TANZIA Ajali Mbeya: Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora wamefariki dunia

TANZIA Ajali Mbeya: Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora wamefariki dunia

Mbeya ni Mkoa wa Kishirikina, huwa kunatokea ajali zenye utata. Mkoa wa mbeya unahitaji maombi
Wenyeji wa mbeya yanajifanya watakatifu na washika dini, kumbe kifichoni ni mashetan washirikina wakubwa, kumtoa kafara ndugu au hata mtoto wa kumzaa hawaoni shida,

Nje ya ushirikina, serikali hii ya kishenzi imeshindwa kabisa kutatua changamoto za miundombinu,

Mkoa wa mbeya ni tajiri na unachangia pato kubwa kwa taifa, lkn serikali haioni hilo, hawataki kuuendeleza huu mkoa, siku zote tunasema yakiwakuta wao na ndugu zao ndio watakumbuka kutatua hizi kero
 
Una uhakika na unachokiandika?
Ni nchi Gani hiyo itaje
Nilipokuwa Sweden karibia kila siku nilikuwa na tembea barabarani kwa mwaka mzima nilishuhudia ajali siku moja tu tena ni dereva wa kutoka nchi maskini kama sisi huko Asia alimgonga mtu kwa nyuma kwenye round about. Hakuna madhara yaliyotokea kwa mtu isipokuwa ni gari ndo ilichubuka. Kama hiyo haitoshi, kwa Netherlands karibia miezi 6 sasa natembea barabarani nimeona ajali moja tu ilitokea usiku tena dereva alikuwa amelewa baada ya kutoka kwenye event moja ya kula bata usiku. SIsemi kuwa ajali hazipo ila zinatokea kwa msimu kama mvua. Bongo kila week utasikia ajali. Sasa unaweza kujilinganisha na hao?
 
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya.


Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.

ITV

==============================

Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.

Duu yani ata vieete haionekani kama viete kabisa
 
1.Kuwepo kwa vyombo vya usafiri visivyo kidhi vigezo vya kuwepo barabarani (yani havifai kwa matumizi lakini vipo)

2. Kuwepo kwa madereva wasiokidhi vigezo vya kuwa madereva. Hupelekea kuvunja sheria hovyo.

3. Unywaji wa pombe na matumizi ya dawa za kulevya kisha kuendesha vyombo ya moto.

Hizo nadhani ni sababu kuu.
Unadhani. Wewe si dereva yumkini
 
Positive checks acha zifanye kazi.Kuna mmoja Sasa anaenda kula uteuzi wa DED Igunga chap!
 
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya.


Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.

ITV

==============================

Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.

Hawa wanasiasa watatumaliza mwaka huu kwa maagano Yao waliyoyafanya na lusifa.wanataka watuuwe watz watawaongoza sijui wanyama!.ccm sio watu wazuri.ili kulinaliza hili watu wa Mungu tumuombe sana ikibidi wafe wao waliofanya haya maagano.
 
DED wa Igunga Fatuma Latu amefariki dunia muda huu ktk ajali akitokea kwenye kikao cha ALAT Mbeya.

--
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Fatuma Omary Latu na dereva wake wanahofiwa kufariki dunia leo katika ajali iliyotokea katika eneo la Shamwengo, Inyala mkoani Mbeya. Mkurugenzi huyo alikuwa anatoka kwenye mkutano wa ALAT

View attachment 2357009
PICHA: Muonekano wa gari iliyombeba DED baada ya kupata ajali

View attachment 2357012
PICHA: Fatuma Omary Latu enzi za uhai wake
Apumzike kwa Amani
 
Mkuu nilikuwa najiuliza kwanii serikali iko kimya juu ya maeneo hatarishi!

Kila siku ajali zinatokea maeneo yale yale, Je kamatai ya Taifa ya usalama barabarani hawaoni hili.

Kitu kingine ambacho ni mzizi hasa kwa Dar es Salaam, Je wameshindwa kubuni njia ya kupunguza ajali hasa maeneo ya mataa yanapokuwa yamezima mfano.
Barabara ya morogoro road maeneo ya taa za Bucha, Baruti Suka ni maeneo ambayo hazipitu siku mbili bila mtu kugongwa au magari kugongana!

Tunahitaji kuja na suluhisho la kudumu kwa maeneo haya, watu tunateketea kila uchwao.

Vyuo kama DIT, St joseph, CoET, MUST, Arusha Tech, VETA mko wapi kuja na suluhisho la taa zinazo dumu!
Washinde kutoa makafala Yao waje na mbinu ipi.kwani hukumsikia mkuu mmoja wa ccm aliposema matrafick wa njia ya mbeya wamezidi wapungunzwe kuanzia hapo Umeona nn.ccm ni mashetani wanachojali ni maslahi Yao tuu.ila nao watakufa tuu.kama malkia Elizabeth amekufa sembuse wao
 
Back
Top Bottom