Ajali iliyohusisha Magari Nane, maelezo ya Polisi yanatia shaka

Ukute Howo alimaliza kuovateki na kurudi upande wake wa kushoto lakini kutokana na mwendo kasi wa Ashok ya nyuma akashindwa kufunga break akaamua kutanua kulia ili asimgonge Ashok mwenzake ndio akakutana na Howo. Just thinking [emoji848].
Doesn't click, angalia mistari. Polisi ali-overtake sehemu isiyoruhusiwa, na alikua amamu-overtake PT mwenzie
 
Amazing analysis...
 
You nailed it, walijifanya ni akina Sauli na Imani
 
Kweli polisi kumejaa vilaza sasa hapa aliye kwenye site yake si Hilo HOWO wajameni,gari ya polisi ndio ilikuwa ina overtake!!lakini Hawa mbwa watamlazimisha huyo dereva wa lory akubali kosa.
Ni Askari sio Mbwa....au kuna mbwa hapo hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…