Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

Dogo,
Hizo ni sifa za ccm ambao ndo vibaraka wa mabwanyenye wa Magharibi, Asia na Uarabuni
gentleman,
let me confirm to you without fear of contradictions,

Lisu hawezi kua kiongozi wa chadema tena baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema feb.2025, wala hawezi kua mgombea urais kupitia chadema kwasababu tu ya kua kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi..

Chairman hawezi kukubali chama alichokijenga kwa miaka makumi, eti image yake iharibiwe na mtu moja anaetaka kuwaingiza wakoloni mamboleo nchini kupitia chadema
 
Dogo,
Mbona hueleweki?
Unarukaruka tu kama maharagwe ndani ya sufuria jikoni!
 
Dogo,
Mbona hueleweki?
Unarukaruka tu kama maharagwe ndani ya sufuria jikoni!
chuku point hiyo gentleman,
usije kusema mbobevu sikuwaambia mapema, iko hivyo na sio siri tena
 
Natumika na nani sasa? Amka usijehara kitandani bure? Umri huo nishatoka kitambo sana kijana keyboard warrior
 
Hivyo vyeo umemvika wewe au waliokupa cheo chako?
 
Hata mimi navichukia ni wapumbavu sanal
 
🤣🤣🤣🔊
 
Hata sisi tunavichukia
 
Ccm ndio wanaojielewa?

Hamwawezi bila ya nguvu ya dola na jaribuni hivyo mwangalie mtakavyoumia kwa kuanguka.
kuongoza nchi hakujaribiwi gentleman,

endeleeni kuamini hiyo daha na huo ushirikana wenu wa kujaribu, hakuna mpiga kura atachagua mihemko na malalamiko tu, akaacha mipango maridhawa ya maendeleo ya ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…