Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Tangu kifo cha hayati, marehemu, mwendazake, shujaa wa Africa na kiboko ya wazungu na Corona mama D amekosa muelekeo. Hana mbele wa nyuma!

Kati ya mimi na wewe nani hana muelekeo

JPM ataendelea kukumbukwa kama Rais na mwamba imara, mbeba maono, jasiri, mchapakazi kwa taifa lake na pekee mwenye uthubutu kuwahi kutokea duniani kwa karne hii

Nakukaribisha wewe Baraka21 usiyekua na mbele, nyuma wala katikati utulize ubongo uje tuendeleze kazi alizoacha baba yetu JPM

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan

Kazi iendelee
 
......Nawasalimu kwa jina la JMT......

Wakati uwekezaji kwa miezi sita ya Rais Samia ukikua kwa 400% kutoka $510M March 2021 hadi $2.98bl Sept karibu 7trilioni mambo yanazidi kunoga na kicheko kwa Watanzania kinazidi kukolea,

Moja ya faida kubwa ya Uwekezaji toka nje ( FDI ) ni kutuletea fedha za kigeni,teknolojia,ongezeko la thamani kwenye bidhaa na huduma pamoja na ajira kwa wazawa,Taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Wakati FY 2021|22 Serikali imepanga kuajiri watu elfu 40 Aie Holding LTD pekee wanakuja kuajiri watu elfu 70 kwa Mkupuo sawa na 175% ya ajira zote mpya za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021|2022 ndio maana Rais Samia ameondoa jumla ya tozo 232 nahii ndio sababu kamapuni kama hii ilisajiliwa mwaka 2020 ila uwekezaji inaufanya mwaka wa Rais Samia,

Aie Holding LTD kampuni toka Israeli itawekeza kwenye biashara ya kilimo ,kilimo, elimu ya kilimo pamoja na Vifaa vya kilimo na mashine na itahitaji jumla ya hekta 25,000,Makao makuu yatakuwa D'salaam vituo vingine vitakuwa Mwanza, Morogoro,Njombe,Kagera na Bagamoyo na watatumia zaidi umeme wa jua,

Aie Holding LTD inawekeza jumla ya $250M sawa na Tshs 575BL huku $200 itatumika kujenga miundombinu na $50M itakuwa ni mtaji wa kuanzia biashara,Kazi hii itafanywa kwa ubia na baadhi ya mabenki makubwa matano bila kubali majina ya benki husika huku Staff watakaoajiriwa na kampuni hii kupelekwa kozi ya miezi kati ya 6|7 nchini Israel vijana changamkeni,

" HAKUNA KAMA SAMIA "


.........Kazi iendelee .........





==================================
The CitizenNews
Israeli firm to invest Sh575 billion in agro areas
TUESDAY SEPTEMBER 28 2021

Israel pic
Summary
Some $200 million of the money will be invested in infrastructure of agro-industrial projects, with the remaining $50 million being working capital

Dar es Salaam. Aie Holding Ltd will invest $250 million (about Sh575 billion) in Tanzania’s agro-industrial education and agro-management skills.

The company - which was registered in Tanzania last year - will invest in projects related to agricultural education, logistics division, vegetable oil plant, feed mill, packing and storage, solar power, cattle farm, poultry farm, fish farm, field crops, tropical fruit concentrate, solar power and wastewater treatment.

Headquartered in Dar es Salaam, the company whose founder and chairman is Mr Avi Postelnik, an investor from Israel, will source the money from private equity as well as local and international banks.

“We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

He said while some $200 million of the money will be invested in infrastructure of the agro-industrial projects, the remaining $50 million would be working capital. “The doors are open for potential local partners,” said Mr Postelnik.

The company, whose operation will be in Dar es Salaam, Kagera, Mwanza, Bagamoyo, Njombe and Morogoro, is expected to create about 70,000 direct jobs including that of chief executive officer to locals.

Agricultural education

Mr Postelnik said agricultural education and training will be provided in Tanzania and Israel.

“We intend to use the advanced agriculture education in Israel by enrolling Tanzanians for short and long periods in our special projects of education available in our country,” he asserted.

