Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Hawa wa Israel wanaanzisha Makampuni lakini ndani ya hiyo kampuni kuna kuwa na kitengo cha ujasusi.
Utaona kampuni kwa nje na inafanya kazi iliyoelekezwa na kilimo kinafanya kumbe kuna kazi nyingine inafanyika ya ujasusi.
Wafanyakazi wa kubwa ni watu wenye mission zao.
Kuna kampuni nyuma huko ilikuwa inaendesha shughuli zake Tanzania baada ya kampuni kutoka kufungwa,watu wakajuwa kuna ujasusi ulikuwa unafanyika kwenye Nchi zetu

Mkuu sio hao WaIsrael hata hawa wachina unaowaona kampuni zao zimejaa uku nao wana hayo mambo karibia kwny kila kampuni kubwa ya wachina iliyopo hpa bongo kuna kiongozi/Manager/Director wa kitengo flani yeye kazi yke ni kureport tu direct to the Communist Party China na anakua na cheo cha kuzugia tu hpa ila ni mtu wa kupeleka mafile China
 
Uko sahihi 100%

Majina ya watu, sehemu, nchi yana maana kubwa
Unaweza kujiuliza aliyeipa hii nchi jina TangaNYIKA aliongozwa na nini

Mark 1: 3-4​

Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.
Yohana alitokea, akibatiza nyikani, na kuuhubiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la dhambi.
 
M

Mpongezeni Magufuri alifungua ubalozi na lsrael, maana tangu nyerere adi kikwete akuna aliyekuwa na maono hayo,Samia anavuna mazao ambayo akuyatabikia.
Tulirudisha uhusiano wa kibalozi na Israel kabla JPM hajawa rais!

Google mwenyewe "Balozi Yahel Vilan + Tanzania" uone ni wakati gani alileta hati za utambulisho wa kuwa balozi wa Israel nchini Tanzania.

Magu alipokuja, akamalizia ngwe ya pili kwa kufungua ubalozi wa Tanzania nchini Israel !
 
Nawasalimu kwa jina la JMT

Wakati uwekezaji kwa miezi sita ya Rais Samia ukikua kwa 400% kutoka $510M March 2021 hadi $2.98bl Sept karibu 7trilioni mambo yanazidi kunoga na kicheko kwa Watanzania kinazidi kukolea,

Moja ya faida kubwa ya Uwekezaji toka nje ( FDI ) ni kutuletea fedha za kigeni,teknolojia,ongezeko la thamani kwenye bidhaa na huduma pamoja na ajira kwa wazawa,Taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Wakati FY 2021|22 Serikali imepanga kuajiri watu elfu 40 Aie Holding LTD pekee wanakuja kuajiri watu elfu 70 kwa Mkupuo sawa na 175% ya ajira zote mpya za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021|2022 ndio maana Rais Samia ameondoa jumla ya tozo 232 nahii ndio sababu kamapuni kama hii ilisajiliwa mwaka 2020 ila uwekezaji inaufanya mwaka wa Rais Samia,

Aie Holding LTD kampuni toka Israeli itawekeza kwenye biashara ya kilimo ,kilimo, elimu ya kilimo pamoja na Vifaa vya kilimo na mashine na itahitaji jumla ya hekta 25,000,Makao makuu yatakuwa D'salaam vituo vingine vitakuwa Mwanza, Morogoro,Njombe,Kagera na Bagamoyo na watatumia zaidi umeme wa jua,

Aie Holding LTD inawekeza jumla ya $250M sawa na Tshs 575BL huku $200 itatumika kujenga miundombinu na $50M itakuwa ni mtaji wa kuanzia biashara,Kazi hii itafanywa kwa ubia na baadhi ya mabenki makubwa matano bila kubali majina ya benki husika huku Staff watakaoajiriwa na kampuni hii kupelekwa kozi ya miezi kati ya 6|7 nchini Israel vijana changamkeni,

" HAKUNA KAMA SAMIA "


.........Kazi iendelee .........




==================================
The CitizenNews
Israeli firm to invest Sh575 billion in agro areas
TUESDAY SEPTEMBER 28 2021

Israel pic
Summary
Some $200 million of the money will be invested in infrastructure of agro-industrial projects, with the remaining $50 million being working capital

Dar es Salaam. Aie Holding Ltd will invest $250 million (about Sh575 billion) in Tanzania’s agro-industrial education and agro-management skills.

The company - which was registered in Tanzania last year - will invest in projects related to agricultural education, logistics division, vegetable oil plant, feed mill, packing and storage, solar power, cattle farm, poultry farm, fish farm, field crops, tropical fruit concentrate, solar power and wastewater treatment.

Headquartered in Dar es Salaam, the company whose founder and chairman is Mr Avi Postelnik, an investor from Israel, will source the money from private equity as well as local and international banks.

“We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

He said while some $200 million of the money will be invested in infrastructure of the agro-industrial projects, the remaining $50 million would be working capital. “The doors are open for potential local partners,” said Mr Postelnik.

