Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Kamfufue
 
Wapi nimeandika wahanga wewe pimbi?
Matusi haijawahi kuwa njia sahihi ya kufikisha ujumbe! Otherwise utaonekana mpumbavu tu! Nimeandika kumrejea uliyemnukuu ungejila muda ungeelewa kabla ya kunifananisha na mnyama pimbi
 
Matusi haijawahi kuwa njia sahihi ya kufikisha ujumbe! Otherwise utaonekana mpumbavu tu! Nimeandika kumrejea uliyemnukuu ungejila muda ungeelewa kabla ya kunifananisha na mnyama pimbi
Kaka hujui kuandika halafu unakosoa wenzio "ungejila"
 
Typing

Ukikoncentrate kwenye hizo typing error badala ya kujadili mada iliyopo mezani unadhihirisha how narrow minded you are! Jikite kwenye Mada ndugu
Mbona wewe ulikomaa na yangu moja halafu unashangaa mimi kukomaa na zako nyingi, kama unakosoa wenzio kubali kukosolewa
 
NCHI za wenzetu kwenye ajali wanafika watu wa uokoaji na vifaa vyao vya uokozi km misumeno na cranes. Madaftari wameonewa tu. Hii ni kazi ya Fire and Rescue Unit.
 
Wapuuzi wengi humu mnafoka foka kutokana na heading tu mliyosoma.

Tafuteni habari kamili. Daktari anakaa umbali wa dk tano kutoka hospitali ila alifika saa kumi na moja kumuona mgonjwa. maana yake nini
 
Taarifa ilisema kwenye eneo la ajali ni watu sita walifia palepale.

Wengine walikuwa kwenye hali mbaya

Wakakimbizwa hosp, Doctors wakawa wanakula usingizi na mabinti wa ki Tanga.

Hii ofcourse itawagharimu, better wangeenda tu hosp na upombe pombe wao hivyo hivyo, hata kama wasingezuia chochote.
 
Na hiki ndo kilichotokea. Sasa kosa la wao kuwajibishwa liko wapi hadi watu wanailaumu serikali kwa kuwasimamisha kazi. Wamepata walichostahili. Ndio sababu ya kupewa nyumba karibu na hospitali wao wanafanya kazi kwa mazoea.
 
Konyagi siyo mchezo wasingefanya chochote
 
Konyagi siyo mchezo wasingefanya chochote
 
Ungeuliza kwanza taratibu za kazi za watu uelekezwe, usije ukafikiri utaratibu wa kufanya kazi wa Daktari upo kama wa Fundi ujenzi
 
magu alikuwa mkurupukaji ndio maana wengi wao aliokuwa akiwatumbua kwa kusikiza watu bila uchunguzi sasa wanaenda mahakamani wanashitaki na kulupwa fidia na kurudishwa kazini

hajari ya tenki la mafuta msavu ilio uwa watu uzembe mkubwa ulisababishwa na polisi huyo baba yako magu aliwafanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…