Some of its employees, he explained, will be taken to Israel for a 6-7 month training.

“We intend to use their (Israel) know-how to employ graduates in management and technical positions in our agro-industrial projects in Tanzania,” noted Mr Postelnik.

Logistics division

Mr Postelnik said the transportation and Logistics division will be used for delivery of the raw materials to the processing plants and then for transportation of the finished products to the local markets for sale or to the ports for export.

Vegetable oil plant

This plant is designed to process oil seeds, such as Soya bean, sunflower, corn and cotton, and bottle the oil for the local and export market.

This plant is fully automated and the residue containing protein and fat will be used in the feed mill.

Feed mill

The feed mill is specifically designed for feeding our cattle, poultry and fish. The total area for the supplying farms is planned to be around 25,000 hectares.

Packing and storage

He said the whole chicken, eviscerated, cleaned and plucked will be packed in special plastic packaging to be sold as chilled or frozen.

Solar power

All the projects will use solar energy.

Experts from Israel will come to evaluate the sites and advise the type of solar energy for maximization of natural energy

Source : The Citizen

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1956881
Sukuma Gang hawataki hayo,wanataka mungu hafufuliwe kenge hawa
 
mama D ni hazina ya Taifa,

Awamu hii wamepewa sana nguvu na mama,

Wanawake kama wanaume

Hehehe wewe CM 1774858 unataka Baraka21 akajinyonge leo kama Yuda alivyojinyonga😅😅😅😅

Wanawake wanaweza kuongoza kama ilivyo wanaume sababu uongozi hautumii kile kiungo cha mwili (cha kike au cha kiume) bali ufahamu
 
Maneno ya busara sana mama D ,

Lazima tuanzishe na kuendeleza kazi nzuri na kubwa zilizoanzishwa kifikra na kimatendo na hayati JPM,

Apumze kwa amani mzee wetu,


.........KAZI IENDELEE .........
Kati ya mimi na wewe nani hana muelekeo

JPM ataendelea kukumbukwa kama Rais na mwamba imara, mbeba maono, jasiri, mchapakazi kwa taifa lake na pekee mwenye uthubutu kuwahi kutokea duniani kwa karne hii

Nakukaribisha wewe Baraka21 usiyekua na mbele, nyuma wala katikati utulize ubongo uje tuendeleze kazi alizoacha baba yetu JPM

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan

Kazi iendelee
 
Hehehe wewe CM 1774858 unataka Baraka21 akajinyonge leo kama Yuda alivyojinyonga😅😅😅😅

Wanawake wanaweza kuongoza kama ilivyo wanaume sababu uongozi hautumii kile kiungo cha mwili (cha kike au cha kiume) bali ufahamu


Shida kubwa mapokeo yanawahukumu

ongezeni kujipigania na kupiganiana,
 
......Nawasalimu kwa jina la JMT......

Wakati uwekezaji kwa miezi sita ya Rais Samia ukikua kwa 400% kutoka $510M March 2021 hadi $2.98bl Sept karibu 7trilioni mambo yanazidi kunoga na kicheko kwa Watanzania kinazidi kukolea,

Moja ya faida kubwa ya Uwekezaji toka nje ( FDI ) ni kutuletea fedha za kigeni,teknolojia,ongezeko la thamani kwenye bidhaa na huduma pamoja na ajira kwa wazawa,Taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Wakati FY 2021|22 Serikali imepanga kuajiri watu elfu 40 Aie Holding LTD pekee wanakuja kuajiri watu elfu 70 kwa Mkupuo sawa na 175% ya ajira zote mpya za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021|2022 ndio maana Rais Samia ameondoa jumla ya tozo 232 nahii ndio sababu kamapuni kama hii ilisajiliwa mwaka 2020 ila uwekezaji inaufanya mwaka wa Rais Samia,

Aie Holding LTD kampuni toka Israeli itawekeza kwenye biashara ya kilimo ,kilimo, elimu ya kilimo pamoja na Vifaa vya kilimo na mashine na itahitaji jumla ya hekta 25,000,Makao makuu yatakuwa D'salaam vituo vingine vitakuwa Mwanza, Morogoro,Njombe,Kagera na Bagamoyo na watatumia zaidi umeme wa jua,

Aie Holding LTD inawekeza jumla ya $250M sawa na Tshs 575BL huku $200 itatumika kujenga miundombinu na $50M itakuwa ni mtaji wa kuanzia biashara,Kazi hii itafanywa kwa ubia na baadhi ya mabenki makubwa matano bila kubali majina ya benki husika huku Staff watakaoajiriwa na kampuni hii kupelekwa kozi ya miezi kati ya 6|7 nchini Israel vijana changamkeni,

" HAKUNA KAMA SAMIA "


.........Kazi iendelee .........