The company, whose operation will be in Dar es Salaam, Kagera, Mwanza, Bagamoyo, Njombe and Morogoro, is expected to create about 70,000 direct jobs including that of chief executive officer to locals.

Agricultural education

Mr Postelnik said agricultural education and training will be provided in Tanzania and Israel.

“We intend to use the advanced agriculture education in Israel by enrolling Tanzanians for short and long periods in our special projects of education available in our country,” he asserted.

Some of its employees, he explained, will be taken to Israel for a 6-7 month training.

“We intend to use their (Israel) know-how to employ graduates in management and technical positions in our agro-industrial projects in Tanzania,” noted Mr Postelnik.

Logistics division

Mr Postelnik said the transportation and Logistics division will be used for delivery of the raw materials to the processing plants and then for transportation of the finished products to the local markets for sale or to the ports for export.

Vegetable oil plant

This plant is designed to process oil seeds, such as Soya bean, sunflower, corn and cotton, and bottle the oil for the local and export market.

This plant is fully automated and the residue containing protein and fat will be used in the feed mill.

Feed mill

The feed mill is specifically designed for feeding our cattle, poultry and fish. The total area for the supplying farms is planned to be around 25,000 hectares.

Packing and storage

He said the whole chicken, eviscerated, cleaned and plucked will be packed in special plastic packaging to be sold as chilled or frozen.

Solar power

All the projects will use solar energy.

Experts from Israel will come to evaluate the sites and advise the type of solar energy for maximization of natural energy

Source : The Citizen

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1956881
Tuanze kilimo cha kisasa chenye tija na Cha kibiashara..Hapa wazee wa legacy lazima wanune.
 
Mimi ni Chadema damu ila mama ananikosha sana,

Samia anafanya mambo ambayo hata wapinzani tumempenda,

Hivi mtu anayetuletea ajira elfu 70 sinawakuungwa mkono huyu?

Bora tuvunje kwa muda vyama tubaki na Samia tu,

Nikweli hakuna kama Samia
Amekuwa na nyota toka kazaliwa hadi kuwa Rais ndivyo hivyo ataing'arisha na Nchi yetu kwenye uchumi.
 
Unapoona Mu israel au kampuni elewa muda wowote anaweza akatumika Kama jasusi...wako vizuri..wametapakaa kila Kona duniani..
Kwani kuna shida gani,kama pimbi kama wewe unajua hili unadhani vyombo vya usalama vitaahindwa kujua?
 
Majina ya watu, sehemu, nchi yana maana kubwa
Unaweza kujiuliza aliyeipa hii nchi jina TangaNYIKA aliongozwa na nini

Mark 1: 3-4​

Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.
Yohana alitokea, akibatiza nyikani, na kuuhubiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la dhambi.
😍😍😍

Asante mama D,

Hii sikuwa naifahamu kabisa,

Endelee kuniombea na kuliombea Taifa letu,
 
Mkuu sio hao WaIsrael hata hawa wachina unaowaona kampuni zao zimejaa uku nao wana hayo mambo karibia kwny kila kampuni kubwa ya wachina iliyopo hpa bongo kuna kiongozi/Manager/Director wa kitengo flani yeye kazi yke ni kureport tu direct to the Communist Party China na anakua na cheo cha kuzugia tu hpa ila ni mtu wa kupeleka mafile China
Dunia nzima imejaa majasusi mkuu wangu,

Sisi tupokee uwekezaji kama ulivyo,
 
Tulirudisha uhusiano wa kibalozi na Israel kabla JPM hajawa rais!

Google mwenyewe "Balozi Yahel Vilan + Tanzania" uone ni wakati gani alileta hati za utambulisho wa kuwa balozi wa Israel nchini Tanzania.

Magu alipokuja, akamalizia ngwe ya pili kwa kufungua ubalozi wa Tanzania nchini Israel !
Tunamshukuru sana Hayati Magufuli,

Mungu amrehemu,

Nadhani hili limekwisha hivi mkuu wangu,
 
Hawa wa Israel wanaanzisha Makampuni lakini ndani ya hiyo kampuni kuna kuwa na kitengo cha ujasusi.
Utaona kampuni kwa nje na inafanya kazi iliyoelekezwa na kilimo kinafanya kumbe kuna kazi nyingine inafanyika ya ujasusi.
Wafanyakazi wa kubwa ni watu wenye mission zao.
Kuna kampuni nyuma huko ilikuwa inaendesha shughuli zake Tanzania baada ya kampuni kutoka kufungwa,watu wakajuwa kuna ujasusi ulikuwa unafanyika kwenye Nchi zetu
Muogope Mchina, na sio Israel...

Hatuna impact kubwa kiuchumi, ulinzi, teknolojia, na usalama dhidi ya Israel lakini tuna impact kubwa sana ya kiuchumi na Uchina!!

Mchina ndie anayejipenyeza zaidi kiuchumi barani Afrika kuliko Israel.

Na hili kujihakikishia usalama wake dhidi ya hasimu wake Marekani, unakuta ineterest zake kiuchumi barani Afrika zinaambatana hadi na masuala ya kiusalama!!

