yaani kusema ukweli, kwa wale waliowahi kuishi nje kidogo, madaktari wa kibongo wanaboa sana. wana kiburi, wapenda rushwa na vinajifanya vitaalaamuuuu wakati kutibu haviwezi. kuna wakati huwa naviangalia naviacha tu. kwamba tusiwaseme ati wanatutibu wakati tunawaona wazi kabisa wanazingua tukiwalinganisha na madoctor wenzao? walevi, malaya na kiufupi hakuna kitu yaani. watz wengi wanapona kwa kudra za Mungu tu ila majority ni incompetent, hawana ari ya kutibu wanafanya tu kwa mshahara. (though sio wote, wapo wale wazoefu wanajitahidi ila majority ni vuruvuru tu). binafsi nikikuta asehemu doctor au polisi anafumuliwa na wenye madaraka, hata huwa siumizi moyo kufikiria. wengi wanastahili.