==================================
The CitizenNews
Israeli firm to invest Sh575 billion in agro areas
TUESDAY SEPTEMBER 28 2021

Israel pic
Summary
Some $200 million of the money will be invested in infrastructure of agro-industrial projects, with the remaining $50 million being working capital

Dar es Salaam. Aie Holding Ltd will invest $250 million (about Sh575 billion) in Tanzania’s agro-industrial education and agro-management skills.

The company - which was registered in Tanzania last year - will invest in projects related to agricultural education, logistics division, vegetable oil plant, feed mill, packing and storage, solar power, cattle farm, poultry farm, fish farm, field crops, tropical fruit concentrate, solar power and wastewater treatment.

Headquartered in Dar es Salaam, the company whose founder and chairman is Mr Avi Postelnik, an investor from Israel, will source the money from private equity as well as local and international banks.

“We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

He said while some $200 million of the money will be invested in infrastructure of the agro-industrial projects, the remaining $50 million would be working capital. “The doors are open for potential local partners,” said Mr Postelnik.

The company, whose operation will be in Dar es Salaam, Kagera, Mwanza, Bagamoyo, Njombe and Morogoro, is expected to create about 70,000 direct jobs including that of chief executive officer to locals.

Agricultural education

Mr Postelnik said agricultural education and training will be provided in Tanzania and Israel.

“We intend to use the advanced agriculture education in Israel by enrolling Tanzanians for short and long periods in our special projects of education available in our country,” he asserted.

Some of its employees, he explained, will be taken to Israel for a 6-7 month training.

“We intend to use their (Israel) know-how to employ graduates in management and technical positions in our agro-industrial projects in Tanzania,” noted Mr Postelnik.

Logistics division

Mr Postelnik said the transportation and Logistics division will be used for delivery of the raw materials to the processing plants and then for transportation of the finished products to the local markets for sale or to the ports for export.

Vegetable oil plant

This plant is designed to process oil seeds, such as Soya bean, sunflower, corn and cotton, and bottle the oil for the local and export market.

This plant is fully automated and the residue containing protein and fat will be used in the feed mill.

Feed mill

The feed mill is specifically designed for feeding our cattle, poultry and fish. The total area for the supplying farms is planned to be around 25,000 hectares.

Packing and storage

He said the whole chicken, eviscerated, cleaned and plucked will be packed in special plastic packaging to be sold as chilled or frozen.

Solar power

All the projects will use solar energy.

Experts from Israel will come to evaluate the sites and advise the type of solar energy for maximization of natural energy

Source : The Citizen

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1956881
Ujasusi na taifa la Israel ni 😍👌


Uzao wa Ibrahim uliobarikiwa na Mungu aliye hai

Mwanzo 17
Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu. Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.

Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema, Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi, wala jina lako hutaitwa tena Abramu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.

Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako. Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.

Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao. Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.


Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara. Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.

Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?

Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.

Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.



Mathayo 22: 32​

Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.


Nimekuona kitukuu ya Ibrahimu, Isaka na Yakobo Extrovert

Na CM 1774858 unavyofurahia kukutana na kiboko ya Goliath sasa😅😅😅
Nilishawahi kuonya huko nyuma, uwekezaji kwenye kilimo ufanywe na wazawa (yaani raia). Maana nchi ni ardhi, kurudisha wageni kulimisha raia ni ukoloni mpya kwa njia ya uwekezaji. Hivi nchi yetu imeshindwa kutengeneza wawekezaji wazawa hadi tunahitaji wageni kutuzalishia chakula ndani ya nchi yetu. Tunashindwa kuzalisha chakula wenyewe hadiu wageni. Hivi sis tunaweza nini kama hata kulima tunashindwa!!
 
