Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Yaani wamekuja empty handed, kwa kuwa ngozi yao ni nyeupe, mabenki matano yameungana na kuwaamini kuwakopesha ilihali mabenko hayo hayo hayawezi kuwaamini locals wenye mali zisizohamishika wakawakopesha kiasi hicho cha pesa.

Na kuna mijitu inashangilia eti tz imepata mwekezaji
Mkuu mzungu anaumiza saana kichwa sie huku acha tuwaze vumbi la kongo na kula tunda kimasihara.yaani sie twapenda Mambo ya kuburudisha ubongo Ila sio vya kuumiza ubongo.
Na kufanya tafiti.
Ivi unajua ukienda bank na idea yako ambayo ni viable wanakupa hela ama hulijui.
Acha tu nikudokezee kidogo Kama wajua pamba sec ya hapa mwanza Kuna msela aliona fursa kuwa fremu zijengwe kuzunguka hiyo shule.
Akaongea na mamlaka husika wakubali idea yake.
Akazama benk akawaelezea akawapa makubaliano so bank wakatoa hela wakajenga frames so makatano Yao wanajua wenyewe.
Banks ni sehemu ambayo watu tunatunzia pesa zetu Mana hatuna mawazo gani tuzifanyie.
Na benki hizohizo ni sehemu ambayo watu wanaenda kuchukua hela ambao Wana mawazo ya kuwa watazifanyia Nini. We're linked together by banks.
Ila lazima uwe na kitu Sasa ,eti wazo unashindwa angalau uthubutu Sasa hata angaalau uonekane.
Nipo radhi nimuongezee mtaji mama muuza karanga na matunda road kuliko mdogo wangu amelala eti bro mtaji.chacharika piga vibarua pata ya kwako mfukoni fungua kitu uelemewe nikuone Sasa ulipopungukiwa.
 
Mkuu mzungu anaumiza saana kichwa sie huku acha tuwaze vumbi la kongo na kula tunda kimasihara.yaani sie twapenda Mambo ya kuburudisha ubongo Ila sio vya kuumiza ubongo.
Na kufanya tafiti.
Ivi unajua ukienda bank na idea yako ambayo ni viable wanakupa hela ama hulijui.
Acha tu nikudokezee kidogo Kama wajua pamba sec ya hapa mwanza Kuna msela aliona fursa kuwa fremu zijengwe kuzunguka hiyo shule.
Akaongea na mamlaka husika wakubali idea yake.
Akazama benk akawaelezea akawapa makubaliano so bank wakatoa hela wakajenga frames so makatano Yao wanajua wenyewe.
Banks ni sehemu ambayo watu tunatunzia pesa zetu Mana hatuna mawazo gani tuzifanyie.
Na benki hizohizo ni sehemu ambayo watu wanaenda kuchukua hela ambao Wana mawazo ya kuwa watazifanyia Nini. We're linked together by banks.
Ila lazima uwe na kitu Sasa ,eti wazo unashindwa angalau uthubutu Sasa hata angaalau uonekane.
Nipo radhi nimuongezee mtaji mama muuza karanga na matunda road kuliko mdogo wangu amelala eti bro mtaji.chacharika piga vibarua pata ya kwako mfukoni fungua kitu uelemewe nikuone Sasa ulipopungukiwa.
Daaah,

Umeongea vizuri sana Mkuu ,

But wacha tuendelee kupata ujuzi ili tuanzishe nasisi vyetu
 
Mimi ni Chadema damu ila mama ananikosha sana,

Samia anafanya mambo ambayo hata wapinzani tumempenda,

Hivi mtu anayetuletea ajira elfu 70 sinawakuungwa mkono huyu?

Bora tuvunje kwa muda vyama tubaki na Samia tu,

Nikweli hakuna kama Samia
Hivi si kilamwekezaji akija Huwa tunaimbiwa neema ya ajira imekuja ila mwishoe hatuoni kinachoendelea ila maumivu tuu...!!! Mnasifia Wakati hata hawajaja je wakiahirisha?? Msiwe sana na Tabia ya kushabikia Mwanzoni Bali mwishoni baadae ya Matokeo.. Na kwa akili za Watz utashangaa Hii inakuwa ajenda wiki nzima
 
