Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania

Kwahiyo wajita ni
1: wajuaji
2:ugomvi unaingiliwa na mama mkwe mjomba Kaka na wake za kaka zao?
3:Wanadharau
4:..,......,.........
 
Mbn kabila la Warangi halipo kwenye huo utafiti ?
Mpo sema chini uko kwenye nakadhalika (nk) hahahahaaa ..
co kama amjafanyiwa uchunguzi mmefanyiwa sema mpo chini kwenye namba znazoitwaga nakuendelea
 
Wanyakyusa wapi
 
Kwahiyo sisi wengine hatudum[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…