Ujasusi na taifa la Israel ni 😍👌


Uzao wa Ibrahim uliobarikiwa na Mungu aliye hai

Mwanzo 17
Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu. Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.

Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema, Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi, wala jina lako hutaitwa tena Abramu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.

Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako. Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.

Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao. Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.


Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara. Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.

Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?

Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.

Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.



Mathayo 22: 32​

Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.


Nimekuona kitukuu ya Ibrahimu, Isaka na Yakobo Extrovert

Na CM 1774858 unavyofurahia kukutana na kiboko ya Goliath sasa😅😅😅
Mama D jikoshe na Mathayo,but jua tu Israel sio Wakristo bali wanawatumia wakristo ktk kuupiga vita uislamu na nyinyi munafikiri kama wenzenu bora Waislamu wako karibu sana na nyie Waisraili ndio matatizo yote ya dunia hii unayoyaona misikombe sana na hao hata huo Ukristo wao hawaupendi .Siku njema.
 
Maneno ya busara sana mama D ,

Lazima tuanzishe na kuendeleza kazi nzuri na kubwa zilizoanzishwa kifikra na kimatendo na hayati JPM,

Apumze kwa amani mzee wetu,


.........KAZI IENDELEE .........

Tanzania ndio baba na mama kwetu. Tumshukuru Mungu kuwa na serikali imara na tuungane kujenga nchi

Wenzetu wenye chuki poleni maana hata ukimchukia kiongozi wako hamna kitu unaweza mfanya, ndio keshakalia kiti, ndio Rais na Amiri Jeshi mkuu. Zaidi zaidi busara ingekua kumwombea uzima na utulivu; na Mungu amzidishie hekma na maarifa Rais wetu kipenzi
 
Nilishawahi kuonya huko nyuma, uwekezaji kwenye kilimo ufanywe na wazawa (yaani raia). Maana nchi ni ardhi, kurudisha wageni kulimisha raia ni ukoloni mpya kwa njia ya uwekezaji. Hivi nchi yetu imeshindwa kutengeneza wawekezaji wazawa hadi tunahitaji wageni kutuzalishia chakula ndani ya nchi yetu. Tunashindwa kuzalisha chakula wenyewe hadiu wageni. Hivi sis tunaweza nini kama hata kulima tunashindwa!!
Huwezi kukwepa sekta binafsi kiongozi,

Ndio sekta mama duniani kote,

Uwekezaji wanaoufanya utaamnukiza ujuzi mpya kwa wazawa,
 
......Nawasalimu kwa jina la JMT......

Wakati uwekezaji kwa miezi sita ya Rais Samia ukikua kwa 400% kutoka $510M March 2021 hadi $2.98bl Sept karibu 7trilioni mambo yanazidi kunoga na kicheko kwa Watanzania kinazidi kukolea,

Moja ya faida kubwa ya Uwekezaji toka nje ( FDI ) ni kutuletea fedha za kigeni,teknolojia,ongezeko la thamani kwenye bidhaa na huduma pamoja na ajira kwa wazawa,Taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Wakati FY 2021|22 Serikali imepanga kuajiri watu elfu 40 Aie Holding LTD pekee wanakuja kuajiri watu elfu 70 kwa Mkupuo sawa na 175% ya ajira zote mpya za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021|2022 ndio maana Rais Samia ameondoa jumla ya tozo 232 nahii ndio sababu kamapuni kama hii ilisajiliwa mwaka 2020 ila uwekezaji inaufanya mwaka wa Rais Samia,

Aie Holding LTD kampuni toka Israeli itawekeza kwenye biashara ya kilimo ,kilimo, elimu ya kilimo pamoja na Vifaa vya kilimo na mashine na itahitaji jumla ya hekta 25,000,Makao makuu yatakuwa D'salaam vituo vingine vitakuwa Mwanza, Morogoro,Njombe,Kagera na Bagamoyo na watatumia zaidi umeme wa jua,

Aie Holding LTD inawekeza jumla ya $250M sawa na Tshs 575BL huku $200 itatumika kujenga miundombinu na $50M itakuwa ni mtaji wa kuanzia biashara,Kazi hii itafanywa kwa ubia na baadhi ya mabenki makubwa matano bila kubali majina ya benki husika huku Staff watakaoajiriwa na kampuni hii kupelekwa kozi ya miezi kati ya 6|7 nchini Israel vijana changamkeni,

" HAKUNA KAMA SAMIA "


.........Kazi iendelee .........





