Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Hivi ni rich kids au utajiri wa washua wao coz wale wanaosaka wenyewe hawakatiki namna hyo, RIP dogo
Ni za kwao tu, hata ww unatafuta kwa ajili ya wanao.
Sema sasa sifa ndio zinawamaliza na kale kamsemo kao "Nakula bata"
 
Mpaka hapa page ya 4 post ya 70 hakuna yeyote aliyeelezea vizuri kuwa marehemu ni nani na alikuwa na impact gani kiuchumi. Huko insta obviously sitegemei info ya kueleweka kutokana na nature ya watumiaji. Jf ya siku hizi ni jipu sugu linalopaswa kutumbuliwa kwa baruti walah. Anyway Mola akuweke unapostahili marehemu
View attachment 320384
Huyu demu kumbe nae ni mshamba eeh? mtu mwenye majonzi anapata wapi nguvu ya kushika simu na kujipiga selfie na kujipost instagram na kuandika caption? nimemtoa akili kweli huyu mpuuzi.
 
Nimesikitika sana kijana Mdogo kuondoka kwa style hiyo ila ningesikitika zaid kama uchizi,Misifa na Mipombe yake ingekwenda kumaliza maisha ya Wengine wanaofata sheria za Barabarani. Ifike hatua ajali za Walevi ziue walevi kama vile Ngoma ingekuwa inasambaratisha vicheche tu! Mkeo/Mumeo unamuacha unaenda kuparamiwa/a then unaleta ugonjwa home mnaondoka wote mnaacha watoto wanakuja kuteseka na kuishia kutombwa au kufilwa na wahuni
kiruuuu
 
Lile eneo kutoka Stanbic mpaka njia ya kuingia Leaders litakuwa na tatizo, ajali nyingi za pale ni za usiku na lazima mtu afe
Ahaaa we jamaa kiboko lazima uunganishe na yale mambo anyway eneo lingine ni ile barabara yakuelekea maisha club ya zamani
 
Oook......RIP kijana.........lakini nataka nijue......alikuwa milionea.....?........
Yaani shosta una maswali!😉 Hakuwa milionea; Ni kijana wa mjini ambae alikuwa karibu sana na ma-so called Bongo Celebrities; hapa naongelea "Lulu", Jack Wolper, Jux...to name a few! . Kijana mdogo sana, Apumzike kwa Amani
 
R.I.P kijana inasikitisha sana kifo cha ghafla.
naomba kuuliza tu alikuwa ni nani hapa mujini? bilionea au milionea?

kila wakati tunapoamka/kulala tusisahau kuomba sala ya Kifo Chema
 
Jamani mwendokasi haui mtu kinachoua mtu ni kitu kingine kabisa
R.I.P
 
Inaonekana marehemu (apumzike kwa amani) alikuwa ana uwezo wa kuingia bar akanunua bia za laki tatu ndo akawa celeb wa eneo lake la kujidai.

Nchi kubwa hii jamani. Kuna watu tunaishi huku Kilindoni, Mafia.
Ha ha haaa hata hapo Kilindoni kuna wengine ni maceleb wa Mapozi na wengine kwa Thadei!!
 
Ajali hii imetokea jijini Dar, karibu na Ubalozi wa Kenya usiku wa kuamkia leo.

Pole sana wafiwa na wote walioguswa na msiba hasa mabinti wauza sura wa mjini (Wadada wa mjini).

Binafsi nimesikitika maana marehemu nimesoma nae japo nilikuwa darasa moja mbele yake.

RIP Kelvin Kaloosh

View attachment 320543
Gari baada ya kupata ajali (Eneo la Tukio)

View attachment 320544
View attachment 320556
Marehemu enzi za uhai wake
View attachment 320545
Majeruhi aliyekuwa na marehemu kwenye gari
Mbona huyo manusura, anapiga selfie na ndugu zake halafu wanacheka! Au wamemtoa kafara...!
 
R.I.P kijana inasikitisha sana kifo cha ghafla.
naomba kuuliza tu alikuwa ni nani hapa mujini? bilionea au milionea?

kila wakati tunapoamka/kulala tusisahau kuomba sala ya Kifo Chema
kashesho huyu kafa wala hajui hata uchungu wa mauti na kukata roho hakuuhisi
 
Wikiendi iliopita kabla ya hii mbele tu ya hapo kwenye kona ya kuingia Leaders club tumempoteza rafiki/ndugu yetu Eddy[RIP] gari yake[corolla] iligongwa na Subaru Imprezaa ikabonyea ikawa na U-shape, jamaa wa subaru kwa utaalam wangu alikuwa mwendo usiopungua 140kph!!!

Hili eneo ukitokea Selander pamenyooka sana na vijana wakishapiga vyombo usiku wanageuka akina Michael Schumacher ni shida. mshana jr inabidi tufungue thread ya Road Safety humu, vijana na #TeamSubaru #TeamAltezza #TeamMarkX wanateketea kweli kuanzia ijumaa usiku hadi jumapili alfajiri.

Ubalozi wa Kenya upo Maeneo ya wapi? mshana jr
 
Yaani shosta una maswali!😉 Hakuwa milionea; Ni kijana wa mjini ambae alikuwa karibu sana na ma-so called Bongo Celebrities; hapa naongelea "Lulu", Jack Wolper, Jux...to name a few! . Kijana mdogo sana, Apumzike kwa Amani

Ooh, very fresh meat......RIP
 
Apumzike kwa amani kijana maarufu. Nawashauri vijana wengine maarufu au bata boys watoe ajira kwa ma babu dere, kwani wengi wao hapa town ni waendesha magari tu sio madereva.Mtu anaendesha gari uku ana selfika ili awahi kupost insta.
 
Nani aliyetoa taarifa kwamba marehemu alikuwa anaendesha gari akiwa amelewa?
Tatizo la watu wengi wanpenda sana kuhukumu wenzao kwa makosa ambayo hata wao wanafanya
Alikuwa na demu wake saa kumi usiku wakitoka rhapsody..walikuwa na wenzao wameongozana na ndio hao walompeleka hospital akiwa maiti na wote walikua chakali .. ...sema jingine
 
Back
Top Bottom