Ajali katika soka zipo. Goli la Simba ni offside, ilaa mcheza kwao...

Ajali katika soka zipo. Goli la Simba ni offside, ilaa mcheza kwao...

Ila wabongo sisi huyo bingwa wa CAF champion's league kama inafuatwa haki basi anabaki na kombe moja tu waaarabu ndio wanaongoza kwa fitna yaani yanga mumepata kichaka cha kujificha.
 
Ukiangalia hapo beki alinyoosha mguu kuucheza mpira ama yeye hakumzuia golikipa kuucheza.?

Acheni wivu utopolo.
 
Ukiangalia hapo beki alinyoosha mguu kuucheza mpira ama yeye hakumzuia golikipa kuucheza.?

Acheni wivu utopolo.
Kwahiyo huyo beki ni opponent?
IMG_20220315_234134.jpg
 
Kwahiyo waamuzi huo hawakoseagi pamoja na kutoa maamuzi? Jf ni platform ya kuhabarishana na kuelimishana. Au kwako unadhani ni platform kama ya vijiwe vya kahawa? Na ndio maana wana slogan inayotumika kuwa home of great thinkers. Ni sehemu ya kujadiliana kwa hoja na kujibu kwa hoja. Asa wewe unakuja na ngonjera za kusema goli halali kisa limekubaliwa na refa kana kwamba marefa huwa hawakoseagi. Haya nimekupa sheria inavyosema na mifano unashindwa kujadili hiyo sheria unaruka ruka tu.
Sasa kama lile sio goli halali wewe matokeo yako kwenye ile mechi ni ngapi ngapi mkuu?
 
Oscar Oscar umepuyanga Mzee...mtazame beki aliyekuwa karibu na kagere alifanya nn ?ukiona ndio utajua utofauti wa kuwa uwanjani na kuwa mshabiki.
 
Jamaa unajua sana, kama Bado watabisha na hii basi utakuwa ushabiki maandazi
Mkuu hii sheria naifahamu lakini haihusiki chochote na goli la Sackho.
Ni vipi Kagere aliweza kublock view ya goalkeeper wakati mpigaji alikuwa upande tofauti, mpira ulipigwa upande tofauti na golikipa alikuwa upande tofauti na alipokuwepo Kagere?

Ni kweli Kagere aliruka ili kuukwepa mpira ambao alihisi ungemlenga lakini ule mpira haukupita pale alipokuwepo Kagere, sasa ni vipi tuuhusishe na kuruka kwa Kagere?j
 
Mkuu hii sheria naifahamu lakini haihusiki chochote na goli la Sackho.
Ni vipi Kagere aliweza kublock view ya goalkeeper wakati mpigaji alikuwa upande tofauti, mpira ulipigwa upande tofauti na golikipa alikuwa upande tofauti na alipokuwepo Kagere?

Ni kweli Kagere aliruka ili kuukwepa mpira ambao alihisi ungemlenga lakini ule mpira haukupita pale alipokuwepo Kagere, sasa ni vipi tuuhusishe na kuruka kwa Kagere?
.
Screenshot_20220316-170842~2.jpg
 
Kwahiyo huyo beki ni opponent?View attachment 2152273
Kaka hii Sheria inajulikana lkn kwa goli la pape hii Sheria haihukumu angalia mpira umekwenda kulia kea mfungaji wakati kipa na meddie walikuwa kushoto, Sheria hiyo inafanya kazi pale mpira unakuwa strait kwa kipa then akawa blocked view na mpinzani.
 
Kwa sheria za offside, ni kwamba mchezaji akiwa katika eneo la kuotea hapaswi kuuingilia mchezo. Ukiangalia ile mechi, kwanza wakati Sakho anaupiga mpira ule Kagere alikuwa katika eneo la kuotea pili ulivyopigwa mpira ule akauruka.

Hivyo kitendo cha kuuruka ule ni mpira ni kuingilia mchezo.

Mwanamaji
Kama kuruka/kukwepa ni kuingilia mchezo labda alipaswa afanyeje?
 
Hapana.
Hapo mchambuzi amekosea, ametulisha sumu. Mfungaji (Sakho) alipiga mpira iliokwenda kufunga eneo tofauti na alipokuwepo Kegele, sasa Kegele aliingiliaje huo mpira licha ya kuwa off side?

Pili mchambuzi anasema Berkane wana haki ya kulalamika katika hilo, wakati kiuhalisia hilo goli lilipofungwa hakuna mchezaji wala kiongozi yoyote wa Berkane aliyekwenda kulalamika kwa mwamuzi kuachilia walilikubali.
Alieuka kama kumpoteza kipa,jamaa kaongea ukweli ila sasa Referee kwa haraka asingeweza kubaini hili.
 
Kuna timu haijawahi kupigiwa ule wimbo wa CAF inawauma saaana. Ule wimbo una upekee wake yaani unavopigwa unaonesha ukubwa Wa vilabu ukivitenganisha kbs vile tia maji tia maji
 
Back
Top Bottom