Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Wenyeji wa mbeya yanajifanya watakatifu na washika dini, kumbe kifichoni ni mashetan washirikina wakubwa, kumtoa kafara ndugu au hata mtoto wa kumzaa hawaoni shida,Mbeya ni Mkoa wa Kishirikina, huwa kunatokea ajali zenye utata. Mkoa wa mbeya unahitaji maombi
Ukitoka uyole unaingia mlima nyoka,itewe,inyala relini Ndo inafuata tazamaHuo ndio mlima nyoka?
Acha ujinga kuwaringishia watu msiba.Akifa wa ccm machadema ndo huwa yanafurahi sababu wao hawafi.
Na wanatugandisha sana Kwa njia mpaka tunachelewa kaziniDah! Jana tu makam wa rais katoka kutoa maagizo hapo inyala
Nilipokuwa Sweden karibia kila siku nilikuwa na tembea barabarani kwa mwaka mzima nilishuhudia ajali siku moja tu tena ni dereva wa kutoka nchi maskini kama sisi huko Asia alimgonga mtu kwa nyuma kwenye round about. Hakuna madhara yaliyotokea kwa mtu isipokuwa ni gari ndo ilichubuka. Kama hiyo haitoshi, kwa Netherlands karibia miezi 6 sasa natembea barabarani nimeona ajali moja tu ilitokea usiku tena dereva alikuwa amelewa baada ya kutoka kwenye event moja ya kula bata usiku. SIsemi kuwa ajali hazipo ila zinatokea kwa msimu kama mvua. Bongo kila week utasikia ajali. Sasa unaweza kujilinganisha na hao?Una uhakika na unachokiandika?
Ni nchi Gani hiyo itaje
Mlima nyoka ni nyuma sanaNahisi hivyo ingawa sina uhakika
Duu yani ata vieete haionekani kama viete kabisaWatu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.
ITV
==============================
Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.
Unadhani. Wewe si dereva yumkini1.Kuwepo kwa vyombo vya usafiri visivyo kidhi vigezo vya kuwepo barabarani (yani havifai kwa matumizi lakini vipo)
2. Kuwepo kwa madereva wasiokidhi vigezo vya kuwa madereva. Hupelekea kuvunja sheria hovyo.
3. Unywaji wa pombe na matumizi ya dawa za kulevya kisha kuendesha vyombo ya moto.
Hizo nadhani ni sababu kuu.
Hawa wanasiasa watatumaliza mwaka huu kwa maagano Yao waliyoyafanya na lusifa.wanataka watuuwe watz watawaongoza sijui wanyama!.ccm sio watu wazuri.ili kulinaliza hili watu wa Mungu tumuombe sana ikibidi wafe wao waliofanya haya maagano.Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.
ITV
==============================
Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.
Wana faida nayo ya maagano waliyoyafanya.bila kuomba watakufa watu wengi sanaKwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?
Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.
Utapitia barabara ganii ambapo hawapo?Sio pekeyako, ndio maana wa private wengi hupenda kuchomoka saa 10 au 11 kabla hao jamaa hawajaingia barabarani
Apumzike kwa AmaniDED wa Igunga Fatuma Latu amefariki dunia muda huu ktk ajali akitokea kwenye kikao cha ALAT Mbeya.
--
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Fatuma Omary Latu na dereva wake wanahofiwa kufariki dunia leo katika ajali iliyotokea katika eneo la Shamwengo, Inyala mkoani Mbeya. Mkurugenzi huyo alikuwa anatoka kwenye mkutano wa ALAT
View attachment 2357009
PICHA: Muonekano wa gari iliyombeba DED baada ya kupata ajali
View attachment 2357012
PICHA: Fatuma Omary Latu enzi za uhai wake
Washinde kutoa makafala Yao waje na mbinu ipi.kwani hukumsikia mkuu mmoja wa ccm aliposema matrafick wa njia ya mbeya wamezidi wapungunzwe kuanzia hapo Umeona nn.ccm ni mashetani wanachojali ni maslahi Yao tuu.ila nao watakufa tuu.kama malkia Elizabeth amekufa sembuse waoMkuu nilikuwa najiuliza kwanii serikali iko kimya juu ya maeneo hatarishi!
Kila siku ajali zinatokea maeneo yale yale, Je kamatai ya Taifa ya usalama barabarani hawaoni hili.
Kitu kingine ambacho ni mzizi hasa kwa Dar es Salaam, Je wameshindwa kubuni njia ya kupunguza ajali hasa maeneo ya mataa yanapokuwa yamezima mfano.
Barabara ya morogoro road maeneo ya taa za Bucha, Baruti Suka ni maeneo ambayo hazipitu siku mbili bila mtu kugongwa au magari kugongana!
Tunahitaji kuja na suluhisho la kudumu kwa maeneo haya, watu tunateketea kila uchwao.
Vyuo kama DIT, St joseph, CoET, MUST, Arusha Tech, VETA mko wapi kuja na suluhisho la taa zinazo dumu!
Stl, Stk.....zimenyooshewa kidole sana kwa mwendokasi humu jf. Sema tu wanatuona kama wapiga kelele.
Poleni sana wana Igunga na familia.
Nchi hii ni ya hovyo Sana!Mbona wamerudi kwa kasi ya 5G, ile ukisimama tu wanakuangalia usoni moja kwa moja, kiashiria kwamba toa hela utembeee, usipotoa unasikia tunataka kukufikisha mahakamani unasemaje?? Sijui wanajua watanzania wanaiogopa mahakama ama
Na wafe kuanzia mkuu wa na hao vijana wa tozo na hao wenzake Ili watuachie nchi yetu mbuzi haoIpo siku kuna kiongoz mkubwa atafia hapo ndipo serikali itakapo amka
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app