Kenya wanaifaida kuna bundle 50gb kwa kes 1600, kuna 6500 hadi mbs 100 speed unlimited. Lakini kwa mtanzania bado atalalamika maaba 6500 ni almost 130000 za kitanzania na hapo wao wanaona ni cheaper kuliko safaricom na ndio maana safaricom wanahaha.Hivi Star Link ya Elon Musk imeishia wapi?
Starlink ikoje mkuuSubiri Starlink anakuja, wataita maji mma wawaulize safaricom Kenya yanayowakuta!!
Fibre ni nzuri ukiwa unajiweza, Kuunga bando la jero kila siku na baadhi ya siku inaweza kufikia buku, kwa mwezi waweza tumia 20,000 ukijumlisha na fibre ni 75,000.Kwa umeme yes, hapo ni shida ukikata na yenyewe imekata.
Kwa kutembea nayo yes, pia.
Ila mimi nikitoka home najiunga bundle la mbs 500 kwa simu kwa ajili ya kunikeep online whatsapp na emails\. Fiber imenisaidia kupunguza gharama za vocha kwa asilimia 80.
Mimi naipendea hasa ping yake kuwa ndogo maana nafanya sana zoom na google meet calls, halafu internet yake iko stable haipandi na kushuka hovyo.
View attachment 3171019
Star link ije hukuKUna vitu muwe mnashirikisha akili.
Hivi ni Watanzania wangapi wanaweza kuafford hizo huduma?
Buku buku ndio uwezo wa Watanzania 99.9%
Mimi nahisi hata ningekuwa na router bado nisingetembea nayo kabisa maana kuibeba kwangu ingekuwa kikwazo.Fibre ni nzuri ukiwa unajiweza, Kuunga bando la jero kila siku na baadhi ya siku inaweza kufikia buku, kwa mwezi waweza tumia 20,000 ukijumlisha na fibre ni 75,000.
Kihasibu kwa wabana matumizi ni heri ulipie 4g / 5g router
- ukihamia sehemu isiyo na fibre haikuathiri
- unaweza kutembea nayo kwenda nayo ofisini, ukisafiri, n.k.
- umeme ukikatika kuna power bank inakaa masaa 8
- haiathiriki kwa nguzo za fibre kudondoka au nyaya kukatwa
Kama shughuli nyingi unafanyia home fibre iko poa na haina mpinzani, labda uongezee power bank.Mimi nahisi hata ningekuwa na router bado nisingetembea nayo kabisa maana kuibeba kwangu ingekuwa kikwazo.
Halafu mimi fiber imenifaa zaidi kwa sababu shughuli zangu nazifanyia home so nikitoka hapo nimeenda kusocialize au kuna kitu nafuatilia nje ya kazi tu.
fiber pia kumbuka haithiriwi na hali ya hewa. nishaona watu wanasema sijui mvua internet speed za airtel zimeshuka, mimi kwa fiber siexperience jambo hilo.
And by the way watu naodeal nao walihitaji niwe na fiber sio wireless internet maana wanasema fiber ni reliable. Ila soon ntahama hii sehemu naenda sehemu hakuna fiber so ntarudi kwenye airtel tu sina namna.
Nadhani wataendela kuisambaza taratibu mkuu maana nashangaa hawajaipeleka wazo ila wakaileta hadi huku bunjuKama shughuli nyingi unafanyia home fibre iko poa na haina mpinzani, labda uongezee power bank.
Tatizo ipo maeneo ya ushuani na town, Nchi kama India wameendelea sana ipo mpaka uswazi na kwa bei nafuu zaidi
Kitu cha kwanza ni kuhakikisha eneo lako lina network lasivyo utachoma pesaTatizo la Airtel sawa utanunua router na bando ila intaneti ukaitafute mwenyewe, wao hawahusiki
Hicho kizungu cha unlimited ndio sikielewi wana maana gani hapo...?Wawezeshe unlimited na kwenye hizi simcard zetu, sio lazima hadi tununue router!.
Kuwe na unlimited za siku, wiki na hadi mwezi.
Kitu hakifanyiki ili wapate wote, vitu vipo kwa wenye uwezoKUna vitu muwe mnashirikisha akili.
Hivi ni Watanzania wangapi wanaweza kuafford hizo huduma?
Buku buku ndio uwezo wa Watanzania 99.9%
Ya halotel kwa mwez ni bei gani?Halotel nao wanatembea kwa speed kwenye huduma ya fibre.
Hao wa buku buku na nduo wachangiaji wakubwa kwa sababu wako wengiKitu hakifanyiki ili wapate wote, vitu vipo kwa wenye uwezo
Kuwa unalipia data lkn huwekewi kiwango, mfaano 1gb au 5gb. Sana sana huwa unawekewa limit kwenye speed fulani na kwa wakati fulani lkn utatumia utakavyo bila hofu ya data kukata kabla ya muda uliopewa.Hicho kizungu cha unlimited ndio sikielewi wana maana gani hapo...?
Unlimited ni mkombozi kweli kweli. Nawaza hii ni device moja, ingekuwa kutumia bundle ningekuwa nimetumia kaisi gani?Tatizo la Airtel sawa utanunua router na bando ila intaneti ukaitafute mwenyewe, wao hawahusiki
Manzanita mwenye uwezo huo anaingiza kiasi gani Kwa siku?Nimezungumzia Watanzania kwa ujumla wengi wao wezo wao ulipo hapo
Wana shida gani mkuu maana soon nitahamia huko.Asije mtu akajichanganya na huo uchafu, Airtel ni wahuni!
Mi kidude chao saizi kimebaki makumbusho tuAsije mtu akajichanganya na huo uchafu, Airtel ni wahuni!