Hata uwe na gari kumi nakushauri usigeuze gari danguroMoja ya vitu ambavyo naogopa kufanya ni hicho.. Labda kama hilo gari halitopakia wazazi wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yana Kupakia wazazi kwenye gari ninalogegedea bado utakuwa mtihani.. Pengine itokee ninayo mawili labda moja ndo liwe la kupigia matukio
*Bado sijafanikiwa kumiliki gari lakini*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Nilivyomtukutu sijui kama nitaweza Mungu anisaidie kwakweli.. lakini na utukutu wangu sio kwa gari watakalo tumia wazazi wangu.Hata uwe na gari kumi nakushauri usigeuze gari danguro
Kwanini unaongelea wazazi na sio familia yako?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Nilivyomtukutu sijui kama nitaweza Mungu anisaidie kwakweli.. lakini na utukutu wangu sio kwa gari watakalo tumia wazazi wangu.
Unawachaji bei gani mzee baba!?
Hii biashara ya kupewa mafuta na wafanyakazi wenzio utakuwa utumwa.
Mtu alikupa mia yake naye anajifanya mmiliki mwenzio
Hata uwe na gari kumi nakushauri usigeuze gari danguro
Moja ya vitu ambavyo naogopa kufanya ni hicho.. Labda kama hilo gari halitopakia wazazi wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Aisee mimi sitoagi lift hata nikukute miguu yako imechomoka nakupita tu kama mwendokasi zinavtopita Kwenye baadhi ya vituo bila kusimama
Hapo shwari sema distance ikiwa mbali sana ni kero na wala husave chochote.Depends na eneo kaka ila range ni 2k to 3k kwa mtu hili kwa eneo la station kwenda mbagala au temeke au kutoka pale ubungo external kuja temeke.Bei nzuri ipo njia ya mbezi mwisho,maeneo ya kawe na tegeta bunju kule ukiwa pale puma ukasema 3k kwa mtu unajaza faster wale jamaa mateja unawapa buku au Mia tano pia unachagua watu wa kupakia si unajua tena sio mtu anapanda na ndoo za samaki
Ni kweli aise, mtu aliyepewa lift akianza kuongeaongea gari inakunywa sana mafuta,wakaage tu kimyaBinafsi huwa natoa lift kwa majirani na watu ninaowafahamu nikiwakuta town au sehemu nyingine ninayoweza kuwachukua nashukuru kuwa wananielewa kuwa sio mtu wa story nyingi so wengi wakipanda ni salamu na maneno machache
mwambie tuLakini matatizo ya kiufundi unayajuwa wewe.
Kwamba nifanye mbwembwe kwenye gari la mtuπ€£π€£π€£!!! Amnaga hio, natulia kama namuendesha Raisi!
Sema magari yenye alarm ndio ya kisenge. Kuna jamaa alishaaibika zile gari zenye beeps. Kila ikisogea metre kadhaa ina beep mwisho inajizima engine πππ!
Hakupewa maelekezo ya Alarm ngoma ikajamba kwenye foleni hahahah. Alitamani ardhi ipasuke ikabidi ampigie mwenye gari aje amtolee gari jamaa aliaibika sana demu akamtosea mazima.
Kuna gari zilikuwaga na security alarm zinalia "beep" ukishaanza kutembea nalo linalia tena "beep" kuna ka switch unakabonyeza chini ya uskani linaacha ukiendelea likagonga mara kadhaa linazima na kulock engine inakuwa haipokei. Au za sikuhizi unabonya remote yake linatulia.gari gan izo mkuu na ako katabia sijakaelewa kwambaa!π
Hapo shwari sema distance ikiwa mbali sana ni kero na wala husave chochote.
Yeah ni muhimuYep na unakuwa umejibebesha mzigo usio wa lazima lakini pia ni vizuri kujua njia za mchepuko ili kurahisisha Safari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakupinga mzee. Wengi ni roho mbaya tu. Believe me!
Mtoto wa primary darasa la tatu umpakize abadilike kuwa jini??? Waafrika Waafrika
We roho pepo una maneno sana[emoji28]Ni kweli aise, mtu aliyepewa lift akianza kuongeaongea gari inakunywa sana mafuta,wakaage tu kimya
Mtu anaongea mwanzo wa safari mpaka mwisho mdomo tu unachezacheza utafikiri panya buku linatafuna mahindiWe roho pepo una maneno sana[emoji28]
Nina Workmate Wangu Huyo, Jamani! Jamani! na ana Familia Kabisa, Atakae Kuja Kuuziwa Ile Gari Namuhurumia Kwa KweliMapenzi kwenye gari yako ni mikosi mitupu, I strongly hate this! Hata mume wangu haruhusiwi , sembuse mtu baki.Japo watu wanasema huko japan aliyekuwa analimiliki umejuaje alikuwa habutui k kwenye gari? But it doesn't make sense as long as limeshatua mikononi mwako