Ajali iliyohusisha Magari Nane, maelezo ya Polisi yanatia shaka

Ukute Howo alimaliza kuovateki na kurudi upande wake wa kushoto lakini kutokana na mwendo kasi wa Ashok ya nyuma akashindwa kufunga break akaamua kutanua kulia ili asimgonge Ashok mwenzake ndio akakutana na Howo. Just thinking [emoji848].
Umefikiri vizuri lakni mbona picha inaonyesha tela la howo lipo straight kwenye line yake.!!
 
Nakubaliana nawe picha hufanya mirror but hizo namba za gari na maandishi ya laber ya gari vingesomeka kinyume cha maumbile kama hivi inavyoonekana.



So usitake kubadilisha mambo mkuu.
Picha ni halisi na makosa ni ya polisi hacha bla bla
 
Yan picha igeuzwe ala neno "polisi" na platnumber zisomeke kutokea bila kugeuka? Alaf ebu angalia hilo tela uoni kuwa lipo straight inamaana jamaa wa roli alikuwa upande wake?
 
Nahisi nimezeeka, huo mtiririko wa maelezo nimetoka kapa yaani sijaelewa kabisa nimeona kama kulikua na gari lilikua kwenye ajali halafu likaja tena kwenye ajali.
hahahaha likaenda kuanza upya
 
Kwanza walikuwa kwenye mwendo kasi maana magari yaligongana mengi sana pia inaonyesha barabara hairuhusu kumpita mwingine. Mawazo yangu dereva wa mbele alikosea ishara badala ya kumzuia aliyeko nyuma yeye akaonyesha kumruhusu aliyekonyuma kumpita, haiingii akilini kwa mwendo waliokuwa nao na uono hafifu wa barabara dereva wa nyuma kumpita mwenzie bila ya kupewa ishara ya kumpita.
 
Police walikuwa wanashindana hapo huko walikokuwa wanaendaa lori hana makosa hapo hata kidogo
Tatitizo letu wabongo, kila mtu anajifanya ni mchambuzi wa kila kitu, siasa, sheria, uandishi wa habari n.k hebu waacheni majeruhi watibiwe wapone tuache ujuaji.
 
Mmmmmmmmmmh
 
Ukiangalia hapo utaona dereva wa roli alikuwa anapanda na hizo bus zilikuwa zinashuka kwa kasi, hasa hilo bus lililogonga roli, ajali hii ilikuwa inawezekana kuepukika lakini mwendo kasi wa bus la pili la polisi ndio uliosababisha yoote hayo, namsigu dereva wa roli kwa hatua za haraka alizochukua ili kujiokoa na hiyo zahama...ingekuwa trela ya skeleton hapo mzingi ungekuwa mwingine kabisa
 
Hapa natafakari hilo lorry lingekua ni mali ya jeshi sijui wangetunga uongo gani?
Maskini Kristo anabebeshwa msalaba na kwenda kusulubiwa kwa kosa asilolitenda.
Mkuu ndio TZ iyo na polisi ndio hao hapo wanaogopa kuwajibishwa kwaiy lazma wambebeshe gunia la miba dereva wa Lori ila wanaweza wakamwachia baadae.
 
Tatitizo letu wabongo, kila mtu anajifanya ni mchambuzi wa kila kitu, siasa, sheria, uandishi wa habari n.k hebu waacheni majeruhi watibiwe wapone tuache ujuaji.
Nini kibaya hapo nimeongea ina maana kwa elimu ya msingi uliyosoma hata picha pia umeshindwa kuitafsiri??grow up dude...
 
Acha kujifanya MUCH-KNOW wewe.

Ulikuwepo wakati ajali inatokea.

Hizo ni picha za baada ya ajali kutokea, zisikufunge akili.
Kwahiyo RPC na huyo CPL na mchoraji walikuwepo wakati wa tukio au nao walitumia mazingira baada ya ajali kutoa maelezo waliyotoa? Jitahidini kuwa wakweli maisha yenu yatakuwa ya Amani na mapokeo mema kwa Mungu Baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…