==================================
The CitizenNews
Israeli firm to invest Sh575 billion in agro areas
TUESDAY SEPTEMBER 28 2021

Israel pic
Summary
Some $200 million of the money will be invested in infrastructure of agro-industrial projects, with the remaining $50 million being working capital

Dar es Salaam. Aie Holding Ltd will invest $250 million (about Sh575 billion) in Tanzania’s agro-industrial education and agro-management skills.

The company - which was registered in Tanzania last year - will invest in projects related to agricultural education, logistics division, vegetable oil plant, feed mill, packing and storage, solar power, cattle farm, poultry farm, fish farm, field crops, tropical fruit concentrate, solar power and wastewater treatment.

Headquartered in Dar es Salaam, the company whose founder and chairman is Mr Avi Postelnik, an investor from Israel, will source the money from private equity as well as local and international banks.

“We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

He said while some $200 million of the money will be invested in infrastructure of the agro-industrial projects, the remaining $50 million would be working capital. “The doors are open for potential local partners,” said Mr Postelnik.

The company, whose operation will be in Dar es Salaam, Kagera, Mwanza, Bagamoyo, Njombe and Morogoro, is expected to create about 70,000 direct jobs including that of chief executive officer to locals.

Agricultural education

Mr Postelnik said agricultural education and training will be provided in Tanzania and Israel.

“We intend to use the advanced agriculture education in Israel by enrolling Tanzanians for short and long periods in our special projects of education available in our country,” he asserted.

Some of its employees, he explained, will be taken to Israel for a 6-7 month training.

“We intend to use their (Israel) know-how to employ graduates in management and technical positions in our agro-industrial projects in Tanzania,” noted Mr Postelnik.

Logistics division

Mr Postelnik said the transportation and Logistics division will be used for delivery of the raw materials to the processing plants and then for transportation of the finished products to the local markets for sale or to the ports for export.

Vegetable oil plant

This plant is designed to process oil seeds, such as Soya bean, sunflower, corn and cotton, and bottle the oil for the local and export market.

This plant is fully automated and the residue containing protein and fat will be used in the feed mill.

Feed mill

The feed mill is specifically designed for feeding our cattle, poultry and fish. The total area for the supplying farms is planned to be around 25,000 hectares.

Packing and storage

He said the whole chicken, eviscerated, cleaned and plucked will be packed in special plastic packaging to be sold as chilled or frozen.

Solar power

All the projects will use solar energy.

Experts from Israel will come to evaluate the sites and advise the type of solar energy for maximization of natural energy

Source : The Citizen

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1956881
when wataanza na hizo ajira ni za mara na moja na moja kwa moja au ndo zile siasa mmesha hesabu hadi mama ntile na machinga wataokuwa pembezoni mwa kiwanda nao humo ndani?
watanzania tupunguze kuishi kwa hisia hisia na siasa siasa hawa wanasiasa wetu si watu wa kuaminika alafu hii tabia ipo africa tu sijui kwanini?
 
Tanzania ndio baba na mama kwetu. Tumshukuru Mungu kuwa na serikali imara na tuungane kujenga nchi

Wenzetu wenye chuki poleni maana hata ukimchukia kiongozi wako hamna kitu unaweza mfanya, ndio keshakalia kiti, ndio Rais na Amiri Jeshi mkuu. Zaidi zaidi busara ingekua kumwombea uzima na utulivu; na Mungu amzidishie hekma na maarifa Rais wetu kipenzi
Mungu asikupungue neno,

Tuungane kuunga mkono regime iliyoko,

Mungu ibariki Tanzania,

Mungu mbariki Rais wetu,
 
when wataanza na hizo ajira ni za mara na moja na moja kwa moja au ndo zile siasa mmesha hesabu hadi mama ntile na machinga wataokuwa pembezoni mwa kiwanda nao humo ndani?
watanzania tupunguze kuishi kwa hisia hisia na siasa siasa hawa wanasiasa wetu si watu wa kuaminika alafu hii ni africa tu ijui kwanini?
Permanent employees
 
