Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania

Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania

Binafsi ninakubali utafiti huu. Mana katika kutafuta wife material kutokana na social background priority Yangu ilikuwa ni mkurya,mmasai na Msukuma. Nilidate na Msukuma nikaangukia kwa mkurya. Hayo wengine ni kuwasifia tu na kuwatafuna na kusepa ila ukweli naujua mwenyewe.
Kuna jamii chache zinazojua mana ya ndoa tukubaliane nalo.na pia kipimo kizuri ukitaka kujua kama kabla hilo ni zuri angalia kama wanaume Wa hilo kabila wanaoa wadada wao I.e mfano je muha anapenda kumuoa muha mwenzako ama anakimbilia jamii zingine. Hapo utawajua kama wazuri mana kwanza wao kwa wao wanajuana tabia zao kuliko wewe Wa kuja.

Binafsi huwa nashauri makabila haya yanafaa kutafuta wife material mmasai,mkurya,msukuma , muha ,haya makabila huwezi achwa ama kudharauliwa kisa umefulia. Wanakomaa ama wanavumilia halo zote za majira ya mwaka.
Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
15,19.20. Kama wanaoana wenyewe kwa wenyewe sawa lakini chochonde kama wewe ni mwanaume usijaribu kujipendekeza utapanda juu ya mti huko mbeleni nakuambia naomba niishie hapo
 
Mie ninachoshukuru tu ni kuwa, kabila langu kwenye utafiti wa ndoa zinazodumu lipo 10 bora,
Hayo mengine watakuja kuyazungumzia wapendwa!!
Mimi kinachonisikitisha kuwa nina deti na mtu ambae kabila lake limevuta mka. nabadilisha maamuzi.
Alafu mbona grafu imeshuka sana kuanzina namba 16😁
 
15,19.20. Kama wanaoana wenyewe kwa wenyewe sawa lakini chochonde kama wewe ni mwanaume usijaribu kujipendekeza utapanda juu ya mti huko mbeleni nakuambia naomba niishie hapo
hebu nipe ABC za 20
 
Hiyo mzee baba ndugu wa mwanamke wote hadi wajomba mashangazi na makaka kama una nyumba jua wanahamia wote kama wapemba na kila mwisho wa mwezi lazma aende kwao haya kama hakuna shughuli yoyote na akiwa kwako alafu apate wa kabila lake asee ndo kabisaa kazi nyumbani haifanyiki tena ni kilugha mwanzo mwisho kusengenya majirani wengine kwa kilugha
hebu nipe ABC za 20
 
Hiyo mzee baba ndugu wa mwanamke wote hadi wajomba mashangazi na makaka kama una nyumba jua wanahamia wote kama wapemba na kila mwisho wa mwezi lazma aende kwao haya kama hakuna shughuli yoyote na akiwa kwako alafu apate wa kabila lake asee ndo kabisaa kazi nyumbani haifanyiki tena ni kilugha mwanzo mwisho kusengenya majirani wengine kwa kilugha
Ngoja nianze kujivua gwanda mdogo mdogo

God save us
 
Back
Top Bottom