuri.
Karibu RafikiAsante rafiki
Hapo maelfu hua inatukumba sometimes....hiyo ya kujutia hela mimi ni mmoja wao.....
Point ingine hii hapa[emoji3516]Epuka marafiki wanywaji.
1. Usichanganye pombe.1.nakunywa safari,k vant na konyagi
2.nikishalewa tu na naleta matatizo haijalishi pombe ipi nimekunywa
3.nachanganya pombe (sometimes)
4.safari 8+
5.nimeoa na nna watoto
6.nazingua nikiwa na mtu yeyote
Pole mkuu, nimekuelewa1. Usichanganye pombe.
2. Hama pombe badili safari kwa kilimanjaro.
3. Punguza idadi ya bia.
4. Acha konyagi na k vant anza kunywa expensive drink like Jamerson au JD uone kama utagida bila sababu.
Yani jana nmekuuliza hv halafu na mimi nimeharibu. Yani nmemumimd mdingi balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nne tu naanza kuona nyota nyotaSafari 8 wewe ni Pampula. Acha mara moja.
Pombe mbaya ni za kununulia kila mtu bar ila ukiwa alone haileti umaskini...acha uongo-kama zingekua zunaleta umaskini basi walokole wangekuwa matajiri sabb hawanywi.
...you imbecile
Ulilala kwenye pagale huku umelewa hujielewi.Heri ya krismasi na mwaka mpya,nilikua mnywaji mkubwa wa pombe ila baada ya kushauriwa na kuona inaniletea matatizo nikaamua niiache.
Juzi siku ya boxing day nikatoka na washkaji hadi mtaa wa mbali kidogo ila nafahamika nikasema nikumbushie kidogo pombe.
Matokeo yake nilikunywa kupitiliza nikagombana na kila mtu hata wale wakubwa nnaowaheshimu mbaya zaidi hata kurudi nyumbani nilishindwa nikalala kwenye pagala.Naona aibu kutoka hata nje kwa nilichokifanya.MSAADA Nijinsi gani naweza rejesha heshima yangu na kuiacha pombe kabisa?