Si kila kisomo kinatokana na Qur'an. Kuna vitabu nje ya Qur'an, vingi sana, vimeandikwa kwa Kiarabu. Ndiyo maana nikasema msihusishe Qur'an na uchawi wenu wa kishenzi.Kwani kisomo kinatokana na biblia siyo??
Hujaona yale matangazo ya kumrudisha mme,mvuto nk yanayobandikwa na Sheikh Sharrifa wa Zanzibar??..
Kama uliwangiwa basi hao ni washenzi wenzio walio kuwangia. Muislam kujihusisha na mambo ya kichawi ni haram.wanga wakubwa nyie
HahahahHujaona mchawi wa Taifa kaenda?
LooooohYote Tisa limbwata mauno yako tu.
Loooooh
Litakushikaje ilhali unatoka na wenye biashara zao?Wanaume tuna mitihani Sana, ila mimi limbwata haliwezi kushika
Safi!!Aaah sijali wala nini mie sitaki mwanaume zuzu najijua mi mkorofi nitamwonea.... Inabidi nikutane na kichwa ngumu anidhibiti sasa mwenye kuwekewa limbwata ataweza wapi kunidhibiti
Mamaeee laaah silali home aisee hebu kwanza hivi Jana nilikula nyama au maharage
[/QUO
kila kisomo kinatokana na Qur'an. Kuna vitabu nje ya Qur'an, vingi sana, vimeandikwa kwa Kiarabu. Ndiyo maana nikasema msihusishe Qur'an na uchawi wenu wa kishenzi.Mama sidhani kama kuna kisomo kingine zaidi ya hicho
Najiuliza mtani wangu hukumkatikia hayo mauno???Looh nn tena mbn waguna?
Najiuliza mtani wangu hukumkatikia hayo mauno???
Hivi kuna watu wengine wanafanya kisomo zaidi ya Nyie. Kwa sasbabu kisomo ni kwa kiarabu na nyie ndo mna kijua au nakosea mie. Nisaidie Hajatkila kisomo kinatokana na Qur'an. Kuna vitabu nje ya Qur'an, vingi sana, vimeandikwa kwa Kiarabu. Ndiyo maana nikasema msihusishe Qur'an na uchawi wenu wa kishenzi.
Qur'an ni shifaa.
Pole mkuu
Weka picha tuioneNilmkatikia na bado twapasha viporo
kabisa pole sana kwa hili jamboDaah,mimi nilipigwa hio namba 6,nlipata mateso miaka kadhaa,hadi pale jirani yangu aliponitonya kuwa mama wtt wako kaning’iniza Tarasimu juu ya huu mti wa mzambarao,na huo mti ulikua uani kwetu
Nlipaanda juu ya mti nikaifungua ile kamba,kisha nlimpa kipondo heavy mama watt na akafunga virago na kwenda kwako tangia 2013 hadi waleo naishi kwa raha na amani