Na ndo maana haikushangaza Mchina alipoanzisha military base yake pua na mdomo na military base ya Ufaransa na Marekani huko Djibouti!

Huko kwenye kilimo ambako Israel anapendelea sana, Mchina hana interests nako kwa sababu kwao anayo ardhi ya kutosha!! Labda tusubiri Waarabu nao waje kuwekeza kwenye kilimo, hapo ndipo simulizi huenda ikageuka!!

And as for now, hatuna uhusiano na Hezbollah wala Hamas... hao ndio wanaweza kumfanya Israel apenyeze mashushu wake popote pale wanakopatikana hao jamaa! Kinyume chake, kwa sasa anaweza kufanya tu ule ushushushu wa kawaida unaofanywa na mataifa karibu yote duniani dhidi ya mataifa mengine!!
 
Muogope Mchina, na sio Israel...

Hatuna impact kubwa kiuchumi, ulinzi, teknolojia, na usalama dhidi ya Israel lakini tuna impact kubwa sana ya kiuchumi na Uchina!!

Mchina ndie anayejipenyeza zaidi kiuchumi barani Afrika kuliko Israel.

Na hili kujihakikishia usalama wake huko dhidi ya hasimu wake Marekani, unakuta ineterest zake kiuchumi barani Afrika zinaambatana hadi na masuala ya kiusalama!!

Huko kwenye kilimo ambako Israel anapendelea sana, Mchina hana interests nako kwa sababu kwao anayo ardhi ya kutosha!! Labda tusubiri Waarabu nao waje kuwekeza kwenye kilimo, hapo ndipo simulizi huenda ikageuka!!

And as for now, hatuna uhusiano na Hezbollah wala Hamas... hao ndio wanaweza kumfanya Israel apenyeze mashushu wake popote pale wanakopatikana hao jamaa! Kinyume chake, kwa sasa anaweza kufanya tu ule ushushushu wa kawaida unaofanywa na mataifa karibu yote duniani dhidi ya mataifa mengine!!
Credible conversation 😍😍😍
 
Tunamshukuru sana Hayati Magufuli,

Mungu amrehemu,

Nadhani hili limekwisha hivi mkuu wangu,
Sorry, nilikuwa sijafahamu kwamba ni Mlinzi wa Legacy lakini ukweli kuhusu kurejesha uhusiano wa kibalozi kati ya Tanzania na Israel ulianzia hapa:-

Israel.png

Lakini, ili kulinda legacy ya Mheshimiwa Magu, basi tuendelee kusema yeye ndie alirejesha uhusiano wa kibalozi kati ya Tanzania na Israel.
 
Yale Yale Ya Mlimani City Walikuja Na Tshs 150000
Mkuu ww umenielewa tofauti na vilaza wengine waliojaribu kuni-quote bila kuelewa wana-quote nini!..
BTW, pia kuna wale jamaa wa City Water (wahenga wenzangu mnaweza kuwakumbuka) aliwaleta Bw Mamvi, walikuja na laptop na kuvuna walichovuna pale DAWASA aka NUWA.. I can't guess pia jamaa waliletwaga ku-run TANESCO wakakausha mabwawa yote na kuleta mgao mkubwa wa umeme kama nao walikuja na chochote zaidi ya laptops! Wadanganyika nimewavulia kofia kwa ujinga na upumbavu!
 
Mkuu ww umenielewa tofauti na vilaza wengine waliojaribu kuni-quote bila kuelewa wana-quote nini!..
BTW, pia kuna wale jamaa wa City Water (wahenga wenzangu mnaweza kuwakumbuka) aliwaleta Bw Mamvi, walikuja na laptop na kuvuna walichovuna.. I cant guess pia jamaa waliletwaga ku-run TANESCO wakakausha mabwawa yote kama nao walikuja na chochote zaidi ya laptops! Wadanganyika nimewavulia kofia!
Mlipowaleta na mamitambo yenu kuwalinda hamkujua kwamba ni majasusi?

Wawe majasusi au hapana tunataka teknolojia na pesa
 
Sorry, nilikuwa sijafahamu kwamba ni Mlinzi wa Legacy lakini ukweli kuhusu kurejesha uhusiano wa kibalozi kati ya Tanzania na Israel ulianzia hapa:-

Lakini, ili kulinda legacy ya Mheshimiwa Magu, basi tuendelee kusema yeye ndie alirejesha uhusiano wa kibalozi kati ya Tanzania na Israel.
Noted mkuu,

Tuanzie alipoishia, Tumuunge mkono Rais wetu ili twende mbele zaidi,
 
Noted mkuu,

Tuanzie alipoishia, Tumuunge mkono Rais wetu ili twende mbele zaidi,
Maeneo ambayo huwa siingizi siasa ni kwenye masuala ya uchumi, na nikikosoa, nitafanya hivyo kwa kuangalia nadharia na principles za kibiashara na kiuchumi!!
 
Back
Top Bottom