ww nahisi hata vyombo vya habari hufatilii juzi tu wasafi wametoka kupunguziwa adhabu na tarehe 28 mwezi huu wanarudi hewaniWasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Na hiyo video ndo imemchanganya harmo anakula kajala kwa kuvushia picha ya paula...akiamini paula is next.Mbona Kajala ndio mdhalilishaji zaidi.. hukuona ile video wana twerk na mtoto wake ?
Maisha ndio haya haya mkuu.. ongeza kombe la kahawa, na mie niweke na ka mchanganyiko ka alkasusu 😀😀😀U made my day😆😆😆,
Mkuu sina mtoto yeyote hapa nipo kunogesha kilinge tu🦧, 😁Mkuu una mtoto wa kike? kwahiyo unashabikia udhalilishaji kwa watoto wa kike? Je umejiuliza kama ameishalimaliza hilo jambo na Jamhuri? Mkuu alichofanya huyo Rayvan ni kosa la jinai maana yake Jamhuri ndiyo itadili nae na siyo huyo P.Funk.
Harmonize anajimaliza kisanaa na anajimaliza kiuchumi, bata lake na kuvimba kwakwe haviendani kabisa na uwekezaji wake.. mda utaongeaaNa hiyo video ndo imemchanganya harmo anakula kajala kwa kuvushia picha ya paula...akiamini paula is next.
Huyo Paula kadhalilishwaje?Mkuu una mtoto wa kike? kwahiyo unashabikia udhalilishaji kwa watoto wa kike? Je umejiuliza kama ameishalimaliza hilo jambo na Jamhuri? Mkuu alichofanya huyo Rayvan ni kosa la jinai maana yake Jamhuri ndiyo itadili nae na siyo huyo P.Funk.
Alafu watu wamekomaaa kishenzi udhalilishaji, ivi wanajua udhalilishaji hawa, au wanapayuka payuka kama popo wajawazito 😀😀Mkuu sina mtoto yeyote hapa nipo kunogesha kilinge tu🦧, 😁
Kadhalilishwa vipiMkuu una mtoto wa kike? kwahiyo unashabikia udhalilishaji kwa watoto wa kike? Je umejiuliza kama ameishalimaliza hilo jambo na Jamhuri? Mkuu alichofanya huyo Rayvan ni kosa la jinai maana yake Jamhuri ndiyo itadili nae na siyo huyo P.Funk.
Ebu mchek paula humo ndani apashe kidg kahawa mana naona imepoa kidg mkuu😆😆😆 au nikupe hivohivo uligegede kama maji🤣🤣🤣Maisha ndio haya haya mkuu.. ongeza kombe la kahawa, na mie niweke na ka mchanganyiko ka alkasusu 😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila Pfunk yupo kwenye wakati mgum sana...huku mzazi mwenza anafumuliwa kule mtoto anaikatikia
Nipo hivyo hivyo, labaridi linachanganya faster zaidi 😀😀😀Ebu mchek paula humo ndani apashe kidg kahawa mana naona imepoa kidg mkuu😆😆😆 au nikupe hivohivo uligegede kama maji🤣🤣🤣
Watu wanabadilishana vikojoleo vzr tu alafu wengine wanaumia🤣🤣🤣🤣 najua kinachowauma watu n vanny boy kumpelekea moto paula, mana lile toto zuri sanaaaa, mpk kuna jamaa jana alisema kuna watu wanakojolea pazuri🤣🤣🤣🤣Alafu watu wamekomaaa kishenzi udhalilishaji, ivi wanajua udhalilishaji hawa, au wanapayuka payuka kama popo wajawazito 😀😀
Kadhalilishwa vipi
Na kilicho haribu zaidi Ni Kajala kumtuhumu uongo Mobetto.. aisee Kwa brand ya Mobeto na popularity yake hyo issue iki-back fire Mmakonde atajilaumu kukurupuka , ....kingine Paula ana nafas kubwa kwenye hili na kibaya Roho ya Paula ipo imetumzwa kwenye mtimanyongo wa Rayvanyy mtu mbadi , a.k.a chuiiiii.... Leo ni vanny boy yupo na mtoto wa P-Funk Aiiiiiii 😀😀😀... Battle bado ipo in favour of WCB wasafiiiiiiiiHalafu kwenye zile video..moja alieyekua anarekodi ni Paula mwenyewe huku akiwa anachekelea ....huyu Mmakonde atadhalilika vibaya hatoamini na uzuri WCB japokua hawajasoma ila wana menejiment watu wa mjini na connection kibao sasa muache alete mzaha.
Ni wivu tu unawasumbua 😀😀😀Watu wanabadilishana vikojoleo vzr tu alafu wengine wanaumia🤣🤣🤣🤣 najua kinachowauma watu n vanny boy kumpelekea moto paula, mana lile toto zuri sanaaaa, mpk kuna jamaa jana alisema kuna watu wanakojolea pazuri🤣🤣🤣🤣
Nipo hivyo hivyo, labaridi linachanganya faster zaidi 😀😀😀
Kasemaje wengine hatuna bandoHaya hamisa huko kashaanza mambo
Hii ngoma kajala hatoamini