Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Jf tumepoteza uwezo wa kufikiri au tumekuwa biased sana linapokuja suala la Political Affiliation
Naona credits zote anapewa SSH.
Sheria zip za uwekezaji amebadili
Sera mpya zip zimetungwa?
Kwa kampuni kubwa kama hii, je maamuzi makubwa ya kuwekeza, kufanya feasibility study, kutafuta mtaji, na kuchakata uwekezaji nchini, na michakato mingine inaweza kufanyika ndani ya miezi 6 ya SSH...!!???
 
😍😍😍 Tanzania iko salama zaidi tangu baada ya Nyerere, Tuchapeni kazi tu kesho yetu inang'aa sana,

Mama aibe pesa apeleke wapi na dini ile,
Dini gani dikteta mkubwa hicho kibibi chenu, mmeanza kampeni za kijinga mitandaoni mapema sana.
 
Data ndio zimemcredit acha kuteseka mkuu,

Namba huwa zinasema ukweli wakati wote
 
Una ushahidi?
 
Kwa Israel hiyo Pai(K = Constant) . Hiyo ndiyo survival yao, wanahitaji informations nyingi kila wakati ili wasurvive. Utawang'amuaje? - hilo ni swali gumu sana kujibika kwa nchi kama Tz yenye technolojia duni ya mambo ya usalama.
Sasa una maana akili ya Wa TZ ni yai,jipange upya mkuu.
Elimu mbovu mazao yake ni fikra mbovu.
 
Angalia boriti iliyo ndani ya jicho lako
🤣🤣🤣🤣 Mkuu namashaka nawewe kama unakwenda kanisani kweli,

Imeandikwa " ondoa... "

Sio" angalia ..."

Mungu akutie nguvu mkuu wangu,
 
Mnaenda kupigwa na GMO na bado mnashangilia. Mzee Magu aliwakataa hawa watu wa aina hii.
 
Hiyo ni kawaida sana. Hakuna jipya. Hata wewe ukienda kuwekeza kwa mtu lazima uelewe maslahi yako ya muda mrefu katika huo namna. Kikubwa ni mikataba iko na maslahi kwa taifa? Kulikuwa na makampuni kama richmond, madini , meremeta, escrow, bagamoyo ya kikwete yanaajiri watu kukuki wa vyeo vya chini, na hayalilpi kodi kwa miaka 5, ikiisha wanabadili mmiliki naya halipi kodi na bado taifa linapewa 3% ya mapato, raslimali zinakwisha, nch iinazidi kuwa maskini na kudaiwa juu, na mikataba ya wachina ya kutafuta maeneo ya kumiliki duniani. NI hatari sana kushangilia wawekezaji bila kujali taifa linapata nini na nni hatima ya vizazi vyetu katika huo uwekezaji.
akili za jk na familillal yake, haizwezi kukomboa taifa.

Tuangalie undani zaidi.
 
Labda ile bendi ya israel vibration wanakuja kuanzisha bendi yao
 
Hayawihayawi yamekua..... huu mpango umechukua muda mrefu lakini lakini sasa umefikia patamuuuu
Kabla ya kuwahi kusifia soma Tena habari yote ubaoni mapungufu yaliyomo! Hawa hawaji na fedha mfukoni Bali wanakuja kukopa mtaji kwenye mabenki yetu matano! Jiulize, hizi benki zetu Zina uzalendo ndani yake au wao wanaangalia faida TU?
Ukisifia jiulize pia, hata wewe raia Tena mwenye raslimali zisizohamishika zilizo ndani ya nchi Yako na yalipo mabenki hayo umedharaulika? Ni kweli huna ujuzi wa kuiaminisha benki ikukopeshe? Au watanzania elimu yetu haitujengei ujuzi wa kuaminika? Yapo maswali mengi Sana kwenye hiyo taarifa ambayo ama yanatudhalilisha Kama raia kwamba mabenki hayatuamini na ama yanaidharau elimu tuliyo nayo sisi watanzania!
 
We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

Mmmhh kwa hiyo hapa wanataka baadhi ya hela kutoka banks za ndani? Hapa naona kuna magumashi, sio rahisi hizo banks za ndani kuwapatia hela, nawajua mm, hapa kuna ujanja ujanja, nina mashaka sana. Yaani watakuja na ujuzi tu hela waje wapate hapa Tz? 😡
 
NIKWELI HAKUNA KAMA SAMIA,

Samia anakibali toka kwa Mungu

Watu walifungua makampuni wakasepa Leo wanarudi baada ya sera nzuri za Rais Samia,

Nafanyaje namimi nipate kazi huko?
Hata kipindi cha Magufuli mlisema hakuna kama yeye, so hamna jipya mwendo ni ule ule kusifu na kuabudu ili mkono uende kinywani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…