Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ukiwa na majukumu usingizi unakata mapemaHuwa hamlali huko kwenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na majukumu usingizi unakata mapemaHuwa hamlali huko kwenu?
Kwenye uislam imeamrishwa mambo 3 yasicheleweshweKwann wamezikwa usiku?
Nasikia huko Tanga watu hawalali na ukiendea leo warudi leoUkiwa na majukumu usingizi unakata mapema
Dah...labda kwa vigezo vyako vipya mkuu..maana Kila gari lina kundi lake...na mtengenezaji ana vigezo vyake...ndiyo maana nakwambia pajero ni best performance kwa kundi lake....🤣🤣🤣🤭Hata sielewi ila kusema pajero ni perfomance car bado inanifikirisha
Kwa kundi lake hapo utakuwa sahihiDah...labda kwa vigezo vyako vipya mkuu..maana Kila gari lina kundi lake...na mtengenezaji ana vigezo vyake...ndiyo maana nakwambia pajero ni best performance kwa kundi lake....🤣🤣🤣🤭
Hata kwenye kundi lake bado inasubiri ikikutana na Land Cruiser 80 ama Nissan Patrol Y61.Dah...labda kwa vigezo vyako vipya mkuu..maana Kila gari lina kundi lake...na mtengenezaji ana vigezo vyake...ndiyo maana nakwambia pajero ni best performance kwa kundi lake....🤣🤣🤣🤭
Ushawahi kuendesha au kukutana na ile Pajero ya CC3500 V6 Petrol? Zile ambazo TRA walikuwa nazo 2005? Ukigusa ile utaheshimu Pajero.Mkuu ongelea Lancer ila sio hilo dubwana aisee!
Tunaweza kubeti kwenda jino kwa jino Nikaweka kamkweche kangu vs hilo jigari na ntalichapa fasta na kula hela yako na hutaamini kuwa natumia engine yenye 1000cc less than hilo 2.8L
Y61 ile inayopiga kelele kama Leyland CD?Hata kwenye kundi lake bado inasubiri ikikutana na Land Cruiser 80 ama Nissan Patrol Y61.
Y61 inapiga makelele lakini shughuli imo huwezi kulinganisha na PajeroY61 ile inayopiga kelele kama Leyland CD?
Dah... Sasa mkuu unalinganishaje gari ya Vitani (4500cc) na gari ya mbugani(2400cc)? 🤣🤣🤣🤣🤭Hata kwenye kundi lake bado inasubiri ikikutana na Land Cruiser 80 ama Nissan Patrol Y61.
Hizo pajero ni class moja na akina LC na Nissan Patrol lakini pajero haina ubavu wa kupambana nazo.Hata bei yake sokoni Iko chiniDah... Sasa mkuu unalinganishaje gari ya Vitani (4500cc) na gari ya mbugani(2400cc)? 🤣🤣🤣🤣🤭
Bado haina uwezo wa kupambana na LC 100 ama Y61. Ni Big SUV ya kawaida sana tena hizi latest ndio nyanya kabisaUshawahi kuendesha au kukutana na ile Pajero ya CC3500 V6 Petrol? Zile ambazo TRA walikuwa nazo 2005? Ukigusa ile utaheshimu Pajero.
Mkuu hizo ni namba tu kama ilivyo kwa namba nyingine.Plate number hiyo ni shida kwasabb namba 666 ni chapa ya shetani...
Sehemu ukiiona lipo shina la wakereketwa wa chama dola basi utambue kuna wasamaria wengi wa aina hii.Wasamaria wema wametoa na tairi kabisa kwenye gari
Samia hayuko serious