Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Yatafurahisha zaidi kama Rayvan atapewa adhabu kali ili iwe fundisho kwa hawa wasanii uchwara wenzie wanaodhalilisha watu.
Mkuu kwani shitaka lishafunguliwa? Watu mnashauku utadhan tayari kesi imeshafunguliwa😆😆😆😆, saizi navokwambia rayvanny na majani wameyamaliza kibababaaa, na wanatoa song kesho na paula atakuwa queen video 🤣🤣🤣🤣
 
Harmo mshamba tu nani asiejua lengo lake ilikua aje kula kuku na mayai yake....kimemuuma sana kugongewa
Inauma Sana Mzee unapojarbu kujisogeza Kwa Mama ili mtoto akuelewe af kmmke mtoto anamuita mwamba mwingine ooh my Dady I love you, huku mwamba kampakata mtoto mzuri , daaah ukiwaza ashakuchomolea kukupokea simu mara kibao , ..... Istoshe harmo Sura mikunjo Ming ndo mana anaishia kwenye magrunet yaliyolegea af Vannyboy HB na kpenz cha warembo ..... Acha a feel test of beautiful pussy 😋😋😀

Wengi wanamuonea wivu mtu mbaya ,
 
Halafu kwenye zile video..moja alieyekua anarekodi ni Paula mwenyewe huku akiwa anachekelea ....huyu Mmakonde atadhalilika vibaya hatoamini na uzuri WCB japokua hawajasoma ila wana menejiment watu wa mjini na connection kibao sasa muache alete mzaha.
 
kwani jamii ndiyo inatoa hukumu au mahakama mkuu?
 
Chuiiiiii 🐆🐆🐆🐆🐆
 
Wananchi wakonao Instagram sio kizimbani Boy.

muda utasema
 
Hahahaaa, mkuu tule tugilasi twa alkasusu tumepasuka twotee mkuu kamebakia kakupimia tu, sasa cjui nikuwekee kwenye jagi mkuu kama hutojali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpe na Connection ya kajala, akimaliza jaki mbili tatu za alkasusuuuu.. akapozeee mtambo huko
 
wewe kwenye zile video unaona Kuna dalili yoyote ya mtu kulewa pale, unafatilia instagram ya Paula ww? Hakika angefanyiwa bila ridhaa yake tusingeona akiimba na kusnap nyimbo za rayvany kila uchwao. Tuwe serious jaman. Hao ni wapenzi tena wa muda mrefu tu.
 
Harmonize hakuna mtoto mkali atamkubali kajaa ushamba mwingi acha ale hao size yake.. Yaani mi mwenyewe namshinda aisee nakula pisi kali hadi naziangaliaga tu
 
Mkuu una mtoto wa kike? kwahiyo unashabikia udhalilishaji kwa watoto wa kike? Je umejiuliza kama ameishalimaliza hilo jambo na Jamhuri? Mkuu alichofanya huyo Rayvan ni kosa la jinai maana yake Jamhuri ndiyo itadili nae na siyo huyo P.Funk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…