Mama D jikoshe na Mathayo,but jua tu Israel sio Wakristo bali wanawatumia wakristo ktk kuupiga vita uislamu na nyinyi munafikiri kama wenzenu bora Waislamu wako karibu sana na nyie Waisraili ndio matatizo yote ya dunia hii unayoyaona misikombe sana na hao hata huo Ukristo wao hawaupendi .Siku njema.

Hakuna mahala nimesema Israel ni wakristo au waislamu. Hayo maandiko yanasema uzao wa ibrahimu sio dini yake

Nikueleweshe tenaaa


Mwanzo 17

16 Nami Sara, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.

18 Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.

19 Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.


20 Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.



Hayo mambo yako ya udini yaondoe tuu hapa. Tuko kwenye kuishi kwa imani na baraka za mwenyezi Mungu na sio kwenye ukristo, uislam au uyahudi
 
Nilishawahi kuonya huko nyuma, uwekezaji kwenye kilimo ufanywe na wazawa (yaani raia). Maana nchi ni ardhi, kurudisha wageni kulimisha raia ni ukoloni mpya kwa njia ya uwekezaji. Hivi nchi yetu imeshindwa kutengeneza wawekezaji wazawa hadi tunahitaji wageni kutuzalishia chakula ndani ya nchi yetu. Tunashindwa kuzalisha chakula wenyewe hadiu wageni. Hivi sis tunaweza nini kama hata kulima tunashindwa!!

Tufundishe basi, maana ukifanya wewe, mimi, jirani yako, ndugu zako, watoto wako tunaweza kutoboa.

Haya, tuanze na wewe mwenyewe binafsi.... unaweza kuzalisha nini kwenye kilimo cha biashara katika nafasi yako?
 
Hawa wa Israel wanaanzisha Makampuni lakini ndani ya hiyo kampuni kuna kuwa na kitengo cha ujasusi.
Utaona kampuni kwa nje na inafanya kazi iliyoelekezwa na kilimo kinafanya kumbe kuna kazi nyingine inafanyika ya ujasusi.
Wafanyakazi wa kubwa ni watu wenye mission zao.
Kuna kampuni nyuma huko ilikuwa inaendesha shughuli zake Tanzania baada ya kampuni kutoka kufungwa,watu wakajuwa kuna ujasusi ulikuwa unafanyika kwenye Nchi zetu
Mkuu usiogope majasusi.
Marekani na Russia au Marekani na China ni rivals na bado wanafanyiana ujasusi.

Sisi Tanzania ni tishio kiasi gani kwa Israel mpaka tuwaogope?

Makampuni makubwa ya Israel yamewekeza China, India, Brazil, USA au South Africa nchi zenye uchumi mkubwa, sioni uwoga wa kuogopa majasusi.
Mathalani, nchi kama Umoja wa Falme za Kiarabu ambao juzi tu wameanzisha diplomatic relations, wameingia mikataba ya billion dollar kuwa na collaboration za kibiashara. Watanzania tusiwaogope kiviiile hawa jamaa.


Cha msingi waje tuone value ya transfer of technology, know-how ili baada ya muda na sisi tuone faida ya kuwa na ardhi yanye kuweza kustawisha karibu kila aina ya mazao na tuondokane na imports twende kwenye exports ya consumable products badala ya kuuza raw.

Tuishukuru kampuni hiyo kupata usajili wake hapa nchini 2020, na in the course bila shaka watakuwa na mguso chanya.
 
......Nawasalimu kwa jina la JMT......