Mkuu mzungu anaumiza saana kichwa sie huku acha tuwaze vumbi la kongo na kula tunda kimasihara.yaani sie twapenda Mambo ya kuburudisha ubongo Ila sio vya kuumiza ubongo.
Na kufanya tafiti.
Ivi unajua ukienda bank na idea yako ambayo ni viable wanakupa hela ama hulijui.
Acha tu nikudokezee kidogo Kama wajua pamba sec ya hapa mwanza Kuna msela aliona fursa kuwa fremu zijengwe kuzunguka hiyo shule.
Akaongea na mamlaka husika wakubali idea yake.
Akazama benk akawaelezea akawapa makubaliano so bank wakatoa hela wakajenga frames so makatano Yao wanajua wenyewe.
Banks ni sehemu ambayo watu tunatunzia pesa zetu Mana hatuna mawazo gani tuzifanyie.
Na benki hizohizo ni sehemu ambayo watu wanaenda kuchukua hela ambao Wana mawazo ya kuwa watazifanyia Nini. We're linked together by banks.
Ila lazima uwe na kitu Sasa ,eti wazo unashindwa angalau uthubutu Sasa hata angaalau uonekane.
Nipo radhi nimuongezee mtaji mama muuza karanga na matunda road kuliko mdogo wangu amelala eti bro mtaji.chacharika piga vibarua pata ya kwako mfukoni fungua kitu uelemewe nikuone Sasa ulipopungukiwa.
Duuh!.
 
Yaani wamekuja empty handed, kwa kuwa ngozi yao ni nyeupe, mabenki matano yameungana na kuwaamini kuwakopesha ilihali mabenko hayo hayo hayawezi kuwaamini locals wenye mali zisizohamishika wakawakopesha kiasi hicho cha pesa.

Na kuna mijitu inashangilia eti tz imepata mwekezaji
Naona bado unaamini Rufiji na FlyOver zimekuja kwa cash money. Labda zile ndege ila hatukuambiwa hiyo hela inatoka wapi.
 
Hivi si kilamwekezaji akija Huwa tunaimbiwa neema ya ajira imekuja ila mwishoe hatuoni kinachoendelea ila maumivu tuu...!!! Mnasifia Wakati hata hawajaja je wakiahirisha?? Msiwe sana na Tabia ya kushabikia Mwanzoni Bali mwishoni baadae ya Matokeo.. Na kwa akili za Watz utashangaa Hii inakuwa ajenda wiki nzima
Usiposhukuru kwa kidogo kikubwa unakipataje?

Kila hatua dua mzee, Hawa tayari pesa iko kwenye akaunti
 
Daaah,

Umeongea vizuri sana Mkuu ,

But wacha tuendelee kupata ujuzi ili tuanzishe nasisi vyetu
Sie tuendelee kupeana mbinu namna ya kuchelewa kumaliza kitandani aka kuchelewa.
Ukitaka kuuza bidhaa yako iongezee kuwa inaongeza nguvu za kiume pia.
Wewe lete story ulivyokula mbususu kimasihara sie acha tuwe watumwa kwa hao jamaa mpaka Kiama.
 
Sie tuendelee kupeana mbinu namna ya kuchelewa kumaliza kitandani aka kuchelewa.
Ukitaka kuuza bidhaa yako iongezee kuwa inaongeza nguvu za kiume pia.
Wewe lete story ulivyokula mbususu kimasihara sie acha tuwe watumwa kwa hao jamaa mpaka Kiama.
Hahaha wewe jamaa kwanini hujiamini,

Tanzania ni magiants karibu wa kila kitu,

Taifa letu limepata mtu sahihi sana tumpe muda,
 
Usigune mkuu ndo Mana maandiko yanasema mwenye nacho anaongezewa so jitahidi ukamate hata demu so kupata wa pili ni rahisi Sana Tena Sana mkuu
Unahitaji maombi ya kufunga na kuomba,
 
Mimi ni Chadema damu ila mama ananikosha sana,

Samia anafanya mambo ambayo hata wapinzani tumempenda,

Hivi mtu anayetuletea ajira elfu 70 sinawakuungwa mkono huyu?

Bora tuvunje kwa muda vyama tubaki na Samia tu,

Nikweli hakuna kama Samia
kuna haja gani ya kutaja chama chako? dhumni ni nini? kushika attention ya watu, ama?.
 
Hawa wa Israel wanaanzisha Makampuni lakini ndani ya hiyo kampuni kuna kuwa na kitengo cha ujasusi.
Utaona kampuni kwa nje na inafanya kazi iliyoelekezwa na kilimo kinafanya kumbe kuna kazi nyingine inafanyika ya ujasusi.
Wafanyakazi wa kubwa ni watu wenye mission zao.
Kuna kampuni nyuma huko ilikuwa inaendesha shughuli zake Tanzania baada ya kampuni kutoka kufungwa,watu wakajuwa kuna ujasusi ulikuwa unafanyika kwenye Nchi zetu
nchi kubwa zote zina hio michezo si israel tu, ht US hutumia fb na mitandao mingine ya kimarekan kufny ujasusi
 
Back
Top Bottom