Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Jerry Slaa kashawaruhusu waje so anytime from now wanatia nangaTatizo Hadi ifike hapa nyumbani itakuwa miaka zaidi ya kumi imepita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jerry Slaa kashawaruhusu waje so anytime from now wanatia nangaTatizo Hadi ifike hapa nyumbani itakuwa miaka zaidi ya kumi imepita.
Unlimited ya elfu 10 sidhani kama itatokea. Mi naona walau tukipata ya elfu 20 kwa mwezi itakuwa nafuu sana kwa watu wengiWakileta kifaa ambacho bei ni chini ya 50000
Na unlimited yao ikianzia 10,000 watapiga hela mno
Ushaitumia hio fibre au unaongea tu?fiber ya tigo tamu sana 55000, mbs 25 unlimited
Fibre walitakiwa waunganishe na line yako ya simu ya mtandao husika ili uwe una access ya kutumia internet yako hata ukiwa nje ya eneo la nyumbani. That would do the trick kama kwa vifurushi vya dstv na azam.Tatizo la fibre ni mpaka uwepo eneo ilipofungwa huwezi kutembea nayo, ipo maeneo machache na umeme ukikatika router inazima.
Naitunia tangu mwez wa nane. Walianza 10mbs 70000, now wameshusha.Ushaitumia hio fibre au unaongea tu?
Kwani wewe unapata speed ya ngap siku zote tuanzie hapo.Mbs 25,are you mad,kwahiyo unafunga na kuomba kwa mb 25
Hiki kinafaa uwe na mkeo au mumeo tu, labda na house members kadhaa, tena wasiwe heavy users.10mbps kiko slow sana kama watumiaji ni wengi
Niko nabishana nao huku wanasema ati cheap is extra expensiveSuluhisho ni huduma ya unlimited internet na hadi sasa Airtel ndie mwenye nafuu, Gharama za matumizi binafsi ya data zimepunguzwa sana Na nyumbani/ofisini hakuna tena ule usumbufu wa kuombwa hela za bando
Vodacom na tigo wana huduma za unlimited lakini ni ghali, Kujisali inabidi ununue router ya bei ya chini 250,000, vifurushi vyao vya chini kabisa ni 120,000
Mimi nimeifunga home 20mbs na hainipi shida yoyote... Mostly inakuwa imeungwa pcs 2, simu 3 na tv moja. Ninastream full hd youtube bila shida, tv netflix fresh.Hiki kinafaa uwe na mkeo au mumeo tu, labda na house members kadhaa, tena wasiwe heavy users.
Kama mko 2 hakisumbui sana..
Mkuu, unlimited ya 10k? Labda speed iwe 5kbpsWakileta kifaa ambacho bei ni chini ya 50000
Na unlimited yao ikianzia 10,000 watapiga hela mno
Nasemea cha 10Mbps, hiko chako cha 20Mbps mbona ni kikubwa sana? Mnaweza tumia hata watu 10 bila shida yoyote..Mimi nimeifunga home 20mbs na hainipi shida yoyote... Mostly inakuwa imeungwa pcs 2, simu 3 na tv moja. Ninastream full hd youtube bila shida, tv netfkix fresh.
Calls za zoom na google meet ndioo mahala pake maana ina ping ndogo sana.
Mafile nadownload fresh tu maana kwa siku lazima nidowload files kama 10 ambapo kila file inakuwa na kaati ya 250-300 mbs na kisha kuta upload baada ya kuyafanyia editings.
Imepunguza matumizi yangu ya fedha za vocha kwa asilimia 80 kwa mwezi.
Tigo wao hawatoi tena 10mbs ni kuanzia 20mbsNasemea cha 10Mbps, hiko chako cha 20Mbps mbona ni kikubwa sana? Mnaweza tumia hata watu 10 bila shida yoyote..
Hizo fiber kwa sisi wa nyumba za kupanga bado haziko feasible kwetu, leo tupo kesho hatupo.Tigo wao hawatoi tena 10mbs ni kuanzia 20mbs
Wanafunga mkuu maana hulipii devices. Wanakufungia bure hata mkitaka mfunge ya kifurushi kikubwa mshare kwa kuchangia wanafunga.Hizo fiber kwa sisi wa nyumba za kupanga bado haziko feasible kwetu, leo tupo kesho hatupo.
Siku wakianza kuwezesha na line zao ziwe na access na hizo unlimited watatukamata wengi sana..
Wanafunga mkuu maana hulipii devices. Wanakufungia bure hata mkitaka mfunge ya kifurushi kikubwa mshare kwa kuchangia wanafunga.
Hata mimi ninapanga waliniambia niongee na majirani tuungane but sikufanya hvyo nikafunga mwenyewe
unlimited ilitakiwa kuwa sh 20000tu kwa mwezi si zaidiya hapo.Hata hapo bado ni wizi tu hayo makampuni yanafyonza sana watu .
Kwa umeme yes, hapo ni shida ukikata na yenyewe imekata.Fibre ipo mitaa sehemu chache hasa mjini, huwezi kutembea nayo ukienda kwenye shughuli zako, ukihamia eneo lisilo na fibre uanze kununua mabando, Fibre umeme ukikatika kifaa kinazima
Kwa hizo za internet pekee 10,000 unapewa GB ngapi mkuuKwa wenye matumizi ya wastani na wasio na vifaa vingi naona haalotel pia wanawatendea haki. Kuna zile laini za internet pekee, ziko poa sana...