Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
kwa hyo wangekuja eneo la tukio kwa miguu? Kama walikuwa hawako zamu na wapo nje ya wilaya? Mrs nan cjui wewe kama vp kamfufue huyo shetan mwenzenu akawatumbueAcha uboya uzi wa ile ajari upo kaulize kule huu uzembe unapaswa kukemewa
USSR
Hii nchi🙌🏼🙌🏼 Kitengo cha emergency hakuna Dr?? #smhAngekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
Kuandika ulichoandika ni kuoñyesha wewe ni zero bleini.Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
Nimekula za uso kivipi wakati post yangu kufika saa hizi Ina likes 19 wakati thread yako ambayo ni main subject ina likes 16?Ila umekula za uso mpaka umelegea kama kuku kishingo , waeleze madaktari wenzako kuwa jamii inajua upuuzi wao
USSR
Sawa nimekubali,Kama kutokukubaliana na ulichokiandika ni kukupangia cha kuandika ina maana sawa na wewe kuwapangia watu cha kusema maana umewapinga waliomsifia jiwe.... kwenye haya maisha ukitaka kuishi kwa raha acha chuki kupitiliza au mahaba kupitiliza, kila mwanadamu huwa ni lazima afanye mazuri na mabaya ila kwako inaonekana magufuli kafanya mabaya total ambapo kihalisia sivyo. Punguza chuki haitakusaidia.
Wewe ni mk×*du!Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.
Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Povu limukutoka ukisikia jina la mwamba huwa unachanganyikiwa sana. Alikufanya nn huyu Baba!??Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.
Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Hujaelewa, wamefika hospital saa 11 alfajiri, inamaanisha hawakubali Ile dharulaHao madaktari ulitaka waende kwenye eneo la tukio kufanya nini wakati ambulance za kuwaleta hospital zipo!
Sio bure uliachiwa mimba ndogo chachuSawa nimekubali,View attachment 2508978 mazuri ndiyo kama haya ya kujianika kwenye mawe kama kenge baridi.
Sio bure uliachiwa mimba ndogoSawa nimekubali,View attachment 2508978 mazuri ndiyo kama haya ya kujianika kwenye mawe kama kenge baridi.
Anahusikaje ikiwa uvccm ndio kusanyiko la vilaza?Bavicha mbona mna ututusa mwingi
Umeambiwa madaktari hawakuwepo hospital ingawa walipigiwa Simu kwamba kuna wahanga wa ajali wanaletwa
Hai madaktari Wanaishi Kwenye kota za hospital hapo hapo
Ilibidi DC ambaye siyo Daktari kitaaluma atoe referral kwa wale wenye hali Mbaya
Acheni ujinga!
Dada unachanganya mambo, madaktari wanalaumiwa kwa kuchelewa kufika kituo cha afya na sio eneo la ajali. Kumbuka madaktari wanakaa kota za kituo cha afya. Wamefika kituoni saa 11 alfajiri licha ya kupigwa simu saa nne na kukiri taarifa za ajali wanazoWe Ni mjinga ukielimishwa utaelimika uhai wa mtu atakufa ataishi Mungu ndie anayejua! Jiografia ya korogwe unaijua? Hospitali ya wilaya ilipo na eneo la ajali? Wajua waliojitokeza eneo la tukio walikua na kazi ya kuiba kuliko kutoa Msaada na waliokufa on the spot Ni almost 17!
Tumepoteza ndugu zetu acheni siasa! Mkuu wa mkoa ndio wa kwanza kujiuzulu kwa kushindwa yeye na serikali yake kuwa na standby team ya zimamoto na uokoaji!
DTO alifika on time yeye RC NA ZIMAMOTO WALIKUA WAPI.
unawasimaisha madkatari kazi watu wengine waendelee kufa na kukosa huduma hospitalini wakati huna mbadala? Siasa sihasa
Hakuna daktari aliyeitwa kwenye scene ya accident, waliitwa hospitalMimi ni poyoyo, ila nakuhakikishia kazi ya Madaktari siyo kwenda kwenye scene ya accident Bali ni kuwasubiri majeruhi hospitali na kufanya emergency procedure. Daktari aakienda kwenye scene ya ajali atakuwa mtazamaji tu kama raia mwingine.
Ili unielewe inabidi uwe na akili, ila sidhani kama damper unazo
Ukute walikuwa darItakuwa walikuwa tungi
Kwahiyo hata anonymous ID we unaita Dada utajua kweli taratibu za utumishi wa umma?Dada unachanganya mambo, madaktari wanalaumiwa kwa kuchelewa kufika kituo cha afya na sio eneo la ajali. Kumbuka madaktari wanakaa kota za kituo cha afya. Wamefika kituoni saa 11 alfajiri licha ya kupigwa simu saa nne na kukiri taarifa za ajali wanazo
Uliwaita wewe au uneambiwaHakuna daktari aliyeitwa kwenye scene ya accident, waliitwa hospital
Hakuna kitu kinaitwa wahanga wa ajali wanakuja waathiriwa wa ajali! Akajifunze lughaBavicha w
Anahusikaje ikiwa uvccm ndio kusanyiko la vilaza?
Kajifunze KUANDIKA Ni dharura sio dharula Kama KUANDIKA huwezi he kudadavua Mambo utaweza?Hujaelewa, wamefika hospital saa 11 alfajiri, inamaanisha hawakubali Ile dharula