Airtel inazidi kutanua soko la Unlimited internet, Vodacom na Tigo wakiendelea kushupaza shingo watastuka soko lishamezwa

Airtel inazidi kutanua soko la Unlimited internet, Vodacom na Tigo wakiendelea kushupaza shingo watastuka soko lishamezwa

( Hulipii tena gb unalipia speed)

Wizi umejificha hapa
Ni umlimited kwa GB 1,000 baada ya hapo speed inapungua

ni sera inayotumika na watoa huduma wa internet. Inalenga kuzuia matumizi ya data yaliyopitiliza ili kuhakikisha kila mtumiaji anapata kasi nzuri ya mtandao na kuwabana watu wanaoununua internet kwajili ya kuuzia / kusambazia watu wengi.
 
View attachment 3170731

Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza kibaba mwisho wamwezi umechoma 80k hadi kilo kwenye bando

Suluhisho ni huduma ya unlimited internet na hadi sasa Airtel ndie mwenye nafuu, Gharama za matumizi binafsi ya data zimepunguzwa sana Na nyumbani/ofisini hakuna tena ule usumbufu wa kuombwa hela za bando

Vodacom na tigo wana huduma za unlimited lakini ni ghali, Kujisali inabidi ununue router ya bei ya chini 250,000, vifurushi vyao vya chini kabisa ni 120,000

Airtel wana gharama nafuu, kwa 110,000 utapewa router iliyoungwa bando la mwezi mzima na miezi ijayo unaweza kuchagua kifurushi cha elf 70, 110k, 150k, n.k. kulingana na speed (hulipii tena gb unalipia speed)

Vodacom na Tigo wakiendelea kukomaa na bei zao za 120k watakuja kustuka soko lishamezwa

Halotel wapo kimya, itapendeza waje na bei za kizalendo kama ilivyo kawaida yao.
Tumekuelewa Afisa Masoko wa Hewatel. Kudos kwako.
 
View attachment 3170731

Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza kibaba mwisho wamwezi umechoma 80k hadi kilo kwenye bando

Suluhisho ni huduma ya unlimited internet na hadi sasa Airtel ndie mwenye nafuu, Gharama za matumizi binafsi ya data zimepunguzwa sana Na nyumbani/ofisini hakuna tena ule usumbufu wa kuombwa hela za bando

Vodacom na tigo wana huduma za unlimited lakini ni ghali, Kujisali inabidi ununue router ya bei ya chini 250,000, vifurushi vyao vya chini kabisa ni 120,000

Airtel wana gharama nafuu, kwa 110,000 utapewa router iliyoungwa bando la mwezi mzima na miezi ijayo unaweza kuchagua kifurushi cha elf 70, 110k, 150k, n.k. kulingana na speed (hulipii tena gb unalipia speed)

Vodacom na Tigo wakiendelea kukomaa na bei zao za 120k watakuja kustuka soko lishamezwa

Halotel wapo kimya, itapendeza waje na bei za kizalendo kama ilivyo kawaida yao.
Voda+YAS aka Tigo wanaendwa as group inayofanya kazi nchi nyingi,Airtel ni mhindi plus government,ndio tofauti kubwa ilipo,bei anapanga yupo SA huku hajui mfumko wa bei ilivyo lazima wawe tofauti wakuu
 
Then it's not unlimited
Inaitwa Fair Usage Policy , ni sera inayotumika na watoa huduma wa internet. Inalenga kuzuia matumizi ya data yaliyopitiliza ili kuhakikisha kila mtumiaji anapata kasi nzuri ya mtandao na kuwabana watu wanaoununua internet kwajili ya kuuzia / kusambazia watu wengi.
 
View attachment 3170731

Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza kibaba mwisho wamwezi umechoma 80k hadi kilo kwenye bando

Suluhisho ni huduma ya unlimited internet na hadi sasa Airtel ndie mwenye nafuu, Gharama za matumizi binafsi ya data zimepunguzwa sana Na nyumbani/ofisini hakuna tena ule usumbufu wa kuombwa hela za bando

Vodacom na tigo wana huduma za unlimited lakini ni ghali, Kujisali inabidi ununue router ya bei ya chini 250,000, vifurushi vyao vya chini kabisa ni 120,000

Airtel wana gharama nafuu, kwa 110,000 utapewa router iliyoungwa bando la mwezi mzima na miezi ijayo unaweza kuchagua kifurushi cha elf 70, 110k, 150k, n.k. kulingana na speed (hulipii tena gb unalipia speed)

Vodacom na Tigo wakiendelea kukomaa na bei zao za 120k watakuja kustuka soko lishamezwa

Halotel wapo kimya, itapendeza waje na bei za kizalendo kama ilivyo kawaida yao.
Ukisikia Singeri ya Miso Misondo na Rayvan kuwa uchawi upo hapo ni kweli wewe ni mchawi,kwahiyo katika household unataka watu waongeze bill mpya ya Tsh 110,000 ya so called unlimited,mitandao ambayo hata mwehu anajua haiko stable,wewe ni kimeo,nenda get la Ikulu ukaombe lunch.
 
Hata hapo bado ni wizi tu hayo makampuni yanafyonza sana watu .
Na mtandao hauko stable,nadhani wanatuona mazombi kama Hawa wanaojiita wenyeviti wa bibi wa magogoni,hakuna la maana ni vibe za utapeli katika mifuko ya watanzania.Jamano swala la bundle distribution ni Tanesco ya tatu sababu mambo sio kabisa.
 
wazungu net watoa wapi maana hapa january to december speed ni 500mb per second kila kitu ndani kinakula hapo hadi tv , simu hata hata zikiwa 10 , security cameras, makorokoro kibao na sipati hiccup throughout the year kwa equivalent ya laki moja tu kwa mwezi. mpaka siku serikali itakapoweka mguu chini huduma hii itabaki kuwa luxury Africa.
 
View attachment 3170731

Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza kibaba mwisho wamwezi umechoma 80k hadi kilo kwenye bando

Suluhisho ni huduma ya unlimited internet na hadi sasa Airtel ndie mwenye nafuu, Gharama za matumizi binafsi ya data zimepunguzwa sana Na nyumbani/ofisini hakuna tena ule usumbufu wa kuombwa hela za bando

Vodacom na tigo wana huduma za unlimited lakini ni ghali, Kujisali inabidi ununue router ya bei ya chini 250,000, vifurushi vyao vya chini kabisa ni 120,000

Airtel wana gharama nafuu, kwa 110,000 utapewa router iliyoungwa bando la mwezi mzima na miezi ijayo unaweza kuchagua kifurushi cha elf 70, 110k, 150k, n.k. kulingana na speed (hulipii tena gb unalipia speed)

Vodacom na Tigo wakiendelea kukomaa na bei zao za 120k watakuja kustuka soko lishamezwa

Halotel wapo kimya, itapendeza waje na bei za kizalendo kama ilivyo kawaida yao.
Ttcl ume waacha wap?
 
Mbs 25,are you mad,kwahiyo unafunga na kuomba kwa mb 25
Uliza uelekezwe kk, hizo siyo mb 25, hiyo ni speed ya 25Mbps.

Ili kupata MB za kawaida wanazojua watu wengi including you, zidisha kwa 0.125, utapata 3.123Mb/Sec ambayo hii ni downloading speed.

Downloading speed ya 3Mb/Sec ni kubwa sana na inatosha kwa matumizi ya Mtanzania.
 
Back
Top Bottom