Ajali hii imetupa kujua, wananchi si kipaombele cha viongozi wao!

Ajali hii imetupa kujua, wananchi si kipaombele cha viongozi wao!

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Ndiyo maana mambo yanajiendea tu ili mradi liende!

Wanachokiamua huko hata kama wanajua kina maumivu makali kwa wananchi, wao wanapitisha tu!

Ajali zinatokea, wao ndiyo kwanza wanakuja na viti wakae kuona watu wanavyohangaika pindi ajali ikitokea!

Tukio hili Watanzania kote waliko tumekuwa kitu kimoja kulaani hujuma za viongozi kutelekeza wahanga wa ajali

Chopa iliyombeba Mh Nape kuzungukia vibao alama, haikufanya hivyo kuokoa roho za watu Jana!

Chopa iliyombeba mh January Makamba kuzungukia mto Ruvu kuangalia maji yanakotokea, haikufanya hivyo kuokoa roho za wahanga wa ajali ya ndege Jana!

Tuhitimishe kusema, wananchi Kwa wananchi, viongozi nao wajuane wao Kwa wao!
 
Ndiyo maana mambo yanajiendea tu ili mradi liende!

Wanachokiamua huko hata kama wanajua kina maumivu makali kwa wananchi, wao wanapitisha tu!

Ajali zinatokea, wao ndiyo kwanza wanakuja na viti wakae kuona watu wanavyohangaika pindi ajali ikitokea!

Tukio hili Watanzania kote waliko tumekuwa kitu kimoja kulaani hujuma za viongozi kutelekeza wahanga wa ajali

Chopa iliyombeba Mh Nape kuzungukia vibao alama, haikufanya hivyo kuokoa roho za watu Jana!

Chopa iliyombeba mh January Makamba kuzungukia mto Ruvu kuangalia maji yanakotokea, haikufanya hivyo kuokoa roho za wahanga wa ajali ya ndege Jana!

Tuhitimishe kusema, wananchi Kwa wananchi, viongozi nao wajuane wao Kwa wao!
Mbona iliyompeleka Majaliwa Husemi.Au Na wewe Ni Wale Wale Wanaoangalia Vidagaa Tu.
 
Ndiyo maana mambo yanajiendea tu ili mradi liende!

Wanachokiamua huko hata kama wanajua kina maumivu makali kwa wananchi, wao wanapitisha tu!

Ajali zinatokea, wao ndiyo kwanza wanakuja na viti wakae kuona watu wanavyohangaika pindi ajali ikitokea!

Tukio hili Watanzania kote waliko tumekuwa kitu kimoja kulaani hujuma za viongozi kutelekeza wahanga wa ajali

Chopa iliyombeba Mh Nape kuzungukia vibao alama, haikufanya hivyo kuokoa roho za watu Jana!

Chopa iliyombeba mh January Makamba kuzungukia mto Ruvu kuangalia maji yanakotokea, haikufanya hivyo kuokoa roho za wahanga wa ajali ya ndege Jana!

Tuhitimishe kusema, wananchi Kwa wananchi, viongozi nao wajuane wao Kwa wao!
Tuombe mwisho mwema
 
Ndiyo maana mambo yanajiendea tu ili mradi liende!

Wanachokiamua huko hata kama wanajua kina maumivu makali kwa wananchi, wao wanapitisha tu!

Ajali zinatokea, wao ndiyo kwanza wanakuja na viti wakae kuona watu wanavyohangaika pindi ajali ikitokea!

Tukio hili Watanzania kote waliko tumekuwa kitu kimoja kulaani hujuma za viongozi kutelekeza wahanga wa ajali

Chopa iliyombeba Mh Nape kuzungukia vibao alama, haikufanya hivyo kuokoa roho za watu Jana!

Chopa iliyombeba mh January Makamba kuzungukia mto Ruvu kuangalia maji yanakotokea, haikufanya hivyo kuokoa roho za wahanga wa ajali ya ndege Jana!

Tuhitimishe kusema, wananchi Kwa wananchi, viongozi nao wajuane wao Kwa wao!
Ccm mbwa nyie
 
Unadhani chopa ingefanya nini pale?
Kwani Ile mitumbwi ilitanya nini?
Kwa akili yako huwezi kuona kwamba kungekua na chopa ingeweza kuwawahisha waadhirika hosp. Au Inge hover pale mlangoni si muokoaji angeweza kujifunga kamba na ku chupa ndani ya ndege na kuokoa watu. Au na wewe ulizunguuka nchi na chopa ya Nape?
 
Acha upumbavu, wewe hujaona helicopters zinavyookoa watu kwenye majanga?,Botswana wana mpaka Chopa za kukimbizia majeruhi wa kwenye ajali za magari, yaani ambulance (helicopter)inatua barabarani kuokoa majeruhi, uzuzu nchi hii ndio turufu ya watawala
Kweli aisee ,nami nilijionea 'helipads ' zimejengwa at certain distance intervals, kwenye median za dual carriageways kwa ajili ya emergency evacuations kutokana na ajali za barabarani kule Botswana na SA.....kwa kweli jamaa kule wanajitahidi kwenye masuala nyeti kama hayo kuhusu majanga........ kazi iendelee.
 
Kwani Ile mitumbwi ilitanya nini?
Kwa akili yako huwezi kuona kwamba kungekua na chopa ingeweza kuwawahisha waadhirika hosp. Au Inge hover pale mlangoni si muokoaji angeweza kujifunga kamba na ku chupa ndani ya ndege na kuokoa watu. Au na wewe ulizunguuka nchi na chopa ya Nape?
Umeambiwa kulikuwa na hali mbaya sana ya hewa, hivyo kuruka angani ilikuwa ni risk. Pia kwa wanaofahamu Bukoba, kutoka airport hadi hospitali huitaji ndege, maana ni dk tatu hadi tano kwa gari. Tatizo mnaongea msiyoyajua, kila mtu anajifanya anajua! Hii nchi ngumu sana
 
Acha upumbavu, wewe hujaona helicopters zinavyookoa watu kwenye majanga?,Botswana wana mpaka Chopa za kukimbizia majeruhi wa kwenye ajali za magari, yaani ambulance (helicopter)inatua barabarani kuokoa majeruhi, uzuzu nchi hii ndio turufu ya watawala
Umeambiwa moja ya sababu ya ndege kuanguka ni hali mbaya ya hewa. Sasa kama kuna hali mbaya ya hewa ni vipi ungepeleka chopa hapo? Jielimishe, haihitaji akili nyingi kuelewa vitu vidogo kama hivi
 
Umeambiwa moja ya sababu ya ndege kuanguka ni hali mbaya ya hewa. Sasa kama kuna hali mbaya ya hewa ni vipi ungepeleka chopa hapo? Jielimishe, haihitaji akili nyingi kuelewa vitu vidogo kama hivi
Upumbavu at its best, uchunguzi wa ajali hii umefanyika lini?,acha kuwa kama kasuku kufuatilia kauli za wanasiasa uchwara ,subiria uchunguzi rasmi
 
Kweli aisee ,nami nilijionea 'helipads ' zimejengwa at certain distance intervals, kwenye median za dual carriageways kwa ajili ya emergency evacuations kutokana na ajali za barabarani kule Botswana na SA.....kwa kweli jamaa kule wanajitahidi kwenye masuala nyeti kama hayo kuhusu majanga........ kazi iendelee.
Yes kati ya Nata na Kasane kuna airstrips nyingi kwenye ile A3 yao
 
Back
Top Bottom