Wakati uwekezaji kwa miezi sita ya Rais Samia ukikua kwa 400% kutoka $510M March 2021 hadi $2.98bl Sept karibu 7trilioni mambo yanazidi kunoga na kicheko kwa Watanzania kinazidi kukolea,

Moja ya faida kubwa ya Uwekezaji toka nje ( FDI ) ni kutuletea fedha za kigeni,teknolojia,ongezeko la thamani kwenye bidhaa na huduma pamoja na ajira kwa wazawa,Taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Wakati FY 2021|22 Serikali imepanga kuajiri watu elfu 40 Aie Holding LTD pekee wanakuja kuajiri watu elfu 70 kwa Mkupuo sawa na 175% ya ajira zote mpya za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021|2022 ndio maana Rais Samia ameondoa jumla ya tozo 232 nahii ndio sababu kamapuni kama hii ilisajiliwa mwaka 2020 ila uwekezaji inaufanya mwaka wa Rais Samia,

Aie Holding LTD kampuni toka Israeli itawekeza kwenye biashara ya kilimo ,kilimo, elimu ya kilimo pamoja na Vifaa vya kilimo na mashine na itahitaji jumla ya hekta 25,000,Makao makuu yatakuwa D'salaam vituo vingine vitakuwa Mwanza, Morogoro,Njombe,Kagera na Bagamoyo na watatumia zaidi umeme wa jua,

Aie Holding LTD inawekeza jumla ya $250M sawa na Tshs 575BL huku $200 itatumika kujenga miundombinu na $50M itakuwa ni mtaji wa kuanzia biashara,Kazi hii itafanywa kwa ubia na baadhi ya mabenki makubwa matano bila kubali majina ya benki husika huku Staff watakaoajiriwa na kampuni hii kupelekwa kozi ya miezi kati ya 6|7 nchini Israel vijana changamkeni,

" HAKUNA KAMA SAMIA "


.........Kazi iendelee .........





==================================
The CitizenNews
Israeli firm to invest Sh575 billion in agro areas
TUESDAY SEPTEMBER 28 2021

Israel pic
Summary
Some $200 million of the money will be invested in infrastructure of agro-industrial projects, with the remaining $50 million being working capital

Dar es Salaam. Aie Holding Ltd will invest $250 million (about Sh575 billion) in Tanzania’s agro-industrial education and agro-management skills.

The company - which was registered in Tanzania last year - will invest in projects related to agricultural education, logistics division, vegetable oil plant, feed mill, packing and storage, solar power, cattle farm, poultry farm, fish farm, field crops, tropical fruit concentrate, solar power and wastewater treatment.

Headquartered in Dar es Salaam, the company whose founder and chairman is Mr Avi Postelnik, an investor from Israel, will source the money from private equity as well as local and international banks.

“We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

He said while some $200 million of the money will be invested in infrastructure of the agro-industrial projects, the remaining $50 million would be working capital. “The doors are open for potential local partners,” said Mr Postelnik.

The company, whose operation will be in Dar es Salaam, Kagera, Mwanza, Bagamoyo, Njombe and Morogoro, is expected to create about 70,000 direct jobs including that of chief executive officer to locals.

Agricultural education

Mr Postelnik said agricultural education and training will be provided in Tanzania and Israel.

“We intend to use the advanced agriculture education in Israel by enrolling Tanzanians for short and long periods in our special projects of education available in our country,” he asserted.

Some of its employees, he explained, will be taken to Israel for a 6-7 month training.

“We intend to use their (Israel) know-how to employ graduates in management and technical positions in our agro-industrial projects in Tanzania,” noted Mr Postelnik.

Logistics division

Mr Postelnik said the transportation and Logistics division will be used for delivery of the raw materials to the processing plants and then for transportation of the finished products to the local markets for sale or to the ports for export.

Vegetable oil plant

This plant is designed to process oil seeds, such as Soya bean, sunflower, corn and cotton, and bottle the oil for the local and export market.

This plant is fully automated and the residue containing protein and fat will be used in the feed mill.

Feed mill

The feed mill is specifically designed for feeding our cattle, poultry and fish. The total area for the supplying farms is planned to be around 25,000 hectares.

Packing and storage

He said the whole chicken, eviscerated, cleaned and plucked will be packed in special plastic packaging to be sold as chilled or frozen.

Solar power

All the projects will use solar energy.

Experts from Israel will come to evaluate the sites and advise the type of solar energy for maximization of natural energy

Source : The Citizen

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1956881
Mitano tena eti😛😛😛😛😛😛????
 
Back
Top Bottom