Ni sawa kabisa mkuu nikwamba ata mzee angekuwepo bado lingeweza kutokeaTaarifa inasema hospital walifika saa 11 hospital alafu ishu kubwa ni kumdharau DC
Hata majeruhi wa precision BIMA imewalipa mamilioni. Hao wabarabarani hata mia hawapati. Dunia haipo fairVIPI NA WALE WA AJALI YA PRECISION mbona nao Walichelewa kwanini hawakusimamishwa?
Kosa moja halihalalishi kosa lingine,VIPI NA WALE WA AJALI YA PRECISION mbona nao Walichelewa kwanini hawakusimamishwa?
Kama kutokukubaliana na ulichokiandika ni kukupangia cha kuandika ina maana sawa na wewe kuwapangia watu cha kusema maana umewapinga waliomsifia jiwe.... kwenye haya maisha ukitaka kuishi kwa raha acha chuki kupitiliza au mahaba kupitiliza, kila mwanadamu huwa ni lazima afanye mazuri na mabaya ila kwako inaonekana magufuli kafanya mabaya total ambapo kihalisia sivyo. Punguza chuki haitakusaidia.Usinipangie cha kuandika. Magufuli alipanda chuki na anavuna chuki.
Wewe mwenye unataka kuandika aliyofanya Dikteta nawe andika kwa wakati wako
Itakuwa walikuwa tungiAngekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
Kweni anayemwita Dr I/C kuja kuona majeruhi ni nani? Nurse i/c on duty? Clinical officer/Dr i/c on duty? DMO yeye ni mtawala zaidi na msaada wake labda ni organization kwenda sekta zingine, nafikiri jambo la muhimu ni kujipima je tumejiandaa kikamilifu kuunda Emergency preparedness team ktk kila wilaya na vifaa vinavyohusika viwepo sio brabra za kisiasaMadaktari wazembe wanasubiri watu wafe kwanza alafu wao ndio wajitokeze ili wachukue pesa za Mochwari,
Huyo DC kapata wapi mafunzo ya kufanya Triage? Wanasiasa wafanye siasa na ya madaktari waachiwe Drs, ni kichekesho kuaminisha watu kuwa DC alikuwa anatoa referrals wakati madaktari wengine walikuwepo hospitalini kuhudumia wagonjwa,Bavicha mbona mna ututusa mwingi
Umeambiwa madaktari hawakuwepo hospital ingawa walipigiwa Simu kwamba kuna wahanga wa ajali wanaletwa
Hai madaktari Wanaishi Kwenye kota za hospital hapo hapo
Ilibidi DC ambaye siyo Daktari kitaaluma atoe referral kwa wale wenye hali Mbaya
Acheni ujinga!
Kwahiyo walitaka saa hiyohiyo waje kwa njia ya WhatsApp auAngekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
we wa akili kiduchu mbona hujawafikisha kwa wakati sasa ili watu wasilalamikeUnaakili ndogo sana
USSR
Unaandika vitu vya ajabu sana, sijui mawazo yako umeacha wapi.Daktari kwenye Job Description yake Hana activity ya kufanya kwenye accident scene. Yaani hata ungewapeleka pale mabingwa wote wa MUHIMBILI wangekuwa watazamaji tu.
Hivi unafanyaje procedure ya dawa ya usingizi pale barabarani? Unawekaje monitors mbalimbali kwenye barabara? Hebu tutumie akili alizotupa Mungu kidogo
ππππNi sawa kabisa mkuu nikwamba ata mzee angekuwepo bado lingeweza kutokea
Hayo ni madhara ya ukosefu wa nidhamu kazinii na hili linatakiwa kutengenezwa ndani ya taasisi
Taasisi nyingi zina huduma mbovu sababu wanafanya kazi kimazoeya
Inawezekana huyu ni daktari mzembeUnaandika vitu vya ajabu sana, sijui mawazo yako umeacha wapi.
"Daktari mwenye job description hana activity ya kufanya kwenye accident scene"
Really??
Hata kumfunga bandeji mgonjwa ili kumzuia asipoteze damu nyingi inayoweza pelekea akapoteza maisha hawezi kufanya kwasababu sio description yakeπ«£π«£
Unatetea uzembe.
ππππ tena mwingi tu na ndio maana vibe la wananchi lilikua kubwaIla umekula za uso mpaka umelegea kama kuku kishingo , waeleze madaktari wenzako kuwa jamii inajua upuuzi wao
USSR
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
Yah nimesikia alivotoa ufafanuzi nimeelewa zaidi ila sio alivyosema USSRIssue haikua suala la wao "madaktari" kufika eneo la tukio, la hasha! Issue ilikua mwitikio wa hao "madaktari" kufika hospitalini kwa wakati.
Kwa maelezo ya mkuu wa mkoa, licha ya kwamba mmoja wa hao madaktari kuishi karibu/jiranibna hospitali, kila alipokua akipigiwa simu na mkuu wa wilaya alikua akijibu kuwa anayo taarifa ya ajali hiyo na ameipata mapema.
Mkuu wa mkoa ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa, kuchelewa kufulika kwao hospitali ilipelekea mpaka rufaa kwa wagonjwa kutolewa kwa amri na utashi wa mkuu wa wilaya, kitu ambacho ni kinyume na utaratibu wa kitabibu.
Misingi na sababu za kusimamishwa ipo hapo.
Sasa walitakiwa wawahi kwenda kwenye ajali au wawahi kwenda kwenye